Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Ni chama gani cha upinzani ambacho siyo mali ya mtu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maamuzi ya kununuliwa na CCM wewe ni mnufaika wa ununuzi ndiyo maana umejitoa fahamu zote kutetea maalum seif kuuza utu wake na kuwasahau waliokufa wakiwa wanampiganiaMaamuzi ya ACT machadema mnalialia
ingekuwa saccos msingekuwa mnatumia mabilioni kuiangamiza kuwabambikia kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mateso manyanyaso na kila mbinu za kuwadhoofisha ikiwemo kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetaniCCM siyo Saccos bali Chama cha Siasa Cha Wanachama tofauti na Vyama vya Upinzani ambavyo ni mali na watu siyo vya wanachama.
Safi Sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona chama hakikufai ondoka, kaanzishe chako.
Kumbuka kuna ile trilion 1.5 ilipotea mpaka wakamtoa CAG kafara, hiyo ni sehemu ya zile pesa wanazopiga kifisadi zikiwemo 10% ununuzi wa Ndege na 10% kwenye tenda za SGR, flyover, bwawa la umeme na miradi yote mikubwaNi bilion 10 tu, kwa mfano yeye akiweka kibindoni bilion 2, halafu nane zilizobaki akawagawia genge lake ili wamuunge mkono watulie wewe huoni kuwa inawezekana kabisa?
Jiwe anafahamika kuwa ni mwepesi wa kupenyeza rupia ili kutuliza upinzani mkali mfano mmojawapo ni jinsi alivyomtuliza Mange kwa mpunga mrefu
He's become arrogant with only one toothless seat in Zanzibar, I don't know how it would have turned out had his party been declared a winner in Zanzibar, he wouldn't listen to anybody!Halafu atalalamika Magufuli dikteta?
Nyerere aliandika kijitabu kinaitwa"Argue, Don't Shout: An Official Guide On Foreign Policy By The President".....
Point, ndo maana kuliko kuipigia ACT kura ni Bora mtu aipigie CCM, najiuliza ni ahadi ngapi alizopewa Mandela ili aachiwe na akazikataa kutoka kwa makuburuUkweli kilichofanywa na Zito na Maalim Seif, ni usaliti mkubwa, ubinafsi, hadaa, unafiki, kejeli na uharamia mkubwa kwa wananchi wa Zanzibar...
Watanzania tuko million 60 kila akitofautiana na wenyeviti wa vyama, aanzishe chama chake tutakua na vyama vingapi acha ujingaYuko sahihi kabisa tena sana. Jitu linashupalia wala halijui hata gharama za kuendesha chama. Anzisha chama kama ni rahisi.
Anawafanyia arrogance wananchi ambao anawahitaji kujenga chama chake, hapo anajionesha.He's become arrogant with only one toothless seat in Zanzibar, I don't know how it would have turned out had his party been declared a winner in Zanzibar, he wouldn't listen to anybody!
Anawafanyia arrogance wananchi ambao anawahitaji kujenga chama chake, hapo anajionesha....
Zitto ni weak sana, na ni mtu ama wa papara asiye na utulivu katika kuyaendea mambo au anatumika. Kupata uhakika zaidi ni suala linalohitaji kufanyiwa kazi zaidi, kwa kuanzia na hili!They will never get peace kwa kusaliti big course
Yaani hawa jamaa wameiondolea serikali ya CCM pressure kubwa ya ndani ya nchi na hata ya nje ambayo ingewaminya wafanye reforms fulanifulani za msingi.....
Kwa ngangali aliyokuwa kaweka Maalim Seif, mgogoro huu bila mlungula ulikuwa haumaliziki kirahisi hivi.Kwenye point yako ya 5 nahisi kuna mlungula, a.k.a rushwa au kununuliwa kumetembea kwenye ile move ili ACT iingie ndani ya Serikali huko Zenji . Serikali ya Jiwe iilikwa inawahitaji ACT waingie huko ili kupunguza kelele na presure ya mataifa makubwa kwa serikali yake!
Zitto ni weak sana, na ni mtu ama wa papara asiye na utulivu katika kuyaendea mambo au anatumika. Kupata uhakika zaidi ni suala linalohitaji kufanyiwa kazi zaidi, kwa kuanzia na hili!...
We jamaa una mikwara halafu mjinga sana haya zibadilishe hizo pesa kuwa pesa madafu halafu uone zinkuwa shilingi ngapi...... CCM kweli hamna akili kabisa.Hata wewe haulewi maana ya dola milion 5 USD unataja tu namba, laiti ungeelewa usingeamini kirahisi hivyo kwamba Serikali inaweza kumpa Zito Kabwe hela zote hizo, for what ?
We jamaa una mikwara hafu mjinga sana haya zibadilishe hzo pesa kuwa pesa madafu hafu uone zinkuwa shingap......CCM kweli hamna akili kabisa.
CCM itatolewa madarakani na mtu weak. Huyo wanaweza kuzungumza naye, lakini ukiwa ngangari mwisho wake utakimbia nchi kama akina Kambona na kushindwa kabisa hata kile kidogo ambacho ungewafanyia wananchi.Zitto ni weak sana, na ni mtu ama wa papara asiye na utulivu katika kuyaendea mambo au anatumika. Kupata uhakika zaidi ni suala linalohitaji kufanyiwa kazi zaidi, kwa kuanzia na hili!...
Wewe Akili finyu ni kuona kuwa Zitto hajapewa hizo pesa wakati kapokea tayari, wewe ndiyo bwege na kubwa jinga unatetea upumbavu hutaki kukemea ununuzi wa wapinzani kwa njia haramu za kishetaniKwa hiyo kwa akili yako finyu ya matope unataka kuaminisha watu kuwa Zitto ameongwa dola bil 10? Bwege na kubwa jinga,yaani bil 10 apewe mtu kisa SUK!
The King of nonsecials"Asiyemtaka Lowassa ni mchawi, aondoke CHADEMA” - Mbowe, July 2015.
Nimeshtushwa sana naingia tweeter nakuta hii tweet ya Zitto Kabwe. Sikutegemea kama angeweza kuandika kitu kama hichi.
View attachment 1649184
Kwa mazingira haya, ni wazi kwamba Zitto anaichukulia ACT kama mali yake binafsi kama nyumba na gari lake, na ana uwezo wa kuamua na kufanya chochote bila kuingiliwa.
Binafsi nawaonea sana huruma wale wanajitia ACT kindakindaki. Wanamshutumu bure Mbowe, sijawahi ona ka tweet pumba kiasi hiki.
Kuna siku mtashangaa ACT imekuwa registered kama Chattle ya kuombea mkopo benki... Maana ni mali ya mtu binafsi.