Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Zitto anasema kweli na kweli tupu! Kwa nini wale wanne wa NCCR waliondoka Chadema? Jibu: wameona ni chama kinachoendeshwa Kidikteta na Kidini, kama ni muIslam huna thamani Chadema, kama yanayomkuta Zitto sasa hivi na karibuni tutasukia Arfi nae hayo hayo.
Hizi pumba hata kuku wa kienyeji hawaziokoti.