Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu hawezi enda ACT make sera zake hasa za kutumia mapambano kudai haki hazipo kabisa ACT,Ninaamini alikuwa na mawasiliano ya karibu sana na Lissu, kwamba atakuja kugombea kupitia ACT Wazalendo.
View attachment 3177081
Muda ni mwalimu mkuuLisu moja ya Demand yake ni Mbowe ni laini sana kupmbana na Samia, sasa je ACT ina pambana na Samia? ACT inaami u kwenye mazungumzo, ACT haimini kwenye maandamani ndio maana hujawahi wasikia hata wakitishia kuandamana, huko atapotea na ndio itakuwa mwisho wake. Lisu sio Fala kiasi cha kukimbilia ACT.
Sioni Lisu akiondioa CDM,
sasa CCN si ndiko ataonekana kituko bora hata na Dr Slaa alivyo unga juhudi?Hii ni ramli yako tu mleta mada. Wale wanaosema akishindwa uenyekiti Lisu ataenda ccm, kidogo hawa wananishawishi lkn siyo ACT.
Lissu ahamie ACT wazalendo? Si bora aende tu Ccm akale asaliMuda ni mwalimu mkuu
Yes, ila sasa huko sindiko hataaminika kamwe? ACT watanzania wengi wanajua ni tawi la CCM,Muda ni mwalimu mkuu
Muda utasema yote na kuamua ..lililo jema kwa muda huoLissu ahamie ACT wazalendo? Si bora aende tu Ccm akale asali
NsioLissu ahamie ACT wazalendo? Si bora aende tu Ccm akale asali
Ndio namwambia, hatawezana na wale WapembaLissu ahamie ACT wazalendo? Si bora aende tu Ccm akale asali
Machawa washaanza kumshukia Lisu kama mweweNinaamini alikuwa na mawasiliano ya karibu sana na Lissu, kwamba atakuja kugombea kupitia ACT Wazalendo.
View attachment 3177081
Hongera sana! Naona leo uko sober!Lisu atagombea Urais kupitia hapo hapo Chadema
Chadema ni Mali ya Watanzania siyo saccos ya Mtei & family 🐼
Gari tu hukuchanga
Lissu anataka sana kugombea urais, akishindwa uenyekiti hatapewa fursa ya kugombea urais aidha kwa kumlipizia kisasi na pia hata kwa kuuza hiyo fursa ya kumzuia Lissu kugombea urais kwa sababu system haitaki Lissu awe mgombea urais wa CDM hivyo ni fursa nzuri pia ya kupiga hela kwa wajanja wa CHADEMA kwa kuhakikisha tu hagombei urais.Lisu hawezi enda ACT make sera zake hasa za kutumia mapambano kudai haki hazipo kabisa ACT,