Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Tujue nini,ubinafsishaji una tija kwani saizi tunapata nini?Ngoja wabinafsishe ndio utajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujue nini,ubinafsishaji una tija kwani saizi tunapata nini?Ngoja wabinafsishe ndio utajua
Huyu baba ataweza kweli kutoa ufafanuzi unaoeleweka kwa jinsi anavyopenda kulambalamba midomo wakati akijizungumzishaNgoja aje Pascal Mayalla atufafanulie!
Hivi mnaweza kutufafanulia ni kwa vipi Tanesco inapata hasara?Wazo la kijinga sana kuuza nyumba ya watoto au kuuza mbegu ili kulipa deni.
Badala alete mbinu Tanesco ipate faida ili deni lilipwe kupitia faida yeye anataka tuuze mbegu kulipia deni
Wanataka kuibinafsisha TANESCO haki ya Mungu familiya za JK na Makamba zitakuwa na mwisho mbaya sana, Tamaa na ubinafsi itawaangamiza
Wazo sio baya if Tanesco was independent or autonomousKiongozi wa Chama cha ACT wazalendo Zitto Kabwe amemshauri waziri wa nishati January Makamba apeleke DSE 20% ya hisa za Tanesco zikauzwe na fedha itakayopatikana itumike kulipa madeni ya Shirika.
Kipele kimepata mkunaji, anasisitiza Zitto Kabwe katika page yake ya twitter.
Waziri January Makamba amekubali kupokea ushauri huo.
Kwenu wadau, 20% ya Tanesco ni bei gani?
Hivi mnaweza kutufafanulia ni kwa vipi Tanesco inapata hasara?
Kila kitu tunalipia, hii hasara inatokana na nini?
Mkuu kwani si wazo linasema 20% ya Hisa kwahiyo bado kuna 80% ambazo ndio majority shareholders na wenye sauti over managerial decisions... sasa huo ubinafsishaji umeanzia wapi?Halufu ya ufisadi....Ukibinafsisha TANESCO ndio unakuwa pia umebinafsisha Bwawa la Mwalimu Nyerere (Striglers) na kadhalika
R.I.P jembe Magu....tusha anza kukumbuka
Sumu kwako kwa wengine Ni nyamaNani anunue hisa za shirika mfu kama TANESCO
Kuuza hisa ni kubinafsisha? 20%?Wanataka kuibinafsisha TANESCO haki ya Mungu familiya za JK na Makamba zitakuwa na mwisho mbaya sana, Tamaa na ubinafsi itawaangamiza
Eeeh km 80% ni vilaza na wachumia tumbo wanaweza wakamezwa na 20% wenye kisuMkuu kwani si wazo linasema 20% ya Hisa kwahiyo bado kuna 80% ambazo ndio majority shareholders na wenye sauti over managerial decisions... sasa huo ubinafsishaji umeanzia wapi?
Wewe hauoni labda hawa 20% watatufunulia kujua kwanini kila mwaka ni Loss? kwasababu 20% watahitaji more transparency and accountability!Yaani wanasiasa ni majinga mno
Yaani uuze hisa za Tanesco kampuni haijawahi kutoa faida tangu ianzishwe mwaka 1974?
Yaani mimi muwekezaji niende nikawekeze kwenye upumbavu wenye hasara kila siku?
Lini nitapata gawio?Hakuna hiyo siku mpaka mwisho wa dunia
Zitto na mwenzake Makamba ni mapumbavu,hayajawahi fanya biashara yanaongea mavi matupu
Nani anunue loss generating machine kwa miaka more than 50years?
Nobody
Hiyo ni assumption sasa.Eeeh km 80% ni vilaza na wachumia tumbo wanaweza wakamezwa na 20% wenye kisu
Ukishafanya hivyo unalazimika kubadili mfumo wa utawala na bodi ili wenye hisa wapya wawe na sauti kwenye uendeshaji?Kiongozi wa Chama cha ACT wazalendo Zitto Kabwe amemshauri waziri wa nishati January Makamba apeleke DSE 20% ya hisa za Tanesco zikauzwe na fedha itakayopatikana itumike kulipa madeni ya Shirika.
Kipele kimepata mkunaji, anasisitiza Zitto Kabwe katika page yake ya twitter.
Waziri January Makamba amekubali kupokea ushauri huo.
Kwenu wadau, 20% ya Tanesco ni bei gani?
Ni reality mkuuHiyo ni assumption sasa.
Naelewa hiyo angle unayoisema, hapa ndipo umuhimu wa kuwa na Bunge lenye meno na CAG kutokupepesa macho.Ni reality mkuu
Mambo ya executive positions hayo.. jinsi ya ku influence board members to be on your side sio kazi nyepesi
Hivi mnaweza kutufafanulia ni kwa vipi Tanesco inapata hasara?
Kila kitu tunalipia, hii hasara inatokana na nini?
Si mpaka wawe accountable...wakihujumu nchi kwa maslahi yao nani wakulaumiwa..ni sawa sawa na kuwinda fisi ndani ya buchaWewe hauoni labda hawa 20% watatufunulia kujua kwanini kila mwaka ni Loss? kwasababu 20% watahitaji more transparency and accountability!