Zitto hafai kuaminika kwenye struggle za nchi hii, yule ni compromised Politician

Zitto hafai kuaminika kwenye struggle za nchi hii, yule ni compromised Politician

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
“Kwa Zitto msiwe na wasiwasi Rais JK alishamaliza kazi “ kila aliehudhuria kile kikao aliposikia Zitto ni mwenzetu alihamaki kidogo na kikao hicho kilifanyika Iringa eneo maalumu na kilihudhuriwa na viongozi wakubwa wa CCM isipokuwa Mwenyekiti wa taifa.

Hiyo ilikuwa ni kati ya miaka 2009, 2010, 2011

Hiyo kauli kamwe sikuweza kuiamini lakini chama chake kilipomfukuza na kumwita ndumilakuwili na kumtuhumu kuvujisha siri nyingi za chadema hasa kwa watawala akili ikawa inakumbuka sana ile kauli ya pale juu.

Pili nikajiuliza kwanini ACT yake imekaa kimichongo yaani chama kipo Kigoma tu kwao mjini na Zanzibar walikopewa umakamo taratibu nikagundua huyu bwana Zitto yuko compromised isipokuwa baada ya Magufuli kuwaondoa kwenye payroll, na kuwabwaga nje wapinzani janja janja ndio Zitto akaanza kuishambulia sana serikali ya Magufuli na ni kwa sababu ya maslahi.

Zitto niliyepata kumfahamu ni yule wa kabla ya tume ya buzwagi lakini Zitto aliyeingia kwenye tume ile ya madini ndio zitto wa leo sasa.

Umeona sasa alipoingia Rais Samia na Zitto wenu kukaribishwa mezani kwa sasa anakula chakula unadhani utamuona akiinanga serikali vibaya hapana kazi yake itakua kumnanga marehemu magufuli tu ili kupoteza maboya lakini wenye akili tumeshamshtukia hana nia njema huyo.

Ukifikiri Zitto ana tofauti na mrema, shibuda, cheyo kwa sasa unakua umekosea hao wote ni kundi moja na hawaitaki katiba mpya maana hii iliyopo wao inawafaa.

MANENO HAYO YA MZEE KALINGA WA PAWAGA ALIPOKUA AKIMUHADITHIA MZEE SHIGAHELA WA NGUDU WALIPOKUA WAKIELEKEA BUGANDO KUONA MGONJWA WAO.
 
Kila mtu afanye siasa kwa style yake. Zitto mlishamfukuza kaanzisha chama chake lakini mpaka leo Zitto, Zitto.

Kama vyama vyote vya upinzani vingekuwa vina mtazamo unaofanana, basi hakuna haja ya kuwa na chama cha upinzani zaidi ya kimoja.
 
Kila mtu afanye siasa kwa style yake. Zitto mlishamfukuza kaanzisha chama chake lakini mpaka leo Zitto, Zitto.
Kama vyama vyote vya upinzani vingekuwa vina mtazamo unaofanana, basi hakuna haja ya kuwa na chsma cha upinzani zaidi ya kimoja.

Ilitakiwa umjibu hivo mzee Kalinga sasa sio mimi mleta ujumbe
 
Kila mtu afanye siasa kwa style yake. Zitto mlishamfukuza kaanzisha chama chake lakini mpaka leo Zitto, Zitto.
Kama vyama vyote vya upinzani vingekuwa vina mtazamo unaofanana, basi hakuna haja ya kuwa na chama cha upinzani zaidi ya kimoja.
Hawa watu wanashangaza sana.

Anyway, labda wanajuana maana vijana wa CHADEMA wakiwemo kina Zitto, Lema na Lissu hawampendi kabisa Zitto tena wazi wazi.

Lakini huwa nashangaa anajikomba komba sana CHADEMA.
 
Hawa watu wanashangaza sana.

Anyway, labda wanajuana maana vijana wa CHADEMA wakiwemo kina Zitto, Lema na Lissu hawampendi kabisa Zitto tena wazi wazi.

Lakini huwa nashangaa anajikomba komba sana CHADEMA.
Mimi naonaga ni mtu mwenye mawazo huru..
 
Mimi naonaga ni mtu mwenye mawazo huru..
Anavyoonekana anaaamini kwenye ushirikiano lakini CHADEMA siyo watu wa aina hiyo.

Sasa hivi CDM wanapenda kila kilicho kizuri kiwe CHA KWAO.

Na ndio maana mfano, Zitto akikutana na Samia au mwana CCM wakamponda balaa, ila Mbowe akikutana na Wana CCM Haina shida.

Na Hiki kitu hakikuanza Jana, tangu Zitto atimuliwe CDM. Kuna kipindi kama ulivyosema Lowassa alianza kusingiziwa ndio kaanzisha ACT na anataka kugombea huko. Ila alivyohamia CDM ikawa hakuna tatizo.

Sasa hivi, ukifuatilia utaona hawakudai Maalim Seif ahalie ACT walitaka ahamie CDM.

Kwa mtazamo wangu, naona ndani ya CDM yaani ukikosana na Mbowe tu unatakiwa upoteee kisiasa, ukiendelea kuwepo aisee mashambulizi kutoka kwa vijana wa Mbowe hawataisha.
 
Anavyoonekana anaaamini kwenye ushirikiano lakini CHADEMA siyo watu wa aina hiyo.

Sasa hivi CDM wanapenda kila kilicho kizuri kiwe CHA KWAO.

Na ndio maana mfano, Zitto akikutana na Samia au mwana CCM wakamponda balaa, ila Mbowe akikutana na Wana CCM Haina shida.

Na Hiki kitu hakikuanza Jana, tangu Zitto atimuliwe CDM. Kuna kipindi kama ulivyosema Lowassa alianza kusingiziwa ndio kaanzisha ACT na anataka kugombea huko. Ila alivyohamia CDM ikawa hakuna tatizo.

Sasa hivi, ukifuatilia utaona hawakudai Maalim Seif ahalie ACT walitaka ahamie CDM.

Kwa mtazamo wangu, naona ndani ya CDM yaani ukikosana na Mbowe tu unatakiwa upoteee kisiasa, ukiendelea kuwepo aisee mashambulizi kutoka kwa vijana wa Mbowe hawataisha.
Umeongea kweli.

Laiti ingekuwa ni Zitto aktoka selo directly ikulu yani ungesikia mengi.

Akifanya zitto nongwa, wanasema sijui ushirikiano na serikali zanzibar, why iwe nongwa wakat wao walishirikiana na Lowassa ili wavune mtaji wa wafuasi wake.
 
Hizi no zile nyuzi sasa ambazo lazima zifuate kukitokea mawazo yoyote yenye uwezekano wa kupatikana compromise.

Phillipo Bukililo hii ndiyo ile himaya ya akina Pohamba kazini. Nyuzi za hivi lazima kufuata kila dalili za compromise zikitokea.

Watakuwa na sababu zozote za kutufarakanisha hata kama taifa hata kama ni za kijinga.

Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa

Dawa yake hawa ni kuwataka Lissu, Mbowe au Mbatia nk ku engage na Zitto ana kwa ana au on one to one basis behind the scene wataleta mrejesho.

Tangu lini mi CCM ikawa machampioni ya kituonyesha wasaliti?
 
Hizi no zile nyuzi sasa ambazo lazima zifuate kukitokea mawazo yoyote yenye uwezekano wa kupatikana compromise.

Phillipo Bukililo hii ndiyo ile himaya ya akina Pohamba kazini. Nyuzi za hivi lazima kufuata kila dalili za compromise zikitokea.

Watakuwa na sababu zozote za kutufarakanisha hata kama taifa hata kama ni za kijinga.

Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa

Dawa yake hawa ni kuwataka Lissu, Mbowe au Mbatia nk ku engage na Zitto ana kwa ana au on one to one basis behind the scene wataleta mrejesho.

Tangu lini mi CCM ikawa machampioni ya kituonyesha wasaliti?
Hao kina Pohamba pengine wanaweza kuwa na watoto wa umri wako.

Ni wakongwe sana humu jamvini.
 
Magufuli aliwapa ultimatum hao nyoka warudi ndani au wabaki nje,wakiamua kubaki nje ana wa cut off,and that what happened na ndio hapo huyo jamaa alianza kupiga kelele.
 
Chadema wanataka Zitto afanye Siasa wanazotaka wao

Kama wao wameona Katiba mpya ianze kabla ya Tume huru, kuna wengine wana uhuru wa kuona ianze Tume huru kabla ya Katiba mpya…

pia tupo wengine tunaoona iitishwe kura ya maoni ya wa Tanzania wote tuamue tunataka Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya au kila kitu kibaki kama kilivyo sasa badala ya ku base na Maoni ya Tume ya Warioba iliyohoji watu elf 44 pekee na kutulazimisha kuwa hayo ndio mawazo ya Rais 60 plus million
 
Back
Top Bottom