Zitto hafai kuaminika kwenye struggle za nchi hii, yule ni compromised Politician

Zitto hafai kuaminika kwenye struggle za nchi hii, yule ni compromised Politician

Sasa kwanini hilo swali la kujua uwa hamlotumii linapokuja swala la zitto? Yani mnamhukumu kwa hisia na hearsay, ila likija kwa mtu wenu mtataka ushahidi.
Acheni double standards na kujiona nyinyi ndio bora
Nimeshakwambia na nakwambia tena, hujui unachoandika unaleta ubishi wa kitoto tu.

- Zitto kukutana na JK usiku akiulizwa anasema JK ni sawa na baba yake halafu mchana anautaka uenyekiti wa CDM haikuwa hearsay.

- Baada ya kuona haaminiwi, akaanzisha mkakati wa kumpindua Mbowe uliokuja kujulikana baadae mpaka wakafukuzwa na wenzake kina Kitila nayo haikuwa hearsay.

- Zitto kutamka awamu hii hatakuwa anapinga haikuwa hearsay, ni kauli yake.

- Zitto kusema ianze Tume Huru badala ya Katiba Mpya baada ya Samia kusema Katiba Mpya isubiri kwa wenye akili timamu walijua Zitto anamaanisha nini, nayo haikuwa hearsay, labda wewe kiazi ndio hukuelewa.

So, usiniletee ligi ya kitoto hapa katafute wa saizi yako ucheze nao. Zitto ni tapeli.
 
Ni wazi kabisa kwa sasahivi kwamba chadema wameshindwa kufanya siasa zao bila kumtaja mwamba zitto ni toka miaka 2009 wimbo umukua zitto zitto zitto kwa hili kawapiga kitu kizito kichwani
 
Nimeshakwambia na nakwambia tena, hujui unachoandika unaleta ubishi wa kitoto tu.

- Zitto kukutana na JK usiku akiulizwa anasema JK ni sawa na baba yake halafu mchana anautaka uenyekiti wa CDM haikuwa hearsay.

- Baada ya kuona haaminiwi, akaanzisha mkakati wa kumpindua Mbowe uliokuja kujulikana baadae mpaka wakafukuzwa na wenzake kina Kitila nayo haikuwa hearsay.

- Zitto kutamka awamu hii hatakuwa anapinga haikuwa hearsay, ni kauli yake.

- Zitto kusema ianze Tume Huru badala ya Katiba Mpya baada ya Samia kusema Katiba Mpya isubiri kwa wenye akili timamu walijua Zitto anamaanisha nini, nayo haikuwa hearsay, labda wewe kiazi ndio hukuelewa.

So, usiniletee ligi ya kitoto hapa katafute wa saizi yako ucheze nao. Zitto ni tapeli.
Sasa unamlazimisha atake ianze katiba kisa Chadema inataka katiba itangulie?
Kwasababu si mwanachama wenu, ni kiongozi wa ACT, acheni afanye siasa kwa kufuata roadmap yake. Sasa usaliti uko wapi? Kwa kufanya aliyofanya ni wapi amekiuka mwongozo wa chama chake. Wanaopaswa kusema zitto msaliti ni ACT, sio nyie chadema
 
Back
Top Bottom