Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaelekea Zitto na chama chake wanategemea kuwa kwa vyovyote vile watapata viti vya kuridhisha Zanzibar ambavyo vitawawezesha kuwa Chama Kikuu rasmi cha upinzani Bungeni. Mpaka sasa hivi hajaweza kuelezea huo uhuru wa Tume hiyo utahakikishiwa vipi bila ya kuwa na Katiba Mpya? Aidha, wenzake wameeleza kuwa Tume ni sehemu tu ya mfumo wa uchaguzi mkuu. Wanaokataa kutoa fomu kwa wagombea, wanaokata majina ya wapinzani, wanaowatia ndani wagombea wa upinzani n.k. sio Tume. Mwaka 2020 kuna mgombea wa Chadema alitaka kunyimwa fomu za uchaguzi kwa kisingizio kuwa zimeishachukuliwa na mgombe wa Chadema. Mpaka sasa hivi ACT wamegombea sehemu nyingi tu na wameshinda kiti kimoja tu kwa mbinde. Nini kinamuaminisha kuwa nini kitakuwa tofauti 2025? Anaamini kuwa wakurugenzi watabadilika madoa? Kwa kweli hatutendei haki." Yeyote yule anayefikiri kuwa Tanzania itapata katiba mpya bila kwanza kuwa na Tumehuru ya uchaguzi hana ubongo" Zitto
Lengo la Katiba mpya sio kuwapa upinzani madaraka. Lengo ni kuhakikisha kuwa mshindi anashinda katika mazingira ya uwazi na haki.Hivi katiba mpya inasaidiaje wapinzani kupata madaraka?!
Wapinzani wengi wa Tanzania na wafuasi wao wamejaa funza vichwani.Hivi katiba mpya inasaidiaje wapinzani kupata madaraka?!
Sasa unatakiwa kuelewa kuwa mchakato wa Katiba mpya unaishia kwa wananchi kupiga kura ya kuunga mkono Katiba mpya au kuikataa, hilo zoezi linasimamiwa na Tume ya uchaguzi ambayo nyumbu wa Chadema wanasema haina haja ya kufanyiwa reforms.Lengo la Katiba mpya sio kuwapa upinzani madaraka. Lengo ni kuhakikisha kuwa mshindi anashinda katika mazingira ya uwazi na haki.
Amandla...
Sio lazima iwe hivyo. Na wanachosema Chadema ni kuwa total overhaul ya Tume haiwezi kufanyika chini ya katiba iliyopo. Wanaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa uchaguzi wa huru na haki utapatikana pale tu wale wote wanaohusika kwa njia moja na uchaguzi watakapokarabatiwa na kuwekwa huru chini ya Katiba Mpya. Kitu cha msingi ni wenye mamlaka kukubali kuwa kuna haja ya haki kutawala process nzima ya uchaguzi. Njia pekee ya kufanya hivyo ni kuwa na Katiba inayohakikisha haki kwa washiriki wote. Hata ukiwa na kitu kinachoitwa Tume Huru, ni kazi bure kama wasimamizi wa uchaguzi wataendelea kuwa makada wa chama kimoja na vyombo vya dola kuona kuwa ni wajibu wake kulinda maslahi ya upande mmoja. Ndio maana hao nyumbu wa Chadema wanasema reforms kwa sake ya reform tu, haitoshi. Na hasa kama reform hizo zitakuwa limited kwenye Tume ya Uchaguzi peke yake.Sasa unatakiwa kuelewa kuwa mchakato wa Katiba mpya unaishia kwa wananchi kupiga kura ya kuunga mkono Katiba mpya au kuikataa, hilo zoezi linasimamiwa na Tume ya uchaguzi ambayo nyumbu wa Chadema wanasema haina haja ya kufanyiwa reforms.
Huu sasa ni ukichaa!" Yeyote yule anayefikiri kuwa Tanzania itapata katiba mpya bila kwanza kuwa na Tumehuru ya uchaguzi hana ubongo" Zitto
Sasa, kwa nini watu wasijikite kujibu hoja za CHADEMA kama ulivyoziainisha hapa, na badala yake wanashikilia tu "TUME HURU", bila hata ya kueleza hiyo tume huru itapatikana vipi!Sio lazima iwe hivyo. Na wanachosema Chadema ni kuwa total overhaul ya Tume haiwezi kufanyika chini ya katiba iliyopo. Wanaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa uchaguzi wa huru na haki utapatikana pale tu wale wote wanaohusika kwa njia moja na uchaguzi watakapokarabatiwa na kuwekwa huru chini ya Katiba Mpya. Kitu cha msingi ni wenye mamlaka kukubali kuwa kuna haja ya haki kutawala process nzima ya uchaguzi. Njia pekee ya kufanya hivyo ni kuwa na Katiba inayohakikisha haki kwa washiriki wote. Hata ukiwa na kitu kinachoitwa Tume Huru, ni kazi bure kama wasimamizi wa uchaguzi wataendelea kuwa makada wa chama kimoja na vyombo vya dola kuona kuwa ni wajibu wake kulinda maslahi ya upande mmoja. Ndio maana hao nyumbu wa Chadema wanasema reforms kwa sake ya reform tu, haitoshi. Na hasa kama reform hizo zitakuwa limited kwenye Tume ya Uchaguzi peke yake.
Amandla...
Badala ya kujibu swali unakimbilia kuwashambulia wapinzani 🙁Wapinzani wengi wa Tanzania na wafuasi wao wamejaa funza vichwani.
Kuna nyumbu wanamshambulia Zitto kwa sababu tu ni Zitto. Yaani hawana hoja ya msingi ya kuonesha kwanini Katiba Mpya inatakiwa kuanza kabla ya Tume huru.
Ni kweli ila nashangaa huyu jamaa Pohamba anajenga hoja kwamba katiba mpya ni njia ya wapinzani kupata madaraka kwa mkato, so namuuliza inakuaje katiba mpya inasaidia wapinzani?Lengo la Katiba mpya sio kuwapa upinzani madaraka. Lengo ni kuhakikisha kuwa mshindi anashinda katika mazingira ya uwazi na haki.
Amandla...
Zitto ni mtumishi mwadilifu wa CCM" Yeyote yule anayefikiri kuwa Tanzania itapata katiba mpya bila kwanza kuwa na Tumehuru ya uchaguzi hana ubongo" Zitto
Mwanasiasa tapeli tapeli" Yeyote yule anayefikiri kuwa Tanzania itapata katiba mpya bila kwanza kuwa na Tumehuru ya uchaguzi hana ubongo" Zitto
Kweli hapo ndio kwenye tatizo kubwa, hakuna uhakika wa kupata wabunge wengi !!Una uhakiga gani atapata wabunge wengi.
Nafanya wanachokifanya ili kuweka mzani sawa. Kuna tatizo ?Badala ya kujibu swali unakimbilia kuwashambulia wapinzani [emoji853]
Hapana...Michakato ya kupata Tume Huru na Katiba mpya inatakiwa iende kwa pamoja.
..Hili suala linahitaji MARIDHIANO na sio upande mmoja kushambulia upande mwingine.
..CCM wanataka kutokee ugomvi kati ya Tume Huru vs Katiba mpya ili tufike 2024/25 tukiwa tumekosa vyote.
Issue ya ku demand Katiba Mpya kwenye jamii ya watu walioelimika haipaswi kuhodhiwa na chama fulani cha siasa. Ukiona maelezo yamejikita kwenye uchadema au uzambarau ujue kama taifa bado hatujajua nini cha kufanya.Sio lazima iwe hivyo. Na wanachosema Chadema ni kuwa total overhaul ya Tume haiwezi kufanyika chini ya katiba iliyopo. Wanaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa uchaguzi wa huru na haki utapatikana pale tu wale wote wanaohusika kwa njia moja na uchaguzi watakapokarabatiwa na kuwekwa huru chini ya Katiba Mpya. Kitu cha msingi ni wenye mamlaka kukubali kuwa kuna haja ya haki kutawala process nzima ya uchaguzi. Njia pekee ya kufanya hivyo ni kuwa na Katiba inayohakikisha haki kwa washiriki wote. Hata ukiwa na kitu kinachoitwa Tume Huru, ni kazi bure kama wasimamizi wa uchaguzi wataendelea kuwa makada wa chama kimoja na vyombo vya dola kuona kuwa ni wajibu wake kulinda maslahi ya upande mmoja. Ndio maana hao nyumbu wa Chadema wanasema reforms kwa sake ya reform tu, haitoshi. Na hasa kama reform hizo zitakuwa limited kwenye Tume ya Uchaguzi peke yake.
Amandla...