Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udini udini hauna nafasi kabisa hapa Tz !! Hata hao wanaouzungumzia wanajua kuwa hapa Tz ni ngumu watu kukuelewa !! Hata kama hicho kitu kipo lakini kipo kwa kiwango kidogo sana !!!Duh!
Ww hujahitimu hata chekechea...maarifa yako kama ya mbuzi tu,natamani ungekuwa na akili hata ya kuvukia barabara.Nyie wakristo mna chuki mno na Waislamu, na pindi Rais akiwa muislamu hakuna hata zuri lake moja ambalo mnaliona, mkristo mwenzenu kaua watu,kateka watu,kafunga watu, katupora fedha zetu Wengine kwenye maduka ya kubadilishia fedha, mlikuwa yote hayo mnashangilia kisa tu mkristo mwenzenu mmbbwa nyie,
Leo Samia kapandisha mishahara,katoa ajira, wakati yule shetani muuaji kipindi chote akufanya hayo,
Samia Ni Rais Bora Sana kwa Tanzania,huwezi kumlinganisha na lile shetani lenu,
Asilimia kubwa wanamtukana Samia Ni wakristo na mazezeta machache yasiyo jitambua, dikteta muuaji ameharbu Sana mentality za vijana wetu shetani yule
Kwa comment hiyo wewe Zitto ndo unadhihirisha umejawa na udini na ujinga, na una hasira zingine ambazo obviously hazihusiani na hayo maoni ya akina Maria; we know mara nyingi they have put you in a cage and in your rightful corner. PATHETIC!Zitto kabwe ameibuka na kauli kuhusu Usafirishaji wa wanyama Pori kwenda nje ya nchi uliositishwa leo na Waziri wa Maliasili na utalii akisema umegubikwa na udini ndani yake.
Kwamba waliokosoa wanaichukia Serikali kwa sababu inaongozwa na Rais Samia ambaye ni Mwislam, kwahiyo anaona watu kuhoji wamekosa uvumilivu wa dini.
Zitto ni mdini sana hafai kuongoza nchi hii hata siku moja.
Zitto kabwe
View attachment 2251905
View attachment 2251906
Lwiva do not give sweeping statement kuwa, Watanzania walimpenda JPM sema wewe ulimpenda JPM usiwasemee watanzania kwani Zitto, Nape na wengine pia ni watanzania. Tafakari.Zitto ana chuki na watanzania kuliko magufuli kwa kuwa ana chuki ndani yake kwa kuwa anachukia kwanini watz tulimpenda JPM na ili tatizo la zitto wanalo viongozi baadhi ndani ya ccm na serikalini kama NAPE HATA SA100 ANALO ILO TATIZO CHUKI YA YAO KWA JPM IMEWAFANYA KUWACHUKIA WANANCHI HATA KILICHO WAKUTA WAMACHINGA NI CHUKI YA SA100 KWA JPM
Mbona aliojiwa kabisa na kuyasema hayo hatua kwa hatua, kuwa mama yake mzazi alimwita na kumwambia kuna kitu nataka lazima unifanyie wala usiwe na hofu ndipo akwamwambia nataka leo uniogeshe na upitishe mikono kila sehemu ya mwili wanguMaelezo yako ya mwanzo yako sahihi kabisa ! Lakini hayo unayoyaita ya waisiharamu hayo kwakweli siyafahamu ! Lakini pia ukikosana na watu wawili watatu wanne au hata kumi usiwachukulie kuwa watu wote wa dini ile au wa asili ile wako hivyo !! Unaambiwa Akili ni nywele kila MTU ana zake !!!
Duh !Mbona aliojiwa kabisa na kuyasema hayo hatua kwa hatua, kuwa mama yake mzazi alimwita na kumwambia kuna kitu nataka lazima unifanyie wala usiwe na hofu ndipo akwamwambia nataka leo uniogeshe na upitishe mikono kila sehemu ya mwili wangu
Kosalake ameaza akiwa na umri mdogosana itamkosti mbeleni kizazi hiki kigumu sio Cha akina lipumba kilikua softKulamba asali si mchezo, Zitto ameanza kuwa Mchumia tumbo! Muda si mrefu tutashindwa kumtofautisha Zitto na Mwijaku!
Sio Zitto tu. Lissu na Mbowe wote soon watakuwa kama Mwijaku.Kulamba asali si mchezo, Zitto ameanza kuwa Mchumia tumbo! Muda si mrefu tutashindwa kumtofautisha Zitto na Mwijaku!
Hiyo ni account yake ya Twitter na alipost yeye.Iyo ni propaganda hata kama zitto simwelewi hawezi kusema uchafu huo acheni kusingizia watu
naomba utufahamishe una elimu gani? na kimaisha umefikia level gani kiuongozi hapo ulipo?Post ya Zitto imenifanya niyaangalie haya mambo kwa mtazamo wa kidini, na inawezekana ni kweli yanafanyika kwa sababu hizo
Kama ni yeye basi ajihesabu kama kapi la Utanzaniayes, he did.
Shahada ya Uzamili ya Tehama. Sijafika level yoyote ya kiuongozi (na pia sidhani kama uongozi una levels, maana huko Sri Lanka, aliyekuwa Rais wakati mmoja, Mahinda Rajapaksa, alikuja kuwa Waziri Mkuu wakati uliofuata, na sasa ni mbunge)naomba utufahamishe una elimu gani? na kimaisha umefikia level gani kiuongozi hapo ulipo?
Asante, kwa yanayotokea inasikitishaNimekupa thanks kwa signature line yako. That's (somewhat) genius. Kifupi, hatuna nchi bali pepo ya mafisadi na wajinga.