Zitto hafai kuaminika kwenye struggle za nchi hii, yule ni compromised Politician

Zitto hafai kuaminika kwenye struggle za nchi hii, yule ni compromised Politician

Mbowe alifungwa lini kama sio enzi za magufuli, na hapo ni kwasababu aliokuwa anawatanguliza akina slaa waliondoka chadema, akina tundu lissu na lema wako canada.
Kwahiyo siasa ya upinzani sharti ufungwe ndipo uonekane mpinzani?
Unasema nalazimisha kumsemea mtu wakati uko hapa hapa unamsemea zitto kwa mabaya.
Pambana na chama chenu mwacheni na chama chake si mlimfukuza?
Dogo unatoka nje ya mstari, rudi mstarini, umeshasahau ulikuwa unampigia vigelegele Zitto?!

Jela ni kukuelezea tu upana wake uelewe, wacha hasira umechagua fungu bovu mwenyewe.
 
Dogo unatoka nje ya mstari, rudi mstarini, umeshasahau ulikuwa unampigia vigelegele Zitto?!
Yah na bado nasema hivi mwacheni afanye siasa anayoona inafaa chama chake kinaitwa ACT siyo Chadema wana sera tofauti dogo.
 
Ndio utulizane…Bosi wako yupo na 'Wasaliti' na katika lugha rahisi wee endelea kutukana ila ujue kuwa huna cha kubadilisha kwny Nchi hii wala huna cha kuathiri katika siasa za hao unaowaita 'Wasaliti' na sasa hivi tunakwenda kwny Uchaguzi wa 2025 bila ya Katiba mpya na tunasubiri msisitizo wenu…mtasusa au mtashiriki?
Mbowr kuwa na ukaribu na wasaliti hakuondoi ukweli kwamba msaliti ni msaliti, punguza jazba.

Hata wakikutana popote hakuna tatizo muhimu Mbowe anajitambua na bado anawapeleka mbio CCM mpaka DPP anaweka mpira kwapani, kaa unywe maji mengi usife kwa pressure.
 
Chadema wanataka Zitto afanye Siasa wanazotaka wao

Kama wao wameona Katiba mpya ianze kabla ya Tume huru, kuna wengine wana uhuru wa kuona ianze Tume huru kabla ya Katiba mpya…

pia tupo wengine tunaoona iitishwe kura ya maoni ya wa Tanzania wote tuamue tunataka Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya au kila kitu kibaki kama kilivyo sasa badala ya ku base na Maoni ya Tume ya Warioba iliyohoji watu elf 44 pekee na kutulazimisha kuwa hayo ndio mawazo ya Rais 60 plus million

Tofautisha Chadema na washabiki mitandaoni.

Kwani katiba iliyopo ni matokeo ya kuhoji watu wangapi?
 
Tatizo kuna kundi linajiona lina hatimiliki ya 'upinzani' kwenye siasa za Tz.......wanawaona wapinzani wengine wote ni mamluki isipokuwa wao tu.
Andika watanzania wanaliona lina hati miliki, ndio maana mmelinyima haki yao ya kufanya siasa kama sheria inavyotaka, huu ndio ukweli msijikwepeshe mnajitesa bure.

Kama hamuamini waruhusuni wafanye shughuli za siasa muone...
 
Mimi sio mwanachama wa ACT ila tu nawaambia ukweli mwacheni Zitto na Chama chake maana mnataka afuate kile mnachotaka.
Mwambie Zitto ndio aiache Chadema umeshasahau juzi tu alijigeuza msemaji wake kwa kwenda kumuombea Mbowe msamaha ikulu?

Kaa utulie.
 
Ndio utulizane…Bosi wako yupo na 'Wasaliti' na katika lugha rahisi wee endelea kutukana ila ujue kuwa huna cha kubadilisha kwny Nchi hii wala huna cha kuathiri katika siasa za hao unaowaita 'Wasaliti' na sasa hivi tunakwenda kwny Uchaguzi wa 2025 bila ya Katiba mpya na tunasubiri msisitizo wenu…mtasusa au mtashiriki?
Wapi umetukanwa?

Lumumba punguza pressure umesha panic, huo uchaguzi nendeni na polisi na tume feki..
 
Mwambie Zitto ndio aiache Chadema umeshasahau juzi tu alijigeuza msemqji wake kwa kwenda kumuombea Mbowe msamaha ikulu?

Kaa utulie.
Mbowe alimuombea msamaha kama Mtanzania yoyote yule. Ile haina impact kwa chama. Sasa nyie mnataka afuate sera zenu na uelekeo wa chadema na tena mnaenda mbali zaidi kwa kumshambulia kwa kutofuata sera na maono yenu.

Kumwambia raisi amwachie Mbowe kumebadili nini kwenye sera za chama?

Kila mtu afanye siasa zake kama anavyoona.

Ila Mbowe ni muungwana sana, yeye kama yeye hata zitto aliposema yale hajamshambulia. Na zitto kakili alimtembelea mara kadhaa wakazungumza akiwa ndani
 
“Kwa Zitto msiwe na wasiwasi Rais JK alishamaliza kazi “ kila aliehudhuria kile kikao aliposikia Zitto ni mwenzetu alihamaki kidogo na kikao hicho kilifanyika Iringa eneo maalumu na kilihudhuriwa na viongozi wakubwa wa CCM isipokuwa Mwenyekiti wa taifa.

Hiyo ilikuwa ni kati ya miaka 2009, 2010, 2011

Hiyo kauli kamwe sikuweza kuiamini lakini chama chake kilipomfukuza na kumwita ndumilakuwili na kumtuhumu kuvujisha siri nyingi za chadema hasa kwa watawala akili ikawa inakumbuka sana ile kauli ya pale juu.

Pili nikajiuliza kwanini ACT yake imekaa kimichongo yaani chama kipo Kigoma tu kwao mjini na Zanzibar walikopewa umakamo taratibu nikagundua huyu bwana Zitto yuko compromised isipokuwa baada ya Magufuli kuwaondoa kwenye payroll, na kuwabwaga nje wapinzani janja janja ndio Zitto akaanza kuishambulia sana serikali ya Magufuli na ni kwa sababu ya maslahi.

Zitto niliyepata kumfahamu ni yule wa kabla ya tume ya buzwagi lakini Zitto aliyeingia kwenye tume ile ya madini ndio zitto wa leo sasa.

Umeona sasa alipoingia Rais Samia na Zitto wenu kukaribishwa mezani kwa sasa anakula chakula unadhani utamuona akiinanga serikali vibaya hapana kazi yake itakua kumnanga marehemu magufuli tu ili kupoteza maboya lakini wenye akili tumeshamshtukia hana nia njema huyo.

Ukifikiri Zitto ana tofauti na mrema, shibuda, cheyo kwa sasa unakua umekosea hao wote ni kundi moja na hawaitaki katiba mpya maana hii iliyopo wao inawafaa.

MANENO HAYO YA MZEE KALINGA WA PAWAGA ALIPOKUA AKIMUHADITHIA MZEE SHIGAHELA WA NGUDU WALIPOKUA WAKIELEKEA BUGANDO KUONA MGONJWA WAO.
Zitto na Nondo wake siyo watu hata kidogo
 
Mwambie Zitto ndio aiache Chadema umeshasahau juzi tu alijigeuza msemaji wake kwa kwenda kumuombea Mbowe msamaha ikulu?

Kaa utulie.

Tusiache kusamehe x7x70.

Mafanikio makubwa Kenya kisiasa ni pamoja na kutoka huku.

"Hayupo adui wala rafiki wa kudumu bali agenda."

Hatuwezi kukubaliana kuangalia mbele na kusahau whichever ugly past however worse it may had been?
 
Chadema wanataka Zitto afanye Siasa wanazotaka wao

Kama wao wameona Katiba mpya ianze kabla ya Tume huru, kuna wengine wana uhuru wa kuona ianze Tume huru kabla ya Katiba mpya…

pia tupo wengine tunaoona iitishwe kura ya maoni ya wa Tanzania wote tuamue tunataka Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya au kila kitu kibaki kama kilivyo sasa badala ya ku base na Maoni ya Tume ya Warioba iliyohoji watu elf 44 pekee na kutulazimisha kuwa hayo ndio mawazo ya Rais 60 plus million
Cheki ulivyo kilaza
 
“Kwa Zitto msiwe na wasiwasi Rais JK alishamaliza kazi “ kila aliehudhuria kile kikao aliposikia Zitto ni mwenzetu alihamaki kidogo na kikao hicho kilifanyika Iringa eneo maalumu na kilihudhuriwa na viongozi wakubwa wa CCM isipokuwa Mwenyekiti wa taifa.

Hiyo ilikuwa ni kati ya miaka 2009, 2010, 2011

Hiyo kauli kamwe sikuweza kuiamini lakini chama chake kilipomfukuza na kumwita ndumilakuwili na kumtuhumu kuvujisha siri nyingi za chadema hasa kwa watawala akili ikawa inakumbuka sana ile kauli ya pale juu.

Pili nikajiuliza kwanini ACT yake imekaa kimichongo yaani chama kipo Kigoma tu kwao mjini na Zanzibar walikopewa umakamo taratibu nikagundua huyu bwana Zitto yuko compromised isipokuwa baada ya Magufuli kuwaondoa kwenye payroll, na kuwabwaga nje wapinzani janja janja ndio Zitto akaanza kuishambulia sana serikali ya Magufuli na ni kwa sababu ya maslahi.

Zitto niliyepata kumfahamu ni yule wa kabla ya tume ya buzwagi lakini Zitto aliyeingia kwenye tume ile ya madini ndio zitto wa leo sasa.

Umeona sasa alipoingia Rais Samia na Zitto wenu kukaribishwa mezani kwa sasa anakula chakula unadhani utamuona akiinanga serikali vibaya hapana kazi yake itakua kumnanga marehemu magufuli tu ili kupoteza maboya lakini wenye akili tumeshamshtukia hana nia njema huyo.

Ukifikiri Zitto ana tofauti na mrema, shibuda, cheyo kwa sasa unakua umekosea hao wote ni kundi moja na hawaitaki katiba mpya maana hii iliyopo wao inawafaa.

MANENO HAYO YA MZEE KALINGA WA PAWAGA ALIPOKUA AKIMUHADITHIA MZEE SHIGAHELA WA NGUDU WALIPOKUA WAKIELEKEA BUGANDO KUONA MGONJWA WAO.
Umeongea sawa, hao wazee walitema sana madini humo safarini, inaonekana ni wasomi wa elimu ya mkoloni.

Zitto ni mibaka siasa, hafai kuongoza hata Kitongoji, yupo pale kwa maslahi yake binafsi na si ya umma.

Kama umekuja kulisema hili leo, basi umelisema kwa kuchelewa sana.


Hata hivyo paragraph ya kwanza umechanganya wasomaji kwa kusema JK alimuongelea ZZK kuwa ni mwenzao, halafu kwenye kikao hicho walihudhuria vigogo wakuu wa Ccm isipokuwa Mwenyekiti!

Basi tuseme kwa kuwa maneno yote hayo ni nukuu kutoka vinywa vya wazee, basi wewe haukuwasikiliza vizuri.
 
Tukana unavyoweza lakini 2025 tunaenda kwny uchaguzi bila ya katiba mpya…msilete usanii mliofanya kipindi kile uchaguzi wa 2019 wa Serikali za Mitaa mkasusa eti mnataka Tume huru na Katiba mpya halafu ilipofika 2020 mkajibalaguza mkashiriki mkatolewa kupitia dirishani
Cheki ulivyo kilaza
 
Tukana unavyoweza lakini 2025 tunaenda kwny uchaguzi bila ya katiba mpya…msilete usanii mliofanya kipindi kile uchaguzi wa 2019 wa Serikali za Mitaa mkasusa eti mnataka Tume huru na Katiba mpya halafu ilipofika 2020 mkajibalaguza mkashiriki mkatolewa kupitia dirishani
bahati nzuri hata mumeo anasikia maumivu ya utawala mbovu, bidhaa zimepanda kila sehemu na umeme ni changamoto kwa wote
 
Umeongea sawa, hao wazee walitema sana madini humo safarini, inaonekana ni wasomi wa elimu ya mkoloni.

Zitto ni mibaka siasa, hafai kuongoza hata Kitongoji, yupo pale kwa maslahi yake binafsi na si ya umma.

Kama umekuja kulisema hili leo, basi umelisema kwa kuchelewa sana.


Hata hivyo paragraph ya kwanza umechanganya wasomaji kwa kusema JK alimuongelea ZZK kuwa ni mwenzao, halafu kwenye kikao hicho walihudhuria vigogo wakuu wa Ccm isipokuwa Mwenyekiti!

Basi tuseme kwa kuwa maneno yote hayo ni nukuu kutoka vinywa vya wazee, basi wewe haukuwasikiliza vizuri.

Elewa kwenye kile kikao walikaa wajumbe na viongozi wa ccm , wajumbe wakaonesha wasiwasi juu ya zitto kuwakaba koo kwenye anga za siasa, wajumbe wakajibiwa kua Rais JK kashamaliza kazi hivo wajumbe warelax kwa zitto hakuna wasiwasi ni mwenzao yaani anafanya siasa kwa maslahi ya ccm na mzee kalinga akakumbushia hadi safari ya zitto na jk kule sudan kusini, Au mzee kalinga kasema uongo?
 
Ilitakiwa umjibu hivo mzee Kalinga sasa sio mimi mleta ujumbe


Wewe kama mjumbe uliyetuketea hayo mazungumzo ya mzee Mwakalinga ni wewe ndiye inakupasa umrudishie hayo majibu.
 
Back
Top Bottom