Zitto, Habibu Mchange hana sifa za Kukunadi

Zitto, Habibu Mchange hana sifa za Kukunadi

Na ndio maana tuliomba kuwa CC ya chama ivunje bavicha yote na kuundwa upya kwa kuwa wenyeviti wengi wa bavicha wilayani wanafadhiliwa na zito na walio wengi ni wale wote walio toka kumaliza chuo hivi karibuni na hawana kaz hivyo anawatumia kama mtaji wa kisiasa na mpaka anafikia atua ya kutangaza kugombea uraisi kwa kuwa anajua sapoti kubwa teyari ameiandaa nasema ni muda mwafaka chadema kuwaondoa ndani ya chama wanafiki wote na wakaanzishe chama chao lakin kuzidi kuwakumbatia hawa jamaa kwa kuogopa kuwapa watu mtaji wa kisiasa watu wengi wanazidi kukata tamaa baada ya kuona kuwa wanazikimbia lafu ccm wanakuja kukumbana nazo huku.

Mwenyekiti tunaomba utumie kiti chako kuyasawazisha haya pasipo kumuogopa mtu kwa kuwa hakuna aliye zaliwa na chadema wote wamekikuta.
 
Mtoa mada ame muona mchange ana kasoro mimi nakubari ila zito safi pia nakanusha kama mnyika ana urafiki na hawa mwaifunga huyu hawa ana tabia ya kuzusha asha sema mbowe ni mpenzi wake pia ashasema dk,slaa ana msumbua sasa huyo ni muongo.
 
Haya ndiyo matokeo ya watu kutangaza urais mapema na kuunda makundi
 
Inaonekana vijana wamegawanyika.
Hiyo Makala imetulia na ni maoni yangu mchange ataandika makala kujibu hizo hoja

Mkiweka hizo msg ambazo mmesema mmeprint kutoka vodacom mawasiliano ya Mbowe,Slaa na Ben Saanane mtakua mna risk kuwa sued kwa kuingilia privacy au kampuni ya vodacom.

Hivyo vifaa vyote ben nae ni jasusi?kuna harufu ya ujasusi hapa
 
hakika umeitendea haki jf. hayo ndo mawazo tunahitaji. ntakuunga mkono kwa kuleta nyingine.
 
Chadema ina matatizo na yawezekana kabisa ukawa mwisho wa Umaarufu wake. Nazisoma dalili za chama kusambaratika kabla ya 2015, na maadam mashambulizi yanazidi kwa Zitto na Kitila sijui kama tutafika, sisi wengine tayari tumeisha anza kukusanya empty cartons...
 
Hakika mkuu ww unamjua huyu kijana mchange. Nakumbuka wakati anagombea BAVICHA aliweka mtandao wa kupokea vijana na huku akiwapa pesa VIA MPESA yeye mchange tunamjua hana pesa za kuhonga je alihongwa na nani hilo ndo swali 2lijiuliza sisis watu makini. Tukajua baadae kuwa ZITO alikuwa nyuma yake ktk mpango wa kuteka ngome ya Vijana kwani alishamleta JULIANA M/M/KITI BAVICHA Na inasemekana akawa mwandani WAKE. MUNGU halali usingizi ule mpango ukavuja na MCHANGE akawa out of the Rase. .

Kumbe rushwa na huko ipo? ama!
 
Chadema ina matatizo na yawezekana kabisa ukawa mwisho wa Umaarufu wake. Nazisoma dalili za chama kusambaratika kabla ya 2015, na maadam mashambulizi yanazidi kwa Zitto na Kitila sijui kama tutafika, sisi wengine tayari tumeisha anza kukusanya empty cartons...

Chadema haitasambaratika mkuu.tunaanza kuchukua chama mwakani na kisha urais 2015.
ben saanane na kaka yake mnyika na baba zake slaa na mbowe sijui watafanyaje
Uenyekiti wa vijana mwakani atausikia tu.
 
Chadema ina matatizo na yawezekana kabisa ukawa mwisho wa Umaarufu wake. Nazisoma dalili za chama kusambaratika kabla ya 2015, na maadam mashambulizi yanazidi kwa Zitto na Kitila sijui kama tutafika, sisi wengine tayari tumeisha anza kukusanya empty cartons...

Nani anawapiga vita? Nani anawashambulia?

You wish! Kama unataka kukisaidia chama, usitake kukisaidia kwa masharti.
I am just saying, you know what i mean.
 
Nani anawapiga vita? Nani anawashambulia?

You wish! Kama unataka kukisaidia chama, usitake kukisaidia kwa masharti.
I am just saying, you know what i mean.
Alaaa! kumbe huu ni msimamo wa chama?..SIKUJUA..Basi nihesabuni sio mwanachama na kadi yenu nitawarudishia..Sitaki unafiki kabisa..
 
Mi ngoja niwe msomaji maana naona wanafiki washaanza utabiri!! "CDM itakufa!!"

Mtoa mada hakika umechambua vyema ndo maana unaona watu wanashindwa jikita kwenye mada wanaleta utoto, maana umemaliza kila kitu!!
 
Mi ngoja niwe msomaji maana naona wanafiki washaanza utabiri!! "CDM itakufa!!"

Mtoa mada hakika umechambua vyema ndo maana unaona watu wanashindwa jikita kwenye mada wanaleta utoto, maana umemaliza kila kitu!!
Kama leo hii mmefikia kuanza kuandika hata maswala ya ndani ya CDM hapa JF na kupambana wenyewe mnafikiri mnakipeleka wapi chama? usinifikirie mimi Mkandara kuwa kikwazo, bali fikirieni athari ya maneno mnayoandika.

Kama Zitto hafai hilo mtaamua siku ya kura, lakini kumwingiza Kitila Mkumbo ktk vita yenu ya madaraka huko Bavicha inatueleza mengi zaidi ya mchango wenu kuwa mna siasa za chuki, fitna, ushindani na majungu - 2015 hamtafika salama!
 
Mchange, Mtela na Juliana ni madudu matupu!....... najuta kuwafahamu. Kiama yao imefika na Zitto wao
 
Kuna migogoro mikubwa sana hata CCM au UVCCM, Je, umeshawahi kumwona kiongozi yeyote akiandika ugonvi wao ktk mitandao? mara zote utaona ni watu tu walotuhabarisha kilichotokea lakini katu hutamsikia kiongozi mmoja akimsema mwenzake vijiweni...
Jifunzeni siasa mkiambiwa mnakuja juu lakini Bavicha kumejaa wachumia tumbo tu.
 
Zitto usiogope tuko nyuma yako usijali vitisho huku mtaani wengi wanakkunga mkono hao wakabila na wadini ndio mwisho wao
 
Kuna migogoro mikubwa sana hata CCM au UVCCM, Je, umeshawahi kumwona kiongozi yeyote akiandika ugonvi wao ktk mitandao? mara zote utaona ni watu tu walotuhabarisha kilichotokea lakini katu hutamsikia kiongozi mmoja akimsema mwenzake vijiweni...
Jifunzeni siasa mkiambiwa mnakuja juu lakini Bavicha kumejaa wachumia tumbo tu.

Ndio maana huwa nasema "Demokrasia sio Mfumo sahihi kwetu" HATUIWEZI! Imepandikizwa kwetu kuendeleza UNYONGE WETU, haina inachosadifu kwetu!
Hiyo ya Zito na Cdm ni kapunje kadogo sana ka uozo wa Demokrasia, yenyewe INANUKA kabisa!
Lakini kwa vile tunahisi sisi ni watoto bado, acha tujaribu kugusa moto labda tutajifunza!
Mungu wetu anaita sasa!
 
"Chadema Chadema, Zitto's power, Tanzania Tanzania, Zitto's power"

Hehee, naimba tu wimbo wa Chadema wajameni! Hehee
 
Kama leo hii mmefikia kuanza kuandika hata maswala ya ndani ya CDM hapa JF na kupambana wenyewe mnafikiri mnakipeleka wapi chama? usinifikirie mimi Mkandara kuwa kikwazo, bali fikirieni athari ya maneno mnayoandika.

Kama Zitto hafai hilo mtaamua siku ya kura, lakini kumwingiza Kitila Mkumbo ktk vita yenu ya madaraka huko Bavicha inatueleza mengi zaidi ya mchango wenu kuwa mna siasa za chuki, fitna, ushindani na majungu - 2015 hamtafika salama!


Mkandara bwana!!
Mleta mada hajamuingiza Kitila BAVICHA, nyinyi ndo mnamuingiza!! Mkuu sio vizuri kushadadia mambo ili kuleta mgongano! Mada inaeleweka vizuri msiingize mambo yenu!

Nimeamua kuwa msomaji maana naona Tuntemeke (from TUNduma toTEMEKE) lafikio kajitahidi kuja na ID mbili zikaumbuliwa kaanzisha ya tatu!! Wewe nae unapiga ndogondogo akija na M. Mwanakijiji, Ritz nae akachombeza lengo lazima litimie!!

Mmh!! Mi yangu macho Bwana Mkandara!! Nawaombea CDM kwa Mola busara na uvumilivu zaidi!!
 
Back
Top Bottom