Zitto, Habibu Mchange hana sifa za Kukunadi

Zitto, Habibu Mchange hana sifa za Kukunadi

Mkandara bwana!!
Mleta mada hajamuingiza Kitila BAVICHA, nyinyi ndo mnamuingiza!! Mkuu sio vizuri kushadadia mambo ili kuleta mgongano! Mada inaeleweka vizuri msiingize mambo yenu!

Nimeamua kuwa msomaji maana naona Tuntemeke (from TUNduma toTEMEKE) lafikio kajitahidi kuja na ID mbili zikaumbuliwa kaanzisha ya tatu!! Wewe nae unapiga ndogondogo akija na M. Mwanakijiji, Ritz nae akachombeza lengo lazima litimie!!

Mmh!! Mi yangu macho Bwana Mkandara!! Nawaombea CDM kwa Mola busara na uvumilivu zaidi!!
Hivi mnaposoma hoja za mtu huwa mnasoma na kuzielewa ama?..nachosema mimi ni kwamba ugonvi wetu huko Bavicha hakuna sababu ya kumwingiza Kitila ktk mgogoro huu wala kumtaja Dr.Slaa aliamua vipi wakati hukuwepo kichwani kwake..Tunajua hamumpendi Zitto kabisa hata angekuwa na miaka 50.

Mada inaeleweka vizuri kwa mtazamo wako wewe lakini kwangu miye haya ni matusi ya nguoni.. Kiongozi hutakiwi kuwa chini kiasi hiki..Kuna mambo ya chama mnayaacha chamani, kuna msemo usemao What Happens in stays in Vegas sijui kama mnaelewa maana yake.. Mnachotuonyesha hapa ni jinsi gani msivyokuwa na hekima wala busara kutokana na makundi yenu ya ufitini..
 
Zitto usiogope tuko nyuma yako usijali vitisho huku mtaani wengi wanakkunga mkono hao wakabila na wadini ndio mwisho wao

Upo nyuma ya masaburi Zitto au upo nyuma ya keyboard.?

Kuwa serious koz hueleweki upo nyuma ya Zitto kivip.
 
Hivi mnaposoma hoja za mtu huwa mnasoma na kuzielewa ama?..nachosema mimi ni kwamba ugonvi wetu huko Bavicha hakuna sababu ya kumwingiza Kitila ktk mgogoro huu wala kumtaja Dr.Slaa aliamua vipi wakati hukuwepo kichwani kwake..Tunajua hamumpendi Zitto kabisa hata angekuwa na miaka 50.

Mada inaeleweka vizuri kwa mtazamo wako wewe lakini kwangu miye haya ni matusi ya nguoni.. Kiongozi hutakiwi kuwa chini kiasi hiki..Kuna mambo ya chama mnayaacha chamani, kuna msemo usemao What Happens in stays in Vegas sijui kama mnaelewa maana yake.. Mnachotuonyesha hapa ni jinsi gani msivyokuwa na hekima wala busara kutokana na makundi yenu ya ufitini..
Mkandara bwana na wwe unajadili watu humu jukwaan ama kwel taifa linakwenda kubaya kama hawa ndio wasomi 2lionao ambao wanaamini katika watu badala ya SERA NA ITIKAD
 
Kumbe rushwa na huko ipo? ama!

Rushwa Chadema haipo.Ingekuwepo hawa wanaochafua viongozi wa chama kwenye mitandao wangekua viongozi wa BAVICHA.Huku tunapambana na Rushwa na ndiyo maana walienguliwa na kamati kuu tofauti na UVCCM ambako aliyetoa Rushwa ndiye anapeta.Huku kwetu ni maamuzi magumu tu
 
Mkandara mkuu wangu!! Mbona unatumia nguvu nyingi!? Be wise!! Nisome vizuri.

Mimi si muumini wa siasa za makundi mkuu, naitambua CDM kama Taasisi, haya mambo ya Zitto,Mbowe na Dr. Slaa siyajui!! Kwamba simpendi Zitto unanihikumu bure! Nina imani kwa wafuasi wa CDM hakuna anaemchukia Mh. Zitto(labda kwa mambo binafsi) bali watu wanachoshwa na mpangilio wa mambo yake kisiasa na kumuona KAMA msarti ukizingatia yeye ni kijana anayetakiwa kuchanganua mambo kwa haraka zaidi!!

Ndugu Mkandara, watanzania wana kiu ya mabadiliko, lakini ukimtazama Mh. Zitto kwa kiu ya mabadiliko ukaunganisha tuhuma zinazomkabili(ambazo hajawahi kuzitolea ufafanuzi) ni wazi anajipunguzia credit machoni pa watanzania na mimi nikiwemo!!

Mkandara, hebu ondoa wazo la "Zitto anachukiwa," umtafakari kwa mapana yake kadri utakavoweza!! Nina imani utarudi useme STIDE uko sahihi!!

Zaidi, piga M4C popote pale ulipo tuondokane na utwana huu!!
 
Hivi mnaposoma hoja za mtu huwa mnasoma na kuzielewa ama?..nachosema mimi ni kwamba ugonvi wetu huko Bavicha hakuna sababu ya kumwingiza Kitila ktk mgogoro huu wala kumtaja Dr.Slaa aliamua vipi wakati hukuwepo kichwani kwake..Tunajua hamumpendi Zitto kabisa hata angekuwa na miaka 50.

Mada inaeleweka vizuri kwa mtazamo wako wewe lakini kwangu miye haya ni matusi ya nguoni.. Kiongozi hutakiwi kuwa chini kiasi hiki..Kuna mambo ya chama mnayaacha chamani, kuna msemo usemao What Happens in stays in Vegas sijui kama mnaelewa maana yake.. Mnachotuonyesha hapa ni jinsi gani msivyokuwa na hekima wala busara kutokana na makundi yenu ya ufitini..

Mkandara,
Unapenda mabadiliko na ni lazima ujue mabadiliko yana changamoto kama hizi

Kitila na Zitto wakitaka kuepuka kuingizwa mambo ya bavicha basi asikubali kuingizwa huko na vijana.Kitila ni msomi mzuri na yupo karibu na vijana lakini awe makini sana.kwa mfano uchaguzi wa Bavicha alishauriana na baadhi ya vijana na kumbuka ndiye mlezi wa mtandao wa vijana wa chadema chuo kikuu(CHASO).Hawezi kujitenga na Bavicha.Juliana Shonza alikua makamu mwenyekiti wa CHASO kabla hajawa makamu mwenyekiti wa BAVICHA.Kitila anaweza kutumika vizuri kuishauri bavicha positevely

Zitto anajiingiza Bavicha na siyo siri kwa kuwa Chadema hakuna cha kuficha isipokua mikakati ya ndani na nyeti.Suala la Zitto kuingilia Chaguzi za Bavicha lipo wazi.Anajiingiza mwenyewe kwa malengo binafsi.Usimlaumu mleta makala au mchangiaji.Ni nani asiyejua jinsi Zitto anavyo-finance mtandao huu wa vijana?Kama isingekua Zitto hii makala tunayojadili hapa isingekuwapo kutokana na yeye kutumia vijana
Chadema haitasambaratika bali maadui wa harakati za mabadiliko hawatafanikiwa.Ni bora tuwe wapambanaji wachache kuliko kuleana huku
M4C ni programme ya Chama lakini mtu anaibuka kuikejeli kwa makala.Anaikejeli kwa makala huku akimsifu Zitto.Tulitegemea angekemea hili lakini yupo kimya.unapata picha gani hapo?
 
Mkandara bwana na wwe unajadili watu humu jukwaan ama kwel taifa linakwenda kubaya kama hawa ndio wasomi 2lionao ambao wanaamini katika watu badala ya SERA NA ITIKAD

Magesi,
Mkandara anakua confused na baadhi ya mambo.Ni mzuri kwenye hoja na sera.Jana angekua hapa Mods angechoka na matusi ya akina mchange dhidi ya mnyika,ben saanane,mbowe na slaa.Bora mods walifuta karibia page 5 katika hii thread.Kumbe Libasket ni TUNTEMEKE.Taasisi ya akina mchange,mwampamba n.k
 
Hivi mnaposoma hoja za mtu huwa mnasoma na kuzielewa ama?..nachosema mimi ni kwamba ugonvi wetu huko Bavicha hakuna sababu ya kumwingiza Kitila ktk mgogoro huu wala kumtaja Dr.Slaa aliamua vipi wakati hukuwepo kichwani kwake..Tunajua hamumpendi Zitto kabisa hata angekuwa na miaka 50.

Mada inaeleweka vizuri kwa mtazamo wako wewe lakini kwangu miye haya ni matusi ya nguoni.. Kiongozi hutakiwi kuwa chini kiasi hiki..Kuna mambo ya chama mnayaacha chamani, kuna msemo usemao What Happens in stays in Vegas sijui kama mnaelewa maana yake.. Mnachotuonyesha hapa ni jinsi gani msivyokuwa na hekima wala busara kutokana na makundi yenu ya ufitini..

Mkandara mbona unakoamaa sana watu wampende Zitto bila sababu?Zitto mwenyewe ana tabia zinazochukiza watu huku akizidi kuzikuza.Sasa naona umeamua kukubali kuwa kazi yako humu ndani ni kuishambulia CDM tuu.
 
-Siku watanzania tutakapoamua kuamini katika ujenzi wa Taasisi imara badala ya watu tutakua tmepiga hatua sana

-Hatutafuti kujenga watu bali Chama imara ambacho kitaweza kutoa wagombea au viongozi imara wenye misingi katika taasisi adilifu na inayosimamia mchakato wa mabadiliko kwa ufanisi

-Hakuna asiyejua Taifa letu lina ombwe la kisera na kiitikadi.Hatuwezi kutatua au kuziba ombwe hili kwa kutegemea haiba(legacy) ya mtu mmoja mmoja.Tukifanya hivyo tutakuwa tunafanya worse kuliko enzi za state party.Tutakua tunaandaa mazingira ya mtu kushika hatamu

-Hoja hii haitakiwi kupaliliwa na vijana ambao ndiyo wanaotarajiwa kuamua hatima ya Taifa letu

Hebu tujenge Chama kwanza kwani bila chama imara hakuna mgombea yeyote hata awe na nguvu kiasi gani atakayeweza kupambana mfumo huu ulioasisiwa na CCM kwa makusudi kabisa kwq maslahi yake

Hatujengi watu imara wa kupigana vita za koo.Tunajenga chama kuongoza ukombozi wa watanzania.

Kumuunga mtu mkono bila kujali mahitaji ya kisera na kiitikadi katika kile anachosimamia ni immaturitu ya aina yake.Kwa kijana msomi kabisa anayeelewa haya na akafanya makusudi atakua msaliti katika harakati hizi
 
Mkandara,
Unapenda mabadiliko na ni lazima ujue mabadiliko yana changamoto kama hizi

Kitila na Zitto wakitaka kuepuka kuingizwa mambo ya bavicha basi asikubali kuingizwa huko na vijana.Kitila ni msomi mzuri na yupo karibu na vijana lakini awe makini sana.kwa mfano uchaguzi wa Bavicha alishauriana na baadhi ya vijana na kumbuka ndiye mlezi wa mtandao wa vijana wa chadema chuo kikuu(CHASO).Hawezi kujitenga na Bavicha.Juliana Shonza alikua makamu mwenyekiti wa CHASO kabla hajawa makamu mwenyekiti wa BAVICHA.Kitila anaweza kutumika vizuri kuishauri bavicha positevely

Zitto anajiingiza Bavicha na siyo siri kwa kuwa Chadema hakuna cha kuficha isipokua mikakati ya ndani na nyeti.Suala la Zitto kuingilia Chaguzi za Bavicha lipo wazi.Anajiingiza mwenyewe kwa malengo binafsi.Usimlaumu mleta makala au mchangiaji.Ni nani asiyejua jinsi Zitto anavyo-finance mtandao huu wa vijana?Kama isingekua Zitto hii makala tunayojadili hapa isingekuwapo kutokana na yeye kutumia vijana
Chadema haitasambaratika bali maadui wa harakati za mabadiliko hawatafanikiwa.Ni bora tuwe wapambanaji wachache kuliko kuleana huku
M4C ni programme ya Chama lakini mtu anaibuka kuikejeli kwa makala.Anaikejeli kwa makala huku akimsifu Zitto.Tulitegemea angekemea hili lakini yupo kimya.unapata picha gani hapo?
Kwa hiyo unataka kunambia M4C ni mabadiliko ndani ya Chadema?.. Hivi ni changes zipi mnazokusudia kuzifanya nilidhani mnaenda kukitangaza chama kwa wananchi kumbe ni mabadaliko ndani ya chama..

Kunisaidia naomba mnambie mnabadilisha nini?. Hii M4C ina ujumbe gani kwetu sisi?
 
Kwa hiyo unataka kunambia M4C ni mabadiliko ndani ya Chadema?.. Hivi ni changes zipi mnazokusudia kuzifanya nilidhani mnaenda kukitangaza chama kwa wananchi kumbe ni mabadaliko ndani ya chama..

Kunisaidia naomba mnambie mnabadilisha nini?. Hii M4C ina ujumbe gani kwetu sisi?

Hivi mkuu kuna mahali nilipokuambia M4C ni mabadiliko ndani ya Chama?Hebu soma post yangu yote kaka ulinganishe na ulichoandika kama vina uhusiano

M4C ni programme maalum kama ilivyokua operesheni sangara.Hii programme ni non stop.Unakumbuka operesheni sangara ilikua ikifanyika mara nyingi baada au kabla ya bunge?

M4C ipo na ina ratiba yake katika kueneza sera za chama na kutoa elimu ya Uraia hadi vijijini kwa mgawanyiko wa majukumu.Hii ni more sophisticated kuliko operesheni sangara kimuundo na kiutekelezaji

Chadema si chama cha kwanza kufanya hivi ingawa programe hii iko more advanced.Chama cha FDC Uganda kina programe ya Action for Change ingawa kimuundo na kiutekelezaji haifanani na si advanced kama chadema.Yenyewe ni ya kimatukio zaidi na haina ratiba.

M4C ina wakurugenzi wanaosimamia katika mikoa na majimbo ili kuongeza ufanisi katika vuguvugu la mabadiliko na chama kuwafikia wapiga kura zaidi.So ni improvement ya harakati zetu zaidi
 
Sidhani kwa mtu ana ye kitakia mema chama ana weza kutamka maneno kama haya! Lazima tujue kuwa mtu hawezi kupendwa na watu wote, na mtu wenye matunda ndio utupiwa mawe!

Maneno yako nimeshindwa kuyatofautisha na maneno ya wassira!

Chadema ina matatizo na yawezekana kabisa ukawa mwisho wa Umaarufu wake. Nazisoma dalili za chama kusambaratika kabla ya 2015, na maadam mashambulizi yanazidi kwa Zitto na Kitila sijui kama tutafika, sisi wengine tayari tumeisha anza kukusanya empty cartons...
 
Alaaa! kumbe huu ni msimamo wa chama?..SIKUJUA..Basi nihesabuni sio mwanachama na kadi yenu nitawarudishia..Sitaki unafiki kabisa..

mpambanaji wa kweli hawezi kukata tamaa,kwa nini utishie kurudisha kadi ya chama?

Sababu zipi za kurudisha kadi ya chama?
 
Hivi mkuu kuna mahali nilipokuambia M4C ni mabadiliko ndani ya Chama?Hebu soma post yangu yote kaka ulinganishe na ulichoandika kama vina uhusiano

M4C ni programme maalum kama ilivyokua operesheni sangara.Hii programme ni non stop.Unakumbuka operesheni sangara ilikua ikifanyika mara nyingi baada au kabla ya bunge?

M4C ipo na ina ratiba yake katika kueneza sera za chama na kutoa elimu ya Uraia hadi vijijini kwa mgawanyiko wa majukumu.Hii ni more sophisticated kuliko operesheni sangara kimuundo na kiutekelezaji

Chadema si chama cha kwanza kufanya hivi ingawa programe hii iko more advanced.Chama cha FDC Uganda kina programe ya Action for Change ingawa kimuundo na kiutekelezaji haifanani na si advanced kama chadema.Yenyewe ni ya kimatukio zaidi na haina ratiba.

M4C ina wakurugenzi wanaosimamia katika mikoa na majimbo ili kuongeza ufanisi katika vuguvugu la mabadiliko na chama kuwafikia wapiga kura zaidi.So ni improvement ya harakati zetu zaidi
Nadhani bila shaka wewe ndio umeingilia mlango w nyuma maana mwanzo wa hoja yako umesema -
Mkandara,
Unapenda mabadiliko na ni lazima ujue mabadiliko yana changamoto kama hizi
Kisha unaonya kuhusu Kitila kuingilia kuingilia ya Bavicha na umemtaja kwa tahadhari huku ukimsodoa Zitto kujiingiza Bavicha wakati unasahau ya kwamba ni Zitto alikuwa muasisi wa chombo hiki ndani ya Chadema. Vijana mmekaribushwa ndani ya chama tayari mnataka kuanza kuleta vurugu hii kitu haikubaliki.

Siwalazimishi kumpenda Zitto japokuwa ni WAJIBU wenu nyote, mkiwa chini ya Uongozi wake. Unachoweza kufanya ni kumkosoa kingozi pale anapokosea, lakini sio kabisa maswala ya kutopendana. Kuonyesha chuki zenu kwa kiongozi wako wakati bado upo ndani ya chama hicho hicho mnaandika madudu yenu hapa JF ni dalili kubwa ya kuonyesha kwamba hamjui na wala hamjakomaa kisiasa..Mbona miye nawakosoa wote na sionyeshi chuki ila heshima kwa viongozi?.
 
niliwahi kusema wakati fulani vijana wanaoamini kuwa wao ndo wanaostahili nafasi fulani ya uongozi huwa ni hatari sana kwa ujenzi wa demokrasia,ni vijana hao hao ambao wanakutwa na udhaifu wa rushwa na wanapoyakosa madaraka huanza kuwatusi, kukejeli wenzao wasafi na hata kudhihaki.

Sasa, kwa jinsi nilivyoona jana kama ile ni team ya supporters wa mtu mwenye nia ya urais hakika tuna safari ndefu kujenga chama na kupigania mabadiliko ya kweli.

Napenda kushauri viongozi wa CHADEMA popote walipo iwe toka kijiji mpaka taifa kuwaelewa undani vijana na yeyote mwenye nia ya kugombea nafasi yoyote ya chama ama taifa ili kuwa na team ya uhakika na real comitted kwa mabadiliko. Tusimame imara!
 
Nadhani bila shaka wewe ndio umeingilia mlango w nyuma maana mwanzo wa hoja yako umesema - Kisha unaonya kuhusu Kitila kuingilia kuingilia ya Bavicha na umemtaja kwa tahadhari huku ukimsodoa Zitto kujiingiza Bavicha wakati unasahau ya kwamba ni Zitto alikuwa muasisi wa chombo hiki ndani ya Chadema. Vijana mmekaribushwa ndani ya chama tayari mnataka kuanza kuleta vurugu hii kitu haikubaliki.

Siwalazimishi kumpenda Zitto japokuwa ni WAJIBU wenu nyote, mkiwa chini ya Uongozi wake. Unachoweza kufanya ni kumkosoa kingozi pale anapokosea, lakini sio kabisa maswala ya kutopendana. Kuonyesha chuki zenu kwa kiongozi wako wakati bado upo ndani ya chama hicho hicho mnaandika madudu yenu hapa JF ni dalili kubwa ya kuonyesha kwamba hamjui na wala hamjakomaa kisiasa..Mbona miye nawakosoa wote na sionyeshi chuki ila heshima kwa viongozi?.
Mkuu hapo nilikoongelea mabadiliko na changamoto nilikua natoa comment kuhusu tishio lako la kurudisha kadi.nilitoa comment kuhusu post zako zilizopita.Hujanielewa na sikuongelea M4C kwamba ni mabadiliko ndani ya chama ndiyo maana nimekufafanulia hapo juu kuhusu M4C.

Unaposema Zitto ni mwasisi wa CHASO haihalalishi kuifanya mradi binafsi kwa maslahi yake kama nimeelewa hoja yako vizuri.Ni hatari sana kuwa na mawazo kama haya.

Kitila ni mlezi na yupo karibu kwa nafasi yake

Pia kuhusu Zitto nilichangia hoja kuhusu makala iliyoandikwa

Kumheshimu kiongozi sidhani ni kukubaliana na mambo ambayo huko baadae yatatuangamiza wote

Ni madudu gani yameandikwa hapa mkuu?
mwandishi wa makala anajibu makala ya kitila na Mchange.Na sisi hapa tunachangia na mahali penye upotoshaji ni lazima tuweke sawa kaka
 
niliwahi kusema wakati fulani vijana wanaoamini kuwa wao ndo wanaostahili nafasi fulani ya uongozi huwa ni hatari sana kwa ujenzi wa demokrasia,ni vijana hao hao ambao wanakutwa na udhaifu wa rushwa na wanapoyakosa madaraka huanza kuwatusi, kukejeli wenzao wasafi na hata kudhihaki.

Sasa, kwa jinsi nilivyoona jana kama ile ni team ya supporters wa mtu mwenye nia ya urais hakika tuna safari ndefu kujenga chama na kupigania mabadiliko ya kweli.

Napenda kushauri viongozi wa CHADEMA popote walipo iwe toka kijiji mpaka taifa kuwaelewa undani vijana na yeyote mwenye nia ya kugombea nafasi yoyote ya chama ama taifa ili kuwa na team ya uhakika na real comitted kwa mabadiliko. Tusimame imara!
Mgaya,

uko sahihi sana. Sijui Mnyika na ben saanane waliingiaje kwenye mjadala wa makala ile
 
Mkuu Kombe naomba ifike wakati tufunge mijadala hii maana haitujengi na wala haijengi chama:

Ni vyema watu tukaheshimiana na kuheshimu wengine, pia ni lazima tujue hatuwezi kupendwa na wote!

Japo nimesikitishwa na tishio la mkuu Mkandara kurudisha kadi ya chama lakini lazima niheshimu maamuzi yake!

Mimi ninacho amini mpigania haki hachoki wala hawezi kukata tamaa, na lazima tukubali kuwa cdm si chama cha malaika bali binadamu hivyo binadamu kugombana ni swala la kawaida ni swala la kuchukua hatua kuyamaliza haya mambo sisi wenyewe tena hana kwa hana si kutumia miitandao.

Ni lazima watu watambue kuwa kutukana watu na viongozi kupitia mitandao si busara na wala hkutatui tatizo bali kuongeza chuki baini yetu!

Mungu ni mwema cdm haitasambaratika tuvumiliane kwenye hali zote.

Mungu ibariki CHADEMA,MUNGU WABARIKI VIONGOZI WOTE
Mgaya,

uko sahihi sana. Sijui Mnyika na ben saanane waliingiaje kwenye mjadala wa makala ile
 
Mkuu hapo nilikoongelea mabadiliko na changamoto nilikua natoa comment kuhusu tishio lako la kurudisha kadi.nilitoa comment kuhusu post zako zilizopita.Hujanielewa na sikuongelea M4C kwamba ni mabadiliko ndani ya chama ndiyo maana nimekufafanulia hapo juu kuhusu M4C.

Unaposema Zitto ni mwasisi wa CHASO haihalalishi kuifanya mradi binafsi kwa maslahi yake kama nimeelewa hoja yako vizuri.Ni hatari sana kuwa na mawazo kama haya.

Kitila ni mlezi na yupo karibu kwa nafasi yake

Pia kuhusu Zitto nilichangia hoja kuhusu makala iliyoandikwa

Kumheshimu kiongozi sidhani ni kukubaliana na mambo ambayo huko baadae yatatuangamiza wote

Ni madudu gani yameandikwa hapa mkuu?
mwandishi wa makala anajibu makala ya kitila na Mchange.Na sisi hapa tunachangia na mahali penye upotoshaji ni lazima tuweke sawa kaka
Na ndivyo nilivyokujibu miye maana aliyenzisha mada kazungumzia M4C sana tu na kwamba hawamuhitaji Zitto na kueleza mambo kibao yanayomhusu Kitila kumuunga mkono Zitto. Haikuwa haja wala sababu maana M4C yenyewe Zitto na Kitila ni wahusika ktk maandalizi yake. Imefika hadi kila anayekubaliana na Zitto basi ni adui badala ya kumsikiliza kwanza mkaelewa kwa nini kasimamia mtazamo wake.

Mkuu wangu kila kinachoelea kimeundwa, Chadema haikushuka toka mbinguni imeundwa na watu wamekijenga chama hicho kuwa hapo kilipo. Sasa naanza kumwelewa Zitto anaposema OVYO maana imekuwa ujinga mtupu kwa mada kama hizi. Kila siku kukicha ni kuhusu Zitto au Uislaam yaani hamchoki kuzungumzia watu wengine mkijiona nyie wabora zaidi. Na nyie ndio mnataka kuifanya CHASO mradi binafsi maana kuna watu mnawatenga isipokuwa nyie tu ndio wazuuuri msiokuwa na mfano.

Halafu sijasema hamtakiwi kutokubaliana, hata hapa nadhani hatukubaliani lakini sioni sababu ya kuchukiana kiasi hicho. .. Na ndio maana tunatakiwa kusahihishana ama kuelekezana lakini sio kuunda chuki na Uadui ambao haukisaidii chama, wewe au Zitto. Na nimesema tena binafsi yangu kuna mambo sikubaliani na Zitto, Mbowe wala Dr.Slaa na husema pale napoona wamepotoka wao ktk yale waloyasema ama kuyafanya lakini hata siku moja kama ningekuwa ktk wajumbe wa chama ama kiongozi ngazi yoyote ile nisinge diriki kuandika lolote lilohusiana na vikao vya chama unless ni kwa faida ya chama..
 
Back
Top Bottom