Zitto awajibu Maria na Mshaba akiwahusisha na 'Udini'

Zitto awajibu Maria na Mshaba akiwahusisha na 'Udini'

Mimi ni mkristo na kuna mambo samiah amefanya vizuri sana anastahili pongezi.

Lakini hili la kusafirisha wanyama hai nitalipinga sio kwasababu yeye ni muislamu,au kwakuwa yeye ni mzanzibar au kisa yeye ni mwanamke!!!..arooo!!!

Wanyama ni rasilimali ya taifa ,nyara za taifa ,urithi wa taifa hili,pride ya taifa hili.

Mkiwauza huko nje wakawekwa kwenye zoo zao watakuja huku kufanya nini sasa !?

Kuna mambo tuwe tunafikiria basi

Kama wamejazana huko porini hadi kuingia makazi ya watu wachinjeni tuuzieni mimi sijawahi kula nyama ya swala au nyati tangu nizaliwe hio fursa nitaichangamkia haraka sana (demand &supply).

Kama hawaliwi wavuneni ngozi,kwato,sumu muuze kama products tupate hizo hela.

Acheni mambo ya kijinga


Mkuu naona huelewi principal za uchumi za kibeberu dhidi ya Afrika…endelea tu kuomba Mungu apatikane JPM mwingine…bila hivyo utaumiza kichwa sana
 
Zitto anaweza kuwa rais mzuri mara 100 zaidi ya jiwe.
Mungu ana njia zake za kutuonesha watu sahihi wa kuongoza Taifa letu.

You can imagine mtu wa aina hii ndio angekuwa Rais.

Si angejenga misikiti nchi nzima.
 
Hivi huyo aliyeandika hivyo ni amesoma chuo gani kwanini asinyang'anywe vyeti. Kauli kama hiyo hawezi ongea mtu msomi. Kwanini uwaze hivyo mtu msomi. Mtu anayeweza makabila na dini akilini mwake ni poor minded kabisa.
Kageuka popoma wa dini, siku hizi hata Serikali ipuyange vipi kukosoa ni nadra sana.
 
Tumekuwa na Rais mkatoliki kwa miaka mitano. Huyo mkatoliki amekuwa akisemwa, akikosolewa na akiitwa majina mabaya na wakatoliki, waprotestanti na waislamu lakini sikusikia akiwaambia waislamu kuwa wanamkosoa kwa sababu ni mkatoliki. Leo hii tuna Rais mwanamke, muislamu na mzanzibari. Huyu akikosolewa na mmisheni basi kuna baadhi ya waislamu wanawashutumu kuwa wanafanya hivyo kwa sababu ni muislamu. Wanasahau kuwa hawa wamisheni wamekuwa wakiwakosoa wakina Benjamini, Jakaya na John bila kusita! Mdini ni yule ambae haoni taabu kumkosoa mwenye dini tofauti na yake na anashindwa kumkosoa mwenye dini kama ya kwake.

Amandla...
Siku zote inferiority complex waga inawasumbua, wanashika madaraka lakini bado wasiwasi unatawala akilini mwao.
 
Nyie wakristo mna chuki mno na Waislamu, na pindi Rais akiwa muislamu hakuna hata zuri lake moja ambalo mnaliona, mkristo mwenzenu kaua watu,kateka watu,kafunga watu, katupora fedha zetu Wengine kwenye maduka ya kubadilishia fedha, mlikuwa yote hayo mnashangilia kisa tu mkristo mwenzenu mmbbwa nyie,

Leo Samia kapandisha mishahara,katoa ajira, wakati yule shetani muuaji kipindi chote akufanya hayo,

Samia Ni Rais Bora Sana kwa Tanzania,huwezi kumlinganisha na lile shetani lenu,

Asilimia kubwa wanamtukana Samia Ni wakristo na mazezeta machache yasiyo jitambua, dikteta muuaji ameharbu Sana mentality za vijana wetu shetani yule
Wewe naye una matatizo siyo bure, tafuta Nyuzi za kumkosoa Hayati Magufuli humu zimejaa, tena waliokosoa wengi ni wagalatia wenzake.
 
Zitto kabwe ameibuka na kauli kuhusu Usafirishaji wa wanyama Pori kwenda nje ya nchi uliositishwa leo na Waziri wa Maliasili na utalii akisema umegubikwa na udini ndani yake.

Kwamba waliokosoa wanaichukia Serikali kwa sababu inaongozwa na Rais Samia ambaye ni Mwislam, kwahiyo anaona watu kuhoji wamekosa uvumilivu wa dini.

Zitto ni mdini sana hafai kuongoza nchi hii hata siku moja.

Zitto kabwe

View attachment 2251667
Huyu karogwa sio bure, huwezi kufilisika kisiasa kiasi hiki.
 
kajiua mwenyewe kwa ushamba wake ,wenzie walikuwa wanachukua tahadhali,yeye alivyo kichwa maji akajifanya mwamba kuivimbia Covid19 hili apate sifa
Wazungu waliokufa kwa korona na madaktari waliokufa kwa korona wao ilikuwa vipi ni washamba
 
Watu msicho kijua kuhusu sa100 ndiyo mnapata tabu samia anafundishwa na Rostam Azizi jinsi ya kutuliza mambo kifisadi sasa hivi mama ana mwaga pesa kila panapo onyesha kusimama dhidi yake ....kama mtakumbuka mbowe aliulizwa swali tata sana ila kwa sisi wenye akili tunajua maana ya lile swali " kwani wewe mbowe unstaka nini upewe utulie" ilo ndiyo swali lenyewe.
KWA KIFUPI SA 100 MTOA ASALI, ILI KUVUNJA VUNJA NGOME NA HATA MZOZO WA CHAMA CHA MBATIA SA100 KAMWAGA ASALI ILI KUTOKEE USALITI
Inawezekana kuna ukweli hapa.
 
Zitto yupo kimkakati, yaani anachofanya ni kuwarushia ndoano mhangaike nayo as amefanya.

Hiyo ni njia ya kutafuta wapiga kura wajinga wasio na uelewa, watakaosema kumbe wakristo wanatuchukia ngoja niungane na muislam mwenzangu!.
Siasa hizi hazijawahi kumuacha mtu salama
 
Nyie wakristo mna chuki mno na Waislamu, na pindi Rais akiwa muislamu hakuna hata zuri lake moja ambalo mnaliona, mkristo mwenzenu kaua watu,kateka watu,kafunga watu, katupora fedha zetu Wengine kwenye maduka ya kubadilishia fedha, mlikuwa yote hayo mnashangilia kisa tu mkristo mwenzenu mmbbwa nyie,

Leo Samia kapandisha mishahara,katoa ajira, wakati yule shetani muuaji kipindi chote akufanya hayo,

Samia Ni Rais Bora Sana kwa Tanzania,huwezi kumlinganisha na lile shetani lenu,

Asilimia kubwa wanamtukana Samia Ni wakristo na mazezeta machache yasiyo jitambua, dikteta muuaji ameharbu Sana mentality za vijana wetu shetani yule
Achana upumbavu wako! Kikwete hakuna watu? Dr Mvungi,Maandishi mwangosi? Dr Ulimboka alitekwa vipi Raise alikuwa mkristo? Ufisadi kila kona ya nchi chini ya Kikwete hukuuona! Hata huyu bibi yako Kafanya lipi la maana kila kitu kinapanda bei anasingizia Ukraine!
 
Sidhani kama Zitto anaweza kuandika hivyo! lkn kama ni yy kweli basi ujinga wake utakuwa uma-martipply Zitto ashindwe kuandika ujinga kwa akili gani aliyo nayo! Yule anaumwa wadudu wako kichwani tayari ARV zimeishiwa nguvu tegemea maajabu zaidi!
 
Tuwaulize nyie wakristo, kinachofanya mtake hii Nchi waongoze wakristo tu Ni kitu gani haswa? Ilhali kiongozi akiwa mkristo Hadi mauaji yanaongezeka,na pia wanatawala kwa mkono wa chuma!
Mimi sio mkristu.. Sina dini maana dini zote Afrika zimekuja kututesa Waarabu walituchukua utumwani na wazungu walitufanya watumwa nchini kwetu na bado wanasema mambo ya miungu yao muhimu
 
Zito kamkosoa magufuli, na bado anaendelea Hadi kwenye umauti wake, lakini hakuna aliemuita zito mdini.
Leo watu kuhoji juu ya rasilimali zao, kisa tu anaehojiwa ni dini moja na zito ndio anaitwa mdini.
Hivi huyu jamaa kumbe ni mtupu hivi, alifikaje hapo alipo?
 
Back
Top Bottom