Zitto Kabwe asubiriwa na Bunge kueleza lengo la barua yake Benki ya Dunia kuzuia mkopo wa kuboresha Elimu (SEQUIP)

Zito Hana anachoweza kuzuia mkopo toka taasisi yeyeto duniani.Kuamini hivo ni kumsingizia wao ufanya tafiti kabla ya kujidhihirisha,hakuna yeyeto asiyejua kwamba tunatawaliwa na madhalimu yanayokandamiza haki za wengi.Wao wamechunguza wamethibitisha ya kwamba Pesa zao haziendi tumika kwenye malengo kusudio elimu ni kama chambo tu kupitishia.Zitto hana nguvu yeyeto ya kuzuia makubaliano ya nchi na taasisi yeyeto
 

sasa kama mnajua hamtashinda msanusumbua watu ya nn,? as i said early ccm ina mapungufu lakini kuna mstari haijavuka ambao wapinzai mmevuka. there is no reason to urge here , make politics nzuri then tutawachagua or muunde chama kingine chenye watu wenye akili timam, hata kama mtakua na mapungufu pia tuone haya yanaeleweka

mfano tunaweza sema ccm labda wanakula rushwa ama wanatumia dola, lakini hata ukiachana na hivi ni watu wanaojua kujenga hoja, sasa wapinzani bado hamna iki kitu mpaka tushawishike kweli mna msimamo
 
Hahahaaa tumewashika pabaya. Leo mmeanza kuamini ktk majadiliano?? Mangapi tumejafmdiriana mkayapitisha kimabavu??
 
Kumuhoji Zitto ni kumuongezea umaarufu zaidi mnatakiwa msome alama za nyakati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemshangaa sana Ndugai alivyokuwa mnyonge kwa hili. Mbona sioni ule ukali wake?? Hahahhahaaaaa ndugayiiiiii
 

Hao wanaokandamiza wengine ni wanasiasa, na wanaokandamizwa ni wanasiasa, hivyo kama hao wanaokandamiza wengine wanakaliwa kimya acha hao unaosema hawahusiki wakutane na hiyo hali.
 
Ndugai na wana -CCM wenzake a.k.a Watu wasiyojulikana ni vema waache harakati zao za kupotosha Umma, kama kweli kilichozungumzwa na Mh.Zitto ni uwongo iweje WB wakubaliane naye!? WB siyo mambululaz km wengi wa wana-siasa wa TZ walivyo!
 

Ndugai ni mnafiki anadhani hatujui kwamba hilo bunge hakuna nafasi ya mpinzani kuhoji jambo lolote la maana. Eti anasema lilikuwa ni jambo la kuzungumza, ni mara ngapi tunaona wapinzani wakidhalilishwa huko bungeni tena wakiwa na hoja za msingi. Zito akaze kamba hapo hapo.
 

Unaongea utoto gani we dogo? Ccm wanajua kujenga hoja? Unadhani tumekuja hapa nchini juzi nini? Nimekuambia weka ubora wa ccm naona unazungusha tu skirt.
 
Unaongea utoto gani we dogo? Ccm wanajua kujenga hoja? Unadhani tumekuja hapa nchini juzi nini? Nimekuambia weka ubora wa ccm naona unazungusha tu skirt.

si ndo mfano kujenga hoja zenye mashiko , weka ubora sasa wa upinzani
 
Unaongea utoto gani we dogo? Ccm wanajua kujenga hoja? Unadhani tumekuja hapa nchini juzi nini? Nimekuambia weka ubora wa ccm naona unazungusha tu skirt.

na ninakubali kua ccm wana mpungufu , lakini hawajavuka mstari wa aibu kama upinzai, ccm wanajua kujenga hoja ata kama znaupigaji nyuma yake! mfano wanaweza kuomba mkopo wa elimu wakafanya kitu kinahusiana na elimu na bado wakakuonyesha kuna kitu kimefanyika na huo mkopo ingawa wamepiga, rushwa ipo duniani kote hakuna sehem hakuna rushwa

binadam kama binadam tuu wazuri sana kwenye rushwa mfano rushwa hospitali, rushwa ya ngono na rushwa za aina nyingi! ukiachana na mapungufu kama haya upande wa ccm wapo vizuri na chama kimesimama sku zote, aya taja ubora wa upinzani


tukianza na ilo la kuzia mkopo, huo unaitwa upunguani! endelea mengine ...
 
Kupata mimba shuleni ni gross misconduct na adhabu yake ni dismissal ...na sidhani kama Sheria zimebadirika..

kama anaona anataka kuendelea na shule akasome private schools sasa kwa kua ni zinalipiwa na kodi bure kelele ziishe
 
Angeweza kushika shilingi kukwamisha bajeti ya wizara ya elimu au jinsia na watoto hadi jambo alilo lalamikia World Bank litatuliwe na kanuni au sheria huko bungeni.

Alikuwa na nafasi ya kufanya hivyo yeye au kumuomba mbunge yeyote afanye kwa niaba yake kama yeye hakuwepo bungeni wakati wa kujadili bajeti ya wizara husika.
Zitto alikuwa anajua hili lakini amefanya alichofanya kwa malengo binafsi na ya hatari.
 
Naonelea ugike wakati Zito ulihamshe bungeni kuhusu matumizi ya pesa za bunge.
Posho ifutwe,mshahara upunguzwe.
Yani pajengwe apartment za bunge huko,wabunge wale canten,mpaka pale bunge litakapoisha.
 
Kupata mimba shuleni ni gross misconduct na adhabu yake ni dismissal ...na sidhani kama Sheria zimebadirika..
Sijasema kuwa sheria zimebadilika, lkn pia dismisal ya mmoja haizuwii mwengine kubeba mimba.
 

Kapimwe Corona virus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…