Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Anajua akimchafua Magufuli labda atapata kiki maana sasa wapinzani na wanaCcm kwa ujumla walishamchukia na kumuona ni tapeli la kisiasa lenye kujali matumbo yake.
Amejaribu kuonyesha na kuchambua juu ya namna Kabanga nikel ilivyouzea kwa hasara lakini amepuuzwa na wananchi.
Zile zama zake za kupata kiki kwa kuibua ufisadi hazipo tena. Kwa ujumla siasa za janjajanja za Zitto Kwishney. Sasa anadandia kumchafua JPM sababu analindwa na wanaCcm corrupt.
My take; CHADEMA tumpinge huyu kibaraka wa Ccm kwa nguvu zote.
Amejaribu kuonyesha na kuchambua juu ya namna Kabanga nikel ilivyouzea kwa hasara lakini amepuuzwa na wananchi.
Zile zama zake za kupata kiki kwa kuibua ufisadi hazipo tena. Kwa ujumla siasa za janjajanja za Zitto Kwishney. Sasa anadandia kumchafua JPM sababu analindwa na wanaCcm corrupt.
My take; CHADEMA tumpinge huyu kibaraka wa Ccm kwa nguvu zote.