CCM wanaoua, wanaoiba kura jee?Chadema ipo kwa ajili ya kushika dola tu ili wajinufaishe binafsi na wala si kwa ajili ya maslahi ya umma.--- Jinsi Covid 19 walivyosaliti CDM kwa maslahi yao ndivyo Essence ya CDM ilivyo, kwa.maneno mengine Covid 19 wamedhihirisha tabia nzima ya CDM.
CCM wanaoua, wanaoiba kura jee?
CCM wanaoua, wanaoiba kura jee?
Kama 'wamemu-approach kumuomba radhi' awaripoti kunakohusika ili wakamatwe na kufikishwa mahakamani...SERIKALI iwashughulikie waliotumwa kuchoma nyumba ya Zitto Kabwe.
..Tusimlaumu Zitto kwani yeye hana vyombo na mamlaka ya kukamata wahalifu na kuwashitaki.
Pole sana ndugu yangu,Kwa hali inavyoonekana Chadema watakuwa wabaya zaidi ya CCM wakipewa nchi.
Pole sana ndugu yangu,
Ni dhahiri kuwa, wewe na aina yako mmejawa na hofu ya visasi kutokana na matendo yenu kwa wa Tanzania wenye mawazo mbadala ya kuongeza kasi ya kuimarisha uhuru wa kweli, haki kwa wananchi na kuleta maendeleo ya watu wa nchi hii.
KATIBA MPYA itakuongoza na kukusaidia kuachana na ramli za kishetani. AMEN.
Ondoa hofu na hata mawazo potofu kwa wa aina yako. Katiba mpya ndio tiba kwako na Taifa zima.Hata Libya nao walitaka mabadiliko na wameyapata, sio kila mabadiliko ni neema mabadiliko mengine ni laana ukizingatia ni watu gani wanaopigia debe hayo mabadiliko.
Mangi apewe nchi!!?? We upo sawa kweli??!🤣
Ondoa hofu na hata mawazo potofu kwa wa aina yako. Katiba mpya ndio tiba kwako na Taifa zima.
Eti; "Sisi ndio tumeumizwa sana"--- hii ndio kauli ya kibinafsi ya chadema kama kwamba hakuna watu wengine walioumizwa sana na utawala wa Magu.
Acheni ubinafsi katika kutetea maslahi ya umma.
Narudia hakuna aliyeumizwa kwenye utawala wa Jiwe kama Chadema. Hayupo! Mimi nadhani wengi wameamua kujikalia kimya. Kuhusishwa na hiki chama ilikuwa ticket ya kifo au kufilisiwa au vyote. People can spin the way they want it, ila chadema walilipa gharama kubwa sana ya kuwa na mawazo tofauti na utawala wa Jiwe.
Jiwe aendelee kupumzika alipoandaliwa na muumba wake.
Mnapoteza nguvu zenu bure kupambana na wimbi la kuimarisha HAKI nchini. Katiba ya wananchi yaja kuisafisha nchi. Enenda ukatubu uwe safi, uondokane na hofu kama za mafarisayo. Utaishi kwa amani.Katiba mpya sio dawa ya kwanza, dawa ya kwanza ni utashi wa dhati wa kisiasa (sincere political will) kwani hata kama katiba itakuwa nzuri lakini viongozi wakawa Madikteta na Corrupts kama Hitler nk, katiba inakuwa si kitu cha msaada, ningewaeleweni kama mngepambana kisiasa ndani ya katiba hii hii na mkashika dola halafu mkaandika katiba mpya hapo ningewaeleweni lakini mnapigania katiba mpya mkiwa nje ya uongozi hapo ni kwamba nia yenu ni kutumia kichaka cha katiba mpya ili mshike madaraka kirahisi na ndio maana CCM hawataki katiba mpya kwani wameshashtukia ujanja wenu wa kutaka kuwang'oa madarakani kupitia hiyo katiba mpya, na hata kama nyinyi mtaingia madarakani kupitia hii katiba mbaya na nyinyi mtakuwa wagumu zaidi ya CCM mkiambiwa katiba mpya iandikwe.
Madaraka ni matamu asikuambie mtu.
Na huo ndio mchezo wa kisiasa hususani huku kwetu Africa, mbaya zaidi Mangi ashike nchi.😀
Mnapoteza nguvu zenu bure kupambana na wimbi la kuimarisha HAKI nchini. Katiba ya wananchi yaja kuisafisha nchi. Enenda ukatubu uwe safi, uondokane na hofu kama za mafarisayo. Utaishi kwa amani.