Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kum-komboa nani? Wacha pumba wewe!
Zitto anasema kweli na kweli tupu! Kwa nini wale wanne wa NCCR waliondoka Chadema? Jibu: wameona ni chama kinachoendeshwa Kidikteta na Kidini, kama ni muIslam huna thamani Chadema, kama yanayomkuta Zitto sasa hivi na karibuni tutasukia Arfi nae hayo hayo.
huyu bwana zito naamini kabisa kuwa kalewa sifa, na kujiona yeye ndio yeye bila yeye mambo hayaendi, kama ni kweli kauli yake hiyo ina maana kwamba nae anataka kuhama CDM, awe muwazi au anatumiwa na awa mabwana wakubwa wanaodhani nchi hii ni ya kwao peke yao? wanaokula nyama bila hata kubakiza mifupa na wakibakiza wanaitupa mbali ili wale wasio na uwezo wanuse hata harufu ya nyama?
ana mpango wa kuhama chama ndo maana anadhan cdm itakosa kiti hata kimoja, ngoma ikilia sana ujue inakaribia kupasuka_umaarufu wa mtu unatokana na watu_watu wakikuelewa na kukudharau ujue mwisho wako unakuwa umefika_ndugu yangu wa kigoma mwenzangu mwisho wake umefikaZitto bana anazidi kuwakasirisha cdm, sijui ana mpango gani kichwani mwake
kukukomboa wewe, RA, EL na Chenge kutokana na dhambi ya kulitafuna Taifa na kutufanya sisi tusiokuwa na fursa mabwegeKum-komboa nani? Wacha pumba wewe!
Jana naibu katibu mkuu wa CDM Zitto kabwe amefanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya kawawa mjini kigoma na kueleza haja ya kufanya tathnimini ndani ya chama juu ya uchaguzi uliopiita
Alisema katiak majimbo nane ya mkoa wa Kigoma CDM imepata kiti kimoja, NCCR mageuzi vinne na vilivyobaki vimekwenda kwa CCM
amesema jambo la kujiuliza kuwa kati ya wbaunge wanne wa NCCR mageuzi, watatu wametoka CDM na hadi mwaka jana walikuwa huko
amesema CDM ifanye tathimini kwani itacfika wakati hasa 2015 inaweza ikakos ambunge katika mkoa wa Kigoma
Zitto anasema kweli na kweli tupu! Kwa nini wale wanne wa NCCR waliondoka Chadema? Jibu: wameona ni chama kinachoendeshwa Kidikteta na Kidini, kama ni muIslam huna thamani Chadema, kama yanayomkuta Zitto sasa hivi na karibuni tutasukia Arfi nae hayo hayo.