Zitto ataka wanaoikosoa ACT-Wazalendo waanzishe chama chao

Zitto ataka wanaoikosoa ACT-Wazalendo waanzishe chama chao

Acha ubwege wewe hiyo pesa dola milion 5 kwa Serikali ni pesa ndogo mno,kwako wewe usiyejielewa utaiona kubwa , wenzako akina Zito wanatamani waongezewe, najua thamani ya hizo bilion kuliko wewe na kwa taarifa yako bila Zito kupewa pesa kama hizo wasingekubali Serikali ya mseto kamwe
Kwa hiyo kwa akili yako finyu ya matope unataka kuaminisha watu kuwa Zitto ameongwa dola bil 10? Bwege na kubwa jinga,yaani bil 10 apewe mtu kisa SUK!
 
Ni bilion 10 tu, kwa mfano yeye akiweka kibindoni bilion 2, halafu nane zilizobaki akawagawia genge lake ili wamuunge mkono watulie wewe huoni kuwa inawezekana kabisa?
Jiwe anafahamika kuwa ni mwepesi wa kupenyeza rupia ili kutuliza upinzani mkali mfano mmojawapo ni jinsi alivyomtuliza Mange kwa mpunga mrefu
Nyie wafia vyama na itikadi mitandaoni ndo mnaowakatisha tamaa wanaodai kuwapigania, wanapo amua kuachana na nyie na kustick kwenye ya kwao mnageuza karata kuwa wamenunuliwa! Hivi kuna fikra za kitoto zaidi ya hizi?

Mange aliwahamasisha muingie barabarani kufikisha ujumbe mliokuwa nao ila hakuna kamanda hata mmoja alitekeleza tofauti kabisa na mlivokuwa wa moto mitandaoni. Same goes kwa Zitto na Lissu, hakuna kamanda hata mmoja aliewaunga mkono kwenye maandamano. Wanapogundua kuwa tunawapigania wanafiki wakaamua kufanya lililo sahihi kwao mnaanza kuwa label.. Tuacheni kuhamisha magori, tuanze kuwa responsible asee.
 
Swali gani hili? Yaani Ccm ilivyo unataka kulinganisha na chama cha Mbowe na Zitto!

Ccm sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha dola kilichovaa koti la chama cha siasa. Ukitaka kuamini kuwa ccm sio chama cha siasa, subiri wakati wa uchaguzi uone, ni wananchi au vyombo vya dola vinavyowafanya watangazwe washindi?
 
Nyie wafia vyama na itikadi mitandaoni ndo mnaowakatisha tamaa wanaodai kuwapigania, wanapo amua kuachana na nyie na kustick kwenye ya kwao mnageuza karata kuwa wamenunuliwa! Hivi kuna fikra za kitoto zaidi ya hizi?

Mange aliwahamasisha muingie barabarani kufikisha ujumbe mliokuwa nao ila hakuna kamanda hata mmoja alitekeleza tofauti kabisa na mlivokuwa wa moto mitandaoni. Same goes kwa Zitto na Lissu, hakuna kamanda hata mmoja aliewaunga mkono kwenye maandamano. Wanapogundua kuwa tunawapigania wanafiki wakaamua kufanya lililo sahihi kwao mnaanza kuwa label.. Tuacheni kuhamisha magori, tuanze kuwa responsible asee.

Mange Kimambi alihimiza maandamano akiwa nje ya nchi, bila kutaja wapi watu wataanzia na kukutana, na badala ya kufika hapo nani atakuwa kinara wa hayo maandamano. Hilo moja.

Tundu Lisu na Zito ni wanasiasa, hawa tuliwaunga mkono wazi wazi wakati wa kampeni, na tulijitokeza kupiga kura ambazo Magufuli na genge lake kupitia madaraka yake, aliigiza tume ya uchaguzi kutangaza wagombea wa ccm kibabe. Suala la kuingia barabarani ni kujitoa muhanga, hili linahitaji muda ili watu uoga uwatoke. Lakini mbegu ya kuandamana tayari imeshapandwa, na ni lazima itaota tu iwapo hakutatokea mabadiliko.

Kwa sasa maandamano yaliyopo ni kutokutoa ushirikiano kwa viongozi wote waliochaguliwa bila ridhaa ya wananchi. Sehemu nyingi, wabunge madiwani au watendaji wakiitisha mikutano wanapata mwitikio duni sana, kiasi kwamba inabidi wawakamate wapinzani walioko maeneo hayo kwa kisingizio kuwa wanawahujumu.
 
Hivi nyie kwamba mlkua hamjui ACT ndo upinzani mpya ulikuwa unaotengenezwa after CHADEMA

After ACT wataleta mwingine

Upinzani wa kweli utatoka CCM

Believe me

Hii comment wakina Swalehe wakikua wataiona
 
Mange Kimambi alihimiza maandamano akiwa nje ya nchi, bila kutaja wapi watu wataanzia na kukutana, na badala ya kufika hapo nani atakuwa kinara wa hayo maandamano. Hilo moja...
Wazuri sana kwa excuse, haya yote hua mnakuja nayo baada ya kushindwa kutokea. Mnachokisema saizi ni tofauti na misimamo mnayokuwa nayo mitandaoni. As time goes kila mmoja atajutia muda wake na nguvu kuwapigania makamanda.
 
Zitto sasa hivi anablock watu huko twitter kwa kumueleza jinsi waivyosikitishwa na maamuzi ya hicho chama:

Img-1607878745388.jpg
.
 
Kuna nyumbu wachache, kazi yao ni kuonyesha kuwa wako frustrated kwenye mitandao tu(wanafiki). Wakati ambapo vyama vya upinzani vilihitaji msaada kutoka kwa wananchi hakuna aliejitokeza, halafu Sasa hivi ndio yanajifanya kuwa na uchingu Sana na Taifa...
Tuanzishe Struggle for Tanzania Democratic Party.
 
Nimeshtushwa sana naingia Twitter nakuta hii tweet ya Zitto Kabwe. Sikutegemea kama angeweza kuandika kitu kama hichi.

Screenshot_20201213-205557.png


Kwa mazingira haya, ni wazi kwamba Zitto anaichukulia ACT kama mali yake binafsi kama nyumba na gari lake, na ana uwezo wa kuamua na kufanya chochote bila kuingiliwa.

Binafsi nawaonea sana huruma wale wanajitia ACT kindakindaki. Wanamshutumu bure Mbowe, sijawahi ona ka tweet pumba kiasi hiki.

Kuna siku mtashangaa ACT imekuwa registered kama Chattle ya kuombea mkopo benki... Maana ni mali ya mtu binafsi.
 
Watu humu hawakukosea hata kidogo kumuita Ayatollah. Chama ni chama chake hata anapokosea hataki kukosolewa na kuja na majibu ya hovyo kama hilo aliloandika hapo juu. Sijui kama atakuja kujirekebisha huyu na kuangalia big picture and be able to think outside the box. Umimi umemtawala sana huyo.
 
Nimeshtushwa sana naingia tweeter nakuta hii tweet ya Zitto Kabwe. Sikutegemea kama angeweza kuandika kitu kama hichi...
Tweet haina tatizo ni nzuri. Zitto kushauri mtu ambaye anaona vyama vilivyopo havikidhi taste yake aanzishe chama chake mbona ni sawa tu. Unachojaribu kufanya hapa ni kumjengea chuki Zitto kwa uamuzi uliochukuliwa na chama chake kidemokrasia.

Toka kwenye keyboard ufanye siasa practically.
 
Tweet haina tatizo ni nzuri. Zitto kushauri mtu ambaye anaona vyama vilivyopo havikidhi taste yake aanzishe chama chake mbona ni sawa tu. Unachojaribu kufanya hapa ni kumjengea chuki Zitto kwa uamuzi uliochukuliwa na chama chake kidemokrasia.

Toka kwenye keyboard ufanye siasa

Watu humu hawakukosea hata kidogo kumuita Ayatollah. Chama ni chama chake hata anapokosea hataki kukosolewa na kuja na majibu ya hovyo kama hilo aliloandika hapo juu. Sijui kama atakuja kujirekebisha huyu na kuangalia big picture to think outside the box. Umimi umemtawala sana huyo.

Jamaa anajionaga mjuaji sana... Utasema yeye ndo mwenye akili Tanzania nzima
 
Back
Top Bottom