Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Na ANAWAZA KUWA NA TUME HURU KABLA YA KATIBA MPYA NI" Yeyote yule anayefikiri kuwa Tanzania itapata katiba mpya bila kwanza kuwa na Tumehuru ya uchaguzi hana ubongo" Zitto
MAWAZO MAITI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ANAWAZA KUWA NA TUME HURU KABLA YA KATIBA MPYA NI" Yeyote yule anayefikiri kuwa Tanzania itapata katiba mpya bila kwanza kuwa na Tumehuru ya uchaguzi hana ubongo" Zitto
Vumbi litakapoanza kutulia akili yake nayo itatulia LABDA ataweza kuanza kufikiri tena.HILI NI TUSI LA WAZI KWA CHADEMA
Kwamba Katiba Mpya hata wewe huoni UMUHIMU wake..??Katiba mpya ni blaaa blaaa za Wapinzani kutaka uchochoro wa kupata madaraka kwa njia ya Mkato
Huku Mtaani kwa wapigakura ushaskia kuna hizo mambo?
Jamaa hamna kitu kichwani huyooSasa ulikuwa unazunguka zunguka nini kujifanya wapinzani ndio wanakwamisha upatikanaji wa hiyo Katiba Mpya wewe Kalumekenge?
Si ungesema tu hutaki Katiba Mpya.
Zitto na ubongo wa kuku kashasahau mambo ya Jecha ya tume huru Zanzibar.Inawezekana ni yeye ndiye asiye na Ubongo halafu anafikiri ni wenzake hawana ubongo.
Tatizo la Zitto, anafikiri kuwa tume huru itawawezesha kupata Wabunge wengi na hao wabunge ndiyo watakaosukuma kuleta Katiba mpya. That's wrong. Katiba ni ya wananchi. Kitendo cha CCM kukubali Tume huru bila katiba mpya wanajua ni wapi walipo na upper hand .... sasa Kijana anajichomeka tu ilimradi arudi mjengoni .... !!
Zanzibar waliunda Tume huru ..... na alichokifanya Jecha wote tunakijua. Labda Zitto ana Ubongo wa kuku amesahau .... maana kuku ukimfukuza hapa anarudi baada ya dakika. Kuku anafanya mambo kwa mazoea!!
Asipokuelewa atakuwa na matatizo......Kwamba Katiba Mpya hata wewe huoni UMUHIMU wake..??
Watu wako jela kwa Makosa ya Uongo , Mahakama haziko huru.. wanateswa ndani ya Taifa lao.
Watu wanauliwa na Hawa Polisi wetu na kunyang'anywa Mali zao.. hawana pakwenda kupata Haki.
NCHI hii kwa Karne hii BADO tunatumia Katiba ya Zamani 1977 ya kikoloni.. Wewe unaenjoy wenzio kuumizwa, kuuawa, ??
Ebu kua akili ... Unasema wanasiasa ndio wanaitaka (what)[emoji3][emoji3] Maoni ya Rasimu ya Jaji Warioba yalitolewa na Watanzania.. wewe haukuwepo??
Kwamba Rais sio Mwanasiasa [emoji3][emoji3]??
Nchi ina Mhimili mmoja tu .. wewe unafurahi tu.
Kila uchaguzi watu wanapigwa na kuuliwa hovyo wewe kwako sawa.. kuleta matozo ya Kijinga kwako sawa.. n. K
Kuwa Akili acha kutumika simamia Maoni Ya Rasimu ya Jaji Warioba.
Hii ni Nchi sio Kijiwe
Tume huru ya zito ni lazima mwenyekiti wake atateuliwa na Rais wakati mwenyekiti wa katiba mpya atadhibitishwa na Rais baada ya kuchaguliwa na vyombo vingine.Kwa hiyo atakuwa huru kweli kweli kuliko huyo wa zitoInawezekana ni yeye ndiye asiye na Ubongo halafu anafikiri ni wenzake hawana ubongo.
Tatizo la Zitto, anafikiri kuwa tume huru itawawezesha kupata Wabunge wengi na hao wabunge ndiyo watakaosukuma kuleta Katiba mpya. That's wrong. Katiba ni ya wananchi. Kitendo cha CCM kukubali Tume huru bila katiba mpya wanajua ni wapi walipo na upper hand .... sasa Kijana anajichomeka tu ilimradi arudi mjengoni .... !!
Zanzibar waliunda Tume huru ..... na alichokifanya Jecha wote tunakijua. Labda Zitto ana Ubongo wa kuku amesahau .... maana kuku ukimfukuza hapa anarudi baada ya dakika. Kuku anafanya mambo kwa mazoea!!
Tunawasubiri..Kuna anayeweza eleza kwa mifano tume inawezaje kuwa huru kwa mazingira ya katiba hii ya sasa?
Wewe ndio maana Maisha yalikushinda ughaibuni, maana HUNA AKILI kabisa.Lengo la Zitto ni kurudi bungeni at any cost,
Je, ana uhakika gani akipata tumehuru atashinda na chama chake kuwa na wabunge wengi watakaopitisha katiba mpya?
Kwamba watanzania Milioni 60 wawe wanahitaji Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi halafu wasipate?Achana na Mr Zero, Katiba mpya sio kwa ajili wapinzani, wanasiasia na wanachama tu, Katiba mpya ni kwa Watanzania wote milioni 60 ambao wengi wao hawajui hata kadi za vyama zikoje.
Kweli Zitto umefikia uwezo huu mdogo wa kufikiria? Hiyo tumehuru lazima iwe backed na sheria mama ambayo ni katiba, pasipo katiba mpya tume huru sahau.
Kumbuka katiba inasema rais akishatangazwa matokeo hayawezi kupingwa.
Sheria za uchaguzi zipo hovyo na hivyo kupelekea uundwaji wa tume kuwa hovyo.
Tume ni subset ya katiba na katiba sio subset ye tume. Hivyo katiba kwanza ndio tumehuru.
Una uhakiga gani atapata wabunge wengi.Kumbuka pia ile rasimu ya katiba ya warioba ilifinyangwa huko bungeni that means kuwepo bungeni kwanza ni muhimu pia !! Maana kama majority ya wabunge wangekuwa wanaikubali ile rasimu isingetupwa kapuni ! I stand to be corrected!
Katiba mpya ni blaaa blaaa za Wapinzani kutaka uchochoro wa kupata madaraka kwa njia ya Mkato
Huku Mtaani kwa wapigakura ushaskia kuna hizo mambo?
Zitto anajivua nguo sebuleni.Hivi hajui kwamba katiba ndiyo sheria-mama/sheria-msingi/sheria kuu?Unapataje tume huru bila sheria inayoitambua na kuiongoza?Afute kauli.
Jamani unaanza kuchamba Kisha unajisaidia haja kubwa au unajisaidia kwanza ndio ukimaliza uchambe?
You cannot put the cart infront of the horse and expect any work to be done.
Hivi katiba mpya inasaidiaje wapinzani kupata madaraka?!Katiba mpya ni blaaa blaaa za Wapinzani kutaka uchochoro wa kupata madaraka kwa njia ya Mkato
Huku Mtaani kwa wapigakura ushaskia kuna hizo mambo?