Zitto awajibu Maria na Mshaba akiwahusisha na 'Udini'

Annunaki

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2021
Posts
2,042
Reaction score
3,674
Zitto kabwe ameibuka na kauli kuhusu Usafirishaji wa wanyama Pori kwenda nje ya nchi uliositishwa leo na Waziri wa Maliasili na utalii akisema umegubikwa na udini ndani yake.

Kwamba waliokosoa wanaichukia Serikali kwa sababu inaongozwa na Rais Samia ambaye ni Mwislam, kwahiyo anaona watu kuhoji wamekosa uvumilivu wa dini.

Zitto ni mdini sana hafai kuongoza nchi hii hata siku moja.

Zitto kabwe


 
Hata Mimi naona haya mambo kama yanafanyika kwa udini.

Why uarabuni vs Rais Muilsam.

Anyways. Hii nchi yetu sote.
 
Zito Huwa ana akili kubwa mno lkn sipendi kuamini huu utopolo kausema ni mtu mwerevu anayechagua aseme nini unless amerukwa akili

Hicho ndio hutokea unaporuhusu njaa ikapanda kichwani. Inakuvua heshima na kukutweza utu wako.

Kama Kuna mtu nimemweleza ni Mh. Kabudi, Kwa kuwa alikua bega Kwa bega na awamu ya tano, ameamua kunyamaza awamu hii kuonyesha msimamo wake.
 
Ni zitto mwenyewe labda aseme amehackiwa na yeye

Asivyo na aibu sitashangaa akaibika kusema Kuna namna imefanywa kwenye account yake au akakanisha kwamba ameeleweka vibaya. Ni Mzee wa kupima upepo sana

Hawa watu ndio wakifanya Magu aonekane shujaa Kwa misimamo hata kama anakosea. Ni hatari sana kuwa na watu wa namna hii wanajitanabaisha kuwa wanapigana maslahi ya umma/ wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…