JohnD
Member
- Mar 12, 2021
- 19
- 6
Ata hili ni la msingi piaChadema wamepeleka mapendekezo ya Mbowe arudishiwe bilicanas yake, Lissu alipwe mafao yake, Wenje na Lema warudi Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata hili ni la msingi piaChadema wamepeleka mapendekezo ya Mbowe arudishiwe bilicanas yake, Lissu alipwe mafao yake, Wenje na Lema warudi Tanzania.
Kwani CHADEMA wamepeleka mapendekezo Kwa Samia ili yapelekwe kwenye Kamati ya kina Zitto? CHADEMA kama Chama kikuu na huru cha upinzani kimekutana na Chama tawala CCM na Serikali. Kila upande umetoa Maoni yake na watakutana tena Kwa ajili ya Mambo wanayoona hayako Sawa. Sasa Zitto Mambo ya watu huru yeye mfungwa yanamhusu nini?Anazungumzia Uwazi
Mfowadie hii link...........Kiongozi mkuu wa ACT wazalendo mh Zitto Kabwe amekitaka chama kikuu cha Upinzani CHADEMA kuweka hadharani Mapendekezo waliyompelekea Rais Samia Ikulu ya Chamwino
Zitto Kabwe ambaye ni mjumbe wa Kikosi kazi cha Profesa Mkandala amedai mambo ya kufichaficha hayaleti taswira njema kwa wananchi.
Katika tweet yake Zitto Kabwe amesema kwa kutambua umuhimu wa uwazi ACT wazalendo kilielezea yale waliyopendekeza kwenye Kikosi kazi cha Prof Mkandalla.
Aiulize serikali.Anazungumzia Uwazi
Kwani Mbowe angeweza kutoka gerezani na kwanda Ikulu? Labda utueleze aliombaomba je? Wakati alikuwa mhalifu.Msikimbie hoja ekeni wazi halafu Mbowe aeleze kwanini alitua Ikulu baada ya kutoka jela
Unateseka ukiwa wapi?Msikimbie hoja ekeni wazi halafu Mbowe aeleze kwanini alitua Ikulu baada ya kutoka jela
hoja hujibiwa kwa hoja na si kwa kumblock mtu asiseme yanayomsibu.Mbona kama ana tetemeka?
Zitto ni sehemu ya serikali, namshauri awapigie washirika wake wamwambie hayo mapendekezo ya Chadema.
Una uwezo wa kushauri. Kuitika CDM wakati huna uwezo wa kuadhibu, time wasting.Kiongozi mkuu wa ACT wazalendo mh Zitto Kabwe amekitaka chama kikuu cha Upinzani CHADEMA kuweka hadharani Mapendekezo waliyompelekea Rais Samia Ikulu ya Chamwino
Zitto Kabwe ambaye ni mjumbe wa Kikosi kazi cha Profesa Mkandala amedai mambo ya kufichaficha hayaleti taswira njema kwa wananchi.
Katika tweet yake Zitto Kabwe amesema kwa kutambua umuhimu wa uwazi ACT wazalendo kilielezea yale waliyopendekeza kwenye Kikosi kazi cha Prof Mkandalla.
Yes Mbowe anapeleka Ikulu directMsikimbie hoja ekeni wazi halafu Mbowe aeleze kwanini alitua Ikulu baada ya kutoka jela
Mapendekezo ni ya CHADEMA kapelekewa Samia... lakini anayewashwa ni Zitto; kina Mwaijaku wana shida sana.Kiongozi mkuu wa ACT wazalendo mh Zitto Kabwe amekitaka chama kikuu cha Upinzani CHADEMA kuweka hadharani Mapendekezo waliyompelekea Rais Samia Ikulu ya Chamwino
Zitto Kabwe ambaye ni mjumbe wa Kikosi kazi cha Profesa Mkandala amedai mambo ya kufichaficha hayaleti taswira njema kwa wananchi.
Katika tweet yake Zitto Kabwe amesema kwa kutambua umuhimu wa uwazi ACT wazalendo kilielezea yale waliyopendekeza kwenye Kikosi kazi cha Prof Mkandalla.
Amwambie SSH atamke mwenyewe kwani hana mdomoKiongozi mkuu wa ACT wazalendo mh Zitto Kabwe amekitaka chama kikuu cha Upinzani CHADEMA kuweka hadharani Mapendekezo waliyompelekea Rais Samia Ikulu ya Chamwino
Zitto Kabwe ambaye ni mjumbe wa Kikosi kazi cha Profesa Mkandala amedai mambo ya kufichaficha hayaleti taswira njema kwa wananchi.
Katika tweet yake Zitto Kabwe amesema kwa kutambua umuhimu wa uwazi ACT wazalendo kilielezea yale waliyopendekeza kwenye Kikosi kazi cha Prof Mkandalla.
Biashara tunajua ilifanyika akiwa jela ili kunusurika lakini chadema nayo igeuzwe kuwa TLP na sasa mnashinda Ikulu muda wote kwisha habar yenu., wananchi watapambana wenyewe kivyao kudai katiba, watanganyika hawana dhamanaKwani Mbowe angeweza kutoka gerezani na kwanda Ikulu? Labda utueleze aliombaomba je? Wakati alikuwa mhalifu.
Yeye mangapi akiongea na Mwinyi,au SSH Hawambii wenzake au watanzania, Zitto nakuheshim Sana hachana na yasiokuhusu, na unajua vizuri nini kilizungumzwa ila tu wataka teka hisia za watu,Mungu anakupenda na asema hacha Mara MOJA Tabia hiiKiongozi mkuu wa ACT wazalendo mh Zitto Kabwe amekitaka chama kikuu cha Upinzani CHADEMA kuweka hadharani Mapendekezo waliyompelekea Rais Samia Ikulu ya Chamwino
Zitto Kabwe ambaye ni mjumbe wa Kikosi kazi cha Profesa Mkandala amedai mambo ya kufichaficha hayaleti taswira njema kwa wananchi.
Katika tweet yake Zitto Kabwe amesema kwa kutambua umuhimu wa uwazi ACT wazalendo kilielezea yale waliyopendekeza kwenye Kikosi kazi cha Prof Mkandalla.
Hujui hata maana ya hoja, ameona kikosi kazi chake hakina maana sasa anataka kujua ya upande wa pili, mwambie nae aombe mualiko aende ikulu kwa dadake.Msikimbe hoja ekeni uwazi hapa na mueleze kwanini Ikulu imekuwa ni nyumbani kwao chadema sasa
Bwana ZITO aka HEAVY DUTY! Unataka kujua ya chumbani kwa mpenzi wa rafiki yako! Je wataka ku mpiku rafikiyo!!?Kiongozi mkuu wa ACT wazalendo mh Zitto Kabwe amekitaka chama kikuu cha Upinzani CHADEMA kuweka hadharani Mapendekezo waliyompelekea Rais Samia Ikulu ya Chamwino
Zitto Kabwe ambaye ni mjumbe wa Kikosi kazi cha Profesa Mkandala amedai mambo ya kufichaficha hayaleti taswira njema kwa wananchi.
Katika tweet yake Zitto Kabwe amesema kwa kutambua umuhimu wa uwazi ACT wazalendo kilielezea yale waliyopendekeza kwenye Kikosi kazi cha Prof Mkandalla.
Huko ikulu ni kwa raisi wa wapi? Ye afahamu matatizo ya watanzaniaHivi hawa jamaa wakiendaga uko Ikulu wanakumbuka kweli kuzungumzia hali ya maisha ya watanzania Au wanajali tu biashara yao inayobatizwa jina la siasa