Zitto hafai kuaminika kwenye struggle za nchi hii, yule ni compromised Politician

Zitto hafai kuaminika kwenye struggle za nchi hii, yule ni compromised Politician

Mbowe alimuombea msamaha kama Mtanzania yoyote yule. Ile haina impact kwa chama. Sasa nyie mnataka afuate sera zenu na uelekeo wa chadema na tena mnaenda mbali zaidi kwa kumshambulia kwa kutofuata sera na maono yenu.

Kumwambia raisi amwachie Mbowe kumebadili nini kwenye sera za chama?

Kila mtu afanye siasa zake kama anavyoona.

Ila Mbowe ni muungwana sana, yeye kama yeye hata zitto aliposema yale hajamshambulia. Na zitto kakili alimtembelea mara kadhaa wakazungumza akiwa ndani
Mbowe aliombewa msamaha kwa kosa gani dogo?! nani alimtuma Zitto?

Hebu punguza hizi kelele zako, yule DPP wenu sio mjinga kwa kile alichofanya.
 
Mbowe aliombewa msamaha kwa kosa gani dogo?! nani alimtuma Zitto?

Hebu punguza hizi kelele zako, yule DPP wenu sio mjinga kwa kile alichofanya.
Kuna sehemu nimekwambia Mbowe aliomba msamaha, nilichokwambia Zitto alikuwa anataka Mbowe aachiwe kama mtanzania yoyote dogo.
DPP wa nani? Yes, hakuna anayekataa kuwa ile kesi ilikuwa ya mchongo. We unajua Mbowe alipoenda ikulu alizungumza nini na raisi, hujiulizi kwanini brake ya kwanza iwe ikulu.
Ingelikuwa ni Zitto ndiye kafanya hivyo basi mngemwita msaliti.
 
Ngoja ni wa ku unfollow hata kule twita. Mnaweza kufika 1m akawauza kwa dalali wa magari
 
Siasa za upinzani ziko kwa mabeberu bhanaa, achana na hawa wanasiasa njaa kama akina zitto.........
 
“Kwa Zitto msiwe na wasiwasi Rais JK alishamaliza kazi “ kila aliehudhuria kile kikao aliposikia Zitto ni mwenzetu alihamaki kidogo na kikao hicho kilifanyika Iringa eneo maalumu na kilihudhuriwa na viongozi wakubwa wa CCM isipokuwa Mwenyekiti wa taifa.

Hiyo ilikuwa ni kati ya miaka 2009, 2010, 2011

Hiyo kauli kamwe sikuweza kuiamini lakini chama chake kilipomfukuza na kumwita ndumilakuwili na kumtuhumu kuvujisha siri nyingi za chadema hasa kwa watawala akili ikawa inakumbuka sana ile kauli ya pale juu.

Pili nikajiuliza kwanini ACT yake imekaa kimichongo yaani chama kipo Kigoma tu kwao mjini na Zanzibar walikopewa umakamo taratibu nikagundua huyu bwana Zitto yuko compromised isipokuwa baada ya Magufuli kuwaondoa kwenye payroll, na kuwabwaga nje wapinzani janja janja ndio Zitto akaanza kuishambulia sana serikali ya Magufuli na ni kwa sababu ya maslahi.

Zitto niliyepata kumfahamu ni yule wa kabla ya tume ya buzwagi lakini Zitto aliyeingia kwenye tume ile ya madini ndio zitto wa leo sasa.

Umeona sasa alipoingia Rais Samia na Zitto wenu kukaribishwa mezani kwa sasa anakula chakula unadhani utamuona akiinanga serikali vibaya hapana kazi yake itakua kumnanga marehemu magufuli tu ili kupoteza maboya lakini wenye akili tumeshamshtukia hana nia njema huyo.

Ukifikiri Zitto ana tofauti na mrema, shibuda, cheyo kwa sasa unakua umekosea hao wote ni kundi moja na hawaitaki katiba mpya maana hii iliyopo wao inawafaa.

MANENO HAYO YA MZEE KALINGA WA PAWAGA ALIPOKUA AKIMUHADITHIA MZEE SHIGAHELA WA NGUDU WALIPOKUA WAKIELEKEA BUGANDO KUONA MGONJWA WAO.
🤔🤔🤔
 
Kwani huyo unayetaka kujipanga nae una hakika kabadilika? unamuamini? halafu ni kipi kinachokufanya uone bila yeye Katiba Mpya haiwezi kupatikana?

Kama kweli amebadilika atakuja mbele kuwakuta wenzake wameshatangulia akajiunge nao, lakini sio kupoteza muda kumsubiri mtu asiyetabirika.

Ninadhani Buthelezi kulinganisha na wetu wa zama hizi yeye alikuwa funga kazi.

Kama Mandela pamoja na yote bado hakumtupa ni maoni yangu kuwa huyu wetu ni cha mtoto.

Kwamba kabadilika au la - ndiyo msingi wa phrase hii "panapo uwezekano."

Sijamaanisha kuwa katiba mpya haipatikana bila yeye. Bali nimekuwa wazi: "umoja ni nguvu."

Pamoja naye hii ilikuwa yapatikana mwaka huu huu tu na tena bila maumivu. Maana ilikuwa kumwachia Mukandara na tume yake tu.

Kumbuka Lipumba - mwingine asiyeaminika ni huyu hapa:

Prof. Lipumba aikataa Kamati ya Prof Mukandala. Asema hakuna mjumbe hata aliyesema mchakato wa Katiba usubiri hadi mwaka 2025

Binafsi ninaipenda statement hii:

"Hakuna rafiki wala adui wa kudumu bali agenda."

I can't wait to see it applicable kwenye kupigania struggle.
 
Mkuu hata waliochukua sample ya maji ya mto Mara walichukua chupa moja tu ya maji sio mto mzima.
Hata wenye katiba mpya bado maisha yao magumu, ufisadi, Rushwa vimetamalaki na malalamiko ya wizi wa kura kama kawa mf.Kenya na SA
 
Zitto kasingiziwa kipi? vile vikao alivyokuwa anafanya enzi za JK kwa siri usiku halafu akiulizwa anadai JK ni sawa na baba yake then anakuja kutaka uenyekiti wa Chadema nani mwenye akili timamu atamuamini?
ACT tengenezeni Chama
 
Kuna sehemu nimekwambia Mbowe aliomba msamaha, nilichokwambia Zitto alikuwa anataka Mbowe aachiwe kama mtanzania yoyote dogo.
DPP wa nani? Yes, hakuna anayekataa kuwa ile kesi ilikuwa ya mchongo. We unajua Mbowe alipoenda ikulu alizungumza nini na raisi, hujiulizi kwanini brake ya kwanza iwe ikulu.
Ingelikuwa ni Zitto ndiye kafanya hivyo basi mngemwita msaliti.
Umeandika ramli tupu, unaendelea kujitutumua tu.

Kwani wewe unajua Mbowe alivyoenda ikulu aliongea nini?
 
Ninadhani Buthelezi kulinganisha na wetu wa zama hizi yeye alikuwa funga kazi.

Kama Mandela pamoja na yote bado hakumtupa ni maoni yangu kuwa huyu wetu ni cha mtoto.

Kwamba kabadilika au la - ndiyo msingi wa phrase hii "panapo uwezekano."

Sijamaanisha kuwa katiba mpya haipatikana bila yeye. Bali nimekuwa wazi: "umoja ni nguvu."

Pamoja naye hii ilikuwa yapatikana mwaka huu huu tu na tena bila maumivu. Maana ilikuwa kumwachia Mukandara na tume yake tu.

Kumbuka Lipumba - mwingine asiyeaminika ni huyu hapa:

Prof. Lipumba aikataa Kamati ya Prof Mukandala. Asema hakuna mjumbe hata aliyesema mchakato wa Katiba usubiri hadi mwaka 2025

Binafsi ninaipenda statement hii:

"Hakuna rafiki wala adui wa kudumu bali agenda."

I can't wait to see it applicable kwenye kupigania struggle.
All the best.
 
Umeongea kweli.

Laiti ingekuwa ni Zitto aktoka selo directly ikulu yani ungesikia mengi.

Akifanya zitto nongwa, wanasema sijui ushirikiano na serikali zanzibar, why iwe nongwa wakat wao walishirikiana na Lowassa ili wavune mtaji wa wafuasi wake.
Tukumbushe tujue Ni lini huyu Zitto aliwahi ingia hata mahabusu achilia mbali kuhukumiwa,

maana japo kuwekwa mahabusu siyo sifa ya kisiasa tumeshuhudia hapa kwetu mpinzani halisi anaye tikisa maslahi ya ccm lazima ama aambiwe si raia, apokonywe hati ya kusafiria,au afunguliwe mashitaka tena yasiyo na dhamana.

Hapa kunaweza kuwa na "ka ukweli fulani" kwamba huenda huyu Zitto ni "mwenzao" aliyejivika joho la "mwenzetu".
 
Tukumbushe tujue Ni lini huyu Zitto aliwahi ingia hata mahabusu achilia mbali kuhukumiwa,

maana japo kuwekwa mahabusu siyo sifa ya kisiasa tumeshuhudia hapa kwetu mpinzani halisi anaye tikisa maslahi ya ccm lazima ama aambiwe si raia, apokonywe hati ya kusafiria,au afunguliwe mashitaka tena yasiyo na dhamana.

Hapa kunaweza kuwa na "ka ukweli fulani" kwamba huenda huyu Zitto ni "mwenzao" aliyejivika joho la "mwenzetu".
Kipimo cha upinzani sio kuingia mahabusu, Mbowe mbona huko nyima hakuwahi kuingia walikuwa wanaingiaga wenzake tu na hamkuhoji?
Mbowe kaanza ingia akina Lissu na Slaa na Lema walipokosekana.
Lakini wenzake toka enzi za jakaya wanaingia tu.
Hivyo, narudia sio lazoma Zitto aingie mahabusu na haimaanishi hawezi kuingia ni muda ndio utaamua
 
Umeandika ramli tupu, unaendelea kujitutumua tu.

Kwani wewe unajua Mbowe alivyoenda ikulu aliongea nini?
Sasa kwanini hilo swali la kujua uwa hamlotumii linapokuja swala la zitto? Yani mnamhukumu kwa hisia na hearsay, ila likija kwa mtu wenu mtataka ushahidi.
Acheni double standards na kujiona nyinyi ndio bora
 
“Kwa Zitto msiwe na wasiwasi Rais JK alishamaliza kazi “ kila aliehudhuria kile kikao aliposikia Zitto ni mwenzetu alihamaki kidogo na kikao hicho kilifanyika Iringa eneo maalumu na kilihudhuriwa na viongozi wakubwa wa CCM isipokuwa Mwenyekiti wa taifa.

Hiyo ilikuwa ni kati ya miaka 2009, 2010, 2011

Hiyo kauli kamwe sikuweza kuiamini lakini chama chake kilipomfukuza na kumwita ndumilakuwili na kumtuhumu kuvujisha siri nyingi za chadema hasa kwa watawala akili ikawa inakumbuka sana ile kauli ya pale juu.

Pili nikajiuliza kwanini ACT yake imekaa kimichongo yaani chama kipo Kigoma tu kwao mjini na Zanzibar walikopewa umakamo taratibu nikagundua huyu bwana Zitto yuko compromised isipokuwa baada ya Magufuli kuwaondoa kwenye payroll, na kuwabwaga nje wapinzani janja janja ndio Zitto akaanza kuishambulia sana serikali ya Magufuli na ni kwa sababu ya maslahi.

Zitto niliyepata kumfahamu ni yule wa kabla ya tume ya buzwagi lakini Zitto aliyeingia kwenye tume ile ya madini ndio zitto wa leo sasa.

Umeona sasa alipoingia Rais Samia na Zitto wenu kukaribishwa mezani kwa sasa anakula chakula unadhani utamuona akiinanga serikali vibaya hapana kazi yake itakua kumnanga marehemu magufuli tu ili kupoteza maboya lakini wenye akili tumeshamshtukia hana nia njema huyo.

Ukifikiri Zitto ana tofauti na mrema, shibuda, cheyo kwa sasa unakua umekosea hao wote ni kundi moja na hawaitaki katiba mpya maana hii iliyopo wao inawafaa.

MANENO HAYO YA MZEE KALINGA WA PAWAGA ALIPOKUA AKIMUHADITHIA MZEE SHIGAHELA WA NGUDU WALIPOKUA WAKIELEKEA BUGANDO KUONA MGONJWA WAO.
Kwani uongo?
 
Chadema wanataka Zitto afanye Siasa wanazotaka wao

Kama wao wameona Katiba mpya ianze kabla ya Tume huru, kuna wengine wana uhuru wa kuona ianze Tume huru kabla ya Katiba mpya…

pia tupo wengine tunaoona iitishwe kura ya maoni ya wa Tanzania wote tuamue tunataka Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya au kila kitu kibaki kama kilivyo sasa badala ya ku base na Maoni ya Tume ya Warioba iliyohoji watu elf 44 pekee na kutulazimisha kuwa hayo ndio mawazo ya Rais 60 plus million
Una hoja.

Angalia pia: Mwaka 1992, 80% ya wahojiwa wa Tume ya Jaji Nyalali walitaka tuendelee na demokrasia ya chama kimoja. Tukawapuuza na kuamua kuegemea kwenye maoni ya 20% ya wahojiwa waliotaka tuwe na mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini. Haikuwa sawa.

Basi ni vyema zaidi turekebishe uamuzi huo kwa kuchukua maoni ya 80%. Naamini kwa kufanya hivyo tutakuwa tumetatua tatizo la msingi. Hatutakuwa tena na haja ya katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi. Tume ya Warioba na CHADEMA watakuwa irrelevant. Problem solved.
 
Back
Top Bottom