Zitto Kabwe ataka Simba waweke mchakato wazi

Zitto Kabwe ataka Simba waweke mchakato wazi

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Kupitia ukurasa wake wa twita, Zitto Kabwe ameomba Klabu ya Simba iweke wazi mchakato mzima wa kumpata mtengeza jezi aliyeshinda Ndugu Fred Vunjabei.

My take: Namuunga mkono Zitto kwenye hili, uwazi ni jambo la msingi sana, tuwekwe wazi hatua kwa hatua mpka kumpata mshindi.

IMG_8025.jpg
 
Kwa hiyo hujaone @bvrbvra kamjibu kwa tenda bid oliyotangazwa January? Ama mnapenda tu kuibua yasiyo na tija.
 
Wataalamu Wa Procurement, Naomba Kueleweshwa Jambo Moja, Mtangaza Tender Ni SIMBA SPORTS CLUB Lakini Juzi Naangalia Mfano wa Hundi ya Bank alieandikwa Ni SIMBA SPORTS CLUB COMPANY LIMITED, swali langu la Msingi Ni Kuwa Ni kwa Nini Mtangaza Tender awe mwingine na Mlipwa Hela ya Tender awe mwingine??
 
Hivi vitu vinatakiwa kuhojiwa kwenye mkutano mkuu wa mwaka, tatizo hii mikutano inaendeshwa kienyeji wanapewa ripoti za mwaka bila kukadili kwa undani.
 
Ukisoma tangazo unaona mkataba uliotakiwa.ni 2021/2022 lakini tumeelezwa mkataba ni wa miaka miwili.
Ukisoma masharti utaona kipengele kinasema mwomba should sound financial good minimum 1,000,000,000 hivyo utaona kama Simba walijilimit tunaweza kusema mwombaji katoa pesa ndogo kumbe walimpa bei elekezi.
 
Ukisoma tangazo unaona mkataba uliotakiwa.ni 2021/2022 lakini tumeelezwa mkataba ni wa miaka miwili.
Ukisoma masharti utaona kipengele kinasema mwomba should sound financial good minimum 1,000,000,000 hivyo utaona kama Simba walijilimit tunaweza kusema mwombaji katoa pesa ndogo kumbe walimpa bei elekezi.
Perfect comment. Halafu Zzk alitaka Kujua Kwamba mchakato tangu bidders walivyotoa offer zao, evaluation process na mpaka award.
 
Yeye Zitto anataka kujua kama nani. Ana shea ngapi kwenye kampuni ya Simba. Uongozi upo, amewahi kuomba ufafanuzi au ni kutaka kuleta chokochoko tu
 
Siasa za Upinzani zimewashinda, wanahamia kwenye mpira...
Sisi watu wa soka hatutaki Siasa za CCM, ACT & CHADEMA kwenye soka.
Mikataba mingapi inafanyika kwa utaratibu kama waliofanya Simba..? Anataka uwekwe wazi the whole process ili iweje? Kwa faida ya nani? Yake Zitto? Mashabiki? Watanzania? Wafanyabiashara?
Mchakato ulivyo mimi kama mwanasimba & mwanachama sina mashaka na uongozi wangu.

NB: Kwa busara angeenda ofisini kwa CEO, Kuona namna mchakato ulivyokuwa..
 
Zito ni mnafiki kama wanafiki wengine wa Simba,tender imetangazwa zaidi ya miezi miwili nyuma.
 
Back
Top Bottom