Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Kupitia ukurasa wake wa twita, Zitto Kabwe ameomba Klabu ya Simba iweke wazi mchakato mzima wa kumpata mtengeza jezi aliyeshinda Ndugu Fred Vunjabei.
My take: Namuunga mkono Zitto kwenye hili, uwazi ni jambo la msingi sana, tuwekwe wazi hatua kwa hatua mpka kumpata mshindi.
My take: Namuunga mkono Zitto kwenye hili, uwazi ni jambo la msingi sana, tuwekwe wazi hatua kwa hatua mpka kumpata mshindi.