Zitto Kabwe: Anayefikiri Tanzania itapata Katiba Mpya bila kwanza kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi hana ubongo

Zitto Kabwe: Anayefikiri Tanzania itapata Katiba Mpya bila kwanza kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi hana ubongo

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
" Yeyote yule anayefikiri kuwa Tanzania itapata katiba mpya bila kwanza kuwa na Tumehuru ya uchaguzi hana ubongo" Zitto

zitto.jpg
 
" Yeyote yule anayefikiri kuwa Tanzania itapata katiba mpya bila kwanza kuwa na Tumehuru ya uchaguzi hana ubongo" @zittokabwe

View attachment 2151235
Inawezekana ni yeye ndiye asiye na Ubongo halafu anafikiri ni wenzake hawana ubongo.

Tatizo la Zitto, anafikiri kuwa tume huru itawawezesha kupata Wabunge wengi na hao wabunge ndiyo watakaosukuma kuleta Katiba mpya. That's wrong. Katiba ni ya wananchi. Kitendo cha CCM kukubali Tume huru bila katiba mpya wanajua ni wapi walipo na upper hand .... sasa Kijana anajichomeka tu ilimradi arudi mjengoni .... !!

Zanzibar waliunda Tume huru ..... na alichokifanya Jecha wote tunakijua. Labda Zitto ana Ubongo wa kuku amesahau .... maana kuku ukimfukuza hapa anarudi baada ya dakika. Kuku anafanya mambo kwa mazoea!!
 
Kweli Zitto umefikia uwezo huu mdogo wa kufikiria? Hiyo tumehuru lazima iwe backed na sheria mama ambayo ni katiba, pasipo katiba mpya tume huru sahau.

Kumbuka katiba inasema rais akishatangazwa matokeo hayawezi kupingwa.

Sheria za uchaguzi zipo hovyo na hivyo kupelekea uundwaji wa tume kuwa hovyo.

Tume ni subset ya katiba na katiba sio subset ye tume. Hivyo katiba kwanza ndio tumehuru.
 
Znz haikuwa ba Tume huru ya Uchaguzi…nilishangaa Mwanasiasa kama Godbless Lema kusema Znz walikuwa na Tume huru ya Uchaguzi…kama Mwanasiasa anaepigania katiba Mpya wa level ya Lema hajui tofauti ya Tume huru ya Uchaguzi na Tume yenye wawakilishi wa vyama vya siasa itakuaje kwa wanasiasa wa level ya kina Mdude
Inawezekana ni yeye ndiye asiye na Ubongo halafu anafikiri ni wenzake hawana ubongo.

Tatizo la Zitto, anafikiri kuwa tume huru itawawezesha kupata Wabunge wengi na hao wabunge ndiyo watakaosukuma kuleta Katiba mpya. That's wrong. Katiba ni ya wananchi. Kitendo cha CCM kukubali Tume huru bila katiba mpya wanajua ni wapi walipo na upper hand...
 
Hiyo tumehuru la,ima iwe backed na sheria mama ambayo ni katiba, pasipo katiba mpya tume huru sahau.

Si lazima katiba mpya, wanaweza wakaipiga patches tu kama wana nia ya dhati ya kuleta tume huru.
 
" Yeyote yule anayefikiri kuwa Tanzania itapata katiba mpya bila kwanza kuwa na Tumehuru ya uchaguzi hana ubongo" Zitto
Upo ukweli katika hili ! Maana " going fast gets you nowhere unless your going in the right direction "
 
Zitto anatafta genji nae kama Gaidi mshtakiwa😅. Naona kelele zimeshaanza ataropoka we mpaka nae aitwe ikulu!
 
Who is going fast, yule anayekimbilia bungeni leo au yule anayetaka katiba itakayodumu for dacades.
Kumbuka pia ile rasimu ya katiba ya warioba ilifinyangwa huko bungeni that means kuwepo bungeni kwanza ni muhimu pia !! Maana kama majority ya wabunge wangekuwa wanaikubali ile rasimu isingetupwa kapuni ! I stand to be corrected!
 
Back
Top Bottom