Zitto awajibu Maria na Mshaba akiwahusisha na 'Udini'

Zitto awajibu Maria na Mshaba akiwahusisha na 'Udini'

Shahada ya Uzamili ya Tehama. Sijafika level yoyote ya kiuongozi (na pia sidhani kama uongozi una levels, maana huko Sri Lanka, aliyekuwa Rais wakati mmoja, Mahinda Rajapaksa, alikuja kuwa Waziri Mkuu wakati uliofuata, na sasa ni mbunge)
naomba nikupe pole, na nikutakie mabadiliko katika safari ya usugu wa maisha
 
Zitto Kabwe 'kajinaniliu' sana
MBOWE ALIKUWA ANA TEMBEA NA CHUPA YA KONYAGI .
ZITTO KABWE ALIKUWA ANATEMBEA NA HIRIZI .
Kwa sasa Mbowe na Zitto kabwe wanatembea na chupa za ASALI hivyo msishangae ...lazima waimbe korasi ya walamba asali wote na machawa ya " mama anaupiga mwingi " ili wazidi kupata hamasa ya kuendelea na vita ya KUPAMBANA NA MAREHEMU.
 
Achana upumbavu wako! Kikwete hakuna watu? Dr Mvungi,Maandishi mwangosi? Dr Ulimboka alitekwa vipi Raise alikuwa mkristo? Ufisadi kila kona ya nchi chini ya Kikwete hukuuona! Hata huyu bibi yako Kafanya lipi la maana kila kitu kinapanda bei anasingizia Ukraine!
Tahila wewe, hata kuandika hujui mmmmbwa mkubwa
 
Back
Top Bottom