Hercule Poirot
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,718
- 1,481
UsitufokeeKatika hili wamezengua sana hawa jamaa. Wote ACT na CHADEMA.
Kiufupi ni wamefanya tathmini na nahisi wamejiridhisha kwamba hawawezi kumuondoa Mheshimiwa rais Magufuli madarakani, hivyo wanachokifanya ni kujaribu tu kuwa chama kuku cha upinzani. Yaani CDM na ACT wote wanagombania nafasi ya pili.
Kadi yangu ya CCM sijailipia mwaka wa kumi sasa ila kwa upumbavu huu naenda kuilipia soon.
Wangari Maathai