econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
W
Namaanisha. Kuna mtu hapa jf aliwahi kusema baada tu ya uchaguzi wa 2020 kuwa Magufuli awe makini na waliomwibia Kura maana Wana nguvu Sana na wanaweza kumuondoa. Na kweli miezi mitano baadae akaondoka.
Hapo umejichanganya mkuu.
Namaanisha. Kuna mtu hapa jf aliwahi kusema baada tu ya uchaguzi wa 2020 kuwa Magufuli awe makini na waliomwibia Kura maana Wana nguvu Sana na wanaweza kumuondoa. Na kweli miezi mitano baadae akaondoka.