Zitto Kabwe atoa hoja nzito juu ya uwekezaji wa DP World Tanzania

Zitto Kabwe atoa hoja nzito juu ya uwekezaji wa DP World Tanzania

Wewe huna akili kabisa
Nimegundua wengi wanaocoment humu hawajaulewa huo mktaaba wala hawajasikia uchambuzi wa kisheria

Wanabeba kifungu kimoja kisha wanatimka mbio kuwahi kuposti, pasi na kutazama vifungu vingine vinavyosomwa kwa pamoja.

Too sad
 
Hoja ipi? Kuna hoja hapo? Ule ujinga wako wa Twityer ndio unataka ulete na humu? Huku hakuna wajinga kama kule Twitter
Halafu huyu mburula ni mwanaume lakin anajiita jina la kike.Anatoka ukoo wa kina kitwala pale Musoma.Ni mpuuzi mkubwa huyu anajiita Getruda .
 
Nimesikiliza kwa makini sana alichozungumza Zitto Kabwe juu ya hili suala la DP World.

Kwanza ningependa kumpongeza Zitto Kabwe kwa kazi nzuri sana anayoendelea kufanya, kwenye hili ametenda haki na ameonesha ukomavu wa hali juu kama kiongozi wa Chama cha Upinzani (ACT Wazalendo).

Kwa ufafanuzi huu wa @zittokabwe ,kama mtu hatoelewa basi, na unaua kabisa hoja muflisi za mkataba usiokua na kikomo na mkataba wa miaka 100.
ZZK ni mmoja wa Wazalendo wa kweli wa taifa hili!, siku zote natanguliza mbele maslahi ya taifa.
P
 
Wewe tutusa Zitto akiwa Chairman wa PAC na Deo Makamu wake wamekula sana Posho za Bandari

Wewe ulikuwa migombani enzi hizo!
Kula posho ndio kufilisi bandari ?...na watumishi wa hapo wanaokula hizo posho na wao wanafilisi bandari ?.....Kuna kamati za bunge zisizokula posho ?

Acha majungu na kusambaza uongo wa kuchafua watu .
 
Nimesikiliza kwa makini sana alichozungumza Zitto Kabwe juu ya hili suala la DP World.

Kwanza ningependa kumpongeza Zitto Kabwe kwa kazi nzuri sana anayoendelea kufanya, kwenye hili ametenda haki na ameonesha ukomavu wa hali juu kama kiongozi wa Chama cha Upinzani (ACT Wazalendo).

Ameweza kuondoa ukakasi kwa maneno machache sana na rahisi mno ambayo kila mtu anaweza kuelewa.

ZK anasema, kwenye jambo hili ni vyema tukatofautisha kati ya hisia na facts, ingawa hawapingi wazungumzao kwa kutumia tu hisia, kwani hisia nazo ni muhimu bali tunapaswa tuwe makini zaidi ili tuepuke upotoshaji ambao kama umejitokeza siku kadhaa nyuma.

Kwenye suala hili, ZK anasema kwamba kulikuwa na sababu za makusudi za upotoshaji, ambazo lengo lake ni kuleta hataruki (confusion) kwa jamii kwa maslahi ya kisiasa.

ZK anasema kwamba kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, wametoa tamko linalowaeleza wananchi ni kitu gani kinakwenda kujadiliwa Bungeni. Nipongeze hatua hii kwani kwani vyama vingine mfano CHADEMA, kwenye hili kimekuwa mstari wa mbele kupotosha umma kuliko kuelimisha umma, Hongera ZK kwa hili.

ZK anaendelea, Kinachokwenda kujadiliwa Bungeni ni MoU ambayo imetoka hadharani, MoU ile, ni makubaliano kati ya serikali mbili (Dubai na Tanzania) ambapo makubaliano hayo sasa, yanatoa ruhusa ya serikali yetu kwenda kujadiliana hayo mambo yanayohusu uwekezaji wa DP World, na huko kwenye hayo majadiliano, ndipo tunapaswa tuwe makini kwa sababu ndio tutakapokuwa na masharti yote ya mkataba wa utekelezaji.

ZK kwa umakini wa hali ya juu anasema kwamba, hiki ambacho kinakwenda kujadiliwa Bungeni, "is simply the framework agreement" ambayo ina muda mahususi. ZK anasema, amesoma Kamati ya Bunge inayohusika moja kwa moja na jambo hili, na ripoti ya azimio la ambalo linakwenda kujadiliwa Bungeni inasema kwamba, "Serikali ya Tanzania itahakikisha kuwa, mamlaka ya bandari haitapokea maombi mengine kwenye maeneo ya ushirikiano yaliyoanishwa katika kiambatanisho namba 1 awamu ya kwanza mkapa hapo mazungumzo katika ya TPA na DP World yatakakuwa yamesitishwa au baada ya kupita kipindi cha miezi 12 baada ya kusainiwa kwa MoU".

Sasa basi, ili tuweze kupata mkataba wa utekezaji, ni hadi Bunge lijadili MoU na kutoa ridhaa kwa TPA kuanza majadiliano na DP World ili kuandaa mkataba wa utekelezaji (HGA), sasa kama itatokea TPA na DP World wameshindwana kwenye majadiliano ndani ya kipindi tajwa, serikali inaweza kutafuta kampuni nyingine ya kuwekeza kwenye bandari zetu.

ZK anaendelea kusema kwamba, mjadala wa Bunge juu ya MoU hii ndio muhimu zaidi, yaani ndio msingi mkuu wa HGA, kupitia hapa ndio tunaweza kujua kwamba tunaliwa au tunakula, kwahiyo ni muhimu sana Wananchi kwamba kinachokwenda kuamuliwa na Bunge, sio kuwapa DP World uendeshaji wa bandari zetu, bali kinachokwenda kuazimiwa, ni kuipa ruhusa serikali kuanza majadiliano na DP World, na kama majadiliano hayo yakishindikana, azimio lote halipo tena. Nguvu zetu,tuwekeze kwenye majadiliano ambayo yanakwenda kutupa mkataba wa utekelezaji.

Kwa ufafanuzi huu wa @zittokabwe ,kama mtu hatoelewa basi, na unaua kabisa hoja muflisi za mkataba usiokua na kikomo na mkataba wa miaka 100.
Xxx
 
ZZK ni mmoja wa Wazalendo wa kweli wa taifa hili!, siku zote natanguliza mbele maslahi ya taifa.
P
Hata wazalendo hukosea. Kwenye hili amekosea.

Tofauti na alichosema, Mbowe alikuwa anazungumzia Mkataba ( Intergovernmental Agreement) na sio MoU. MoU ilisainiwa Februari mwaka jana kati ya TPA na DPW na imetajwa katika hiyo IGA. IGA ndio imeweka mipaka ya mikataba yote itakayofuata kati ya taasisi wakilishi wa nchi zilizoingia katika Mkataba huo. Wawakilishi hao ni TPA kwa upande wa Tanzania na DPW kwa upande wa Dubai. Mikataba hiyo inaitwa HGA ( Host Government Agreements) na haiwezi kwenda kinyume na IGA. HGA haiwezi hata siku moja kusahihisha mapungufu yaliyokuwemo katika IGA ndio maana ni muhimu kuwa maslahi ya pande zote mbili yanalindwa katika IGA.

Watu wanachohoji ni:
1. Vigezo gani vilitumika kufikia uamuzi wa kumpa kazi hii DPW?

2. Utafiti gani ulifanyika mpaka kufikia uamuzi kuwa hamna shirika au taasisi nyingine zenye uwezo kama wa DPW?

3. Je due diligence ilifanyika kuhusu DPW? Due diligence haifanyiki kwa kupeleka wakina Musukuma Dubai tu. Due diligence ingeangalia ufanisi wa miradi ya DPW dunia nzima, kesi ambazo zinazo na zilizofunguliwa dhidi ya DPW n.k.

4. Je sisi wenyewe tulifanya utafiti wa kujua thamani ya assets zetu na potential zake?

5. Je ziliangaliwa njia nyingine mbadala wa huu wa kukodisha asset zetu kwa miaka kibao na mapungufu gani yalionekana katika hizo njia mbadala?

6. Kwa nini unapitishwa kwa haraka hivi bila ya kuwapa wabunge muda wa kutosha wa kuujadili?

7. Kwa nini wananchi walipewa siku moja tu kuja Dodoma kuujadili huo mkataba? Kwa nini watu wasikaribishwe katika miji yote mikubwa ya Tanzania ( DSM, Arusha, Mwanza, Mbeya, Zanzibar) na ile yenye bandari kama Mtwara na Tanga? Kuwakaribisha DSM ilikuwa muhimu kwa sababu ndio kitovu cha wasomi na biashara katika nchi yetu.

8. Kwa nini vyama vya upinzani havikupewa nafasi kuchangia hasa ukizingatia kuwa bunge lote ni CCM?

Kama mimi ambae sio msomi nimeona yote haya nashangaa msomi kama Zitto kuyapotezea! Lazima kuna jambo.

Amandla...
 
Nimesikiliza kwa makini sana alichozungumza Zitto Kabwe juu ya hili suala la DP World.

Kwanza ningependa kumpongeza Zitto Kabwe kwa kazi nzuri sana anayoendelea kufanya, kwenye hili ametenda haki na ameonesha ukomavu wa hali juu kama kiongozi wa Chama cha Upinzani (ACT Wazalendo).

Ameweza kuondoa ukakasi kwa maneno machache sana na rahisi mno ambayo kila mtu anaweza kuelewa.

ZK anasema, kwenye jambo hili ni vyema tukatofautisha kati ya hisia na facts, ingawa hawapingi wazungumzao kwa kutumia tu hisia, kwani hisia nazo ni muhimu bali tunapaswa tuwe makini zaidi ili tuepuke upotoshaji ambao kama umejitokeza siku kadhaa nyuma.

Kwenye suala hili, ZK anasema kwamba kulikuwa na sababu za makusudi za upotoshaji, ambazo lengo lake ni kuleta hataruki (confusion) kwa jamii kwa maslahi ya kisiasa.

ZK anasema kwamba kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, wametoa tamko linalowaeleza wananchi ni kitu gani kinakwenda kujadiliwa Bungeni. Nipongeze hatua hii kwani kwani vyama vingine mfano CHADEMA, kwenye hili kimekuwa mstari wa mbele kupotosha umma kuliko kuelimisha umma, Hongera ZK kwa hili.

ZK anaendelea, Kinachokwenda kujadiliwa Bungeni ni MoU ambayo imetoka hadharani, MoU ile, ni makubaliano kati ya serikali mbili (Dubai na Tanzania) ambapo makubaliano hayo sasa, yanatoa ruhusa ya serikali yetu kwenda kujadiliana hayo mambo yanayohusu uwekezaji wa DP World, na huko kwenye hayo majadiliano, ndipo tunapaswa tuwe makini kwa sababu ndio tutakapokuwa na masharti yote ya mkataba wa utekelezaji.

ZK kwa umakini wa hali ya juu anasema kwamba, hiki ambacho kinakwenda kujadiliwa Bungeni, "is simply the framework agreement" ambayo ina muda mahususi. ZK anasema, amesoma Kamati ya Bunge inayohusika moja kwa moja na jambo hili, na ripoti ya azimio la ambalo linakwenda kujadiliwa Bungeni inasema kwamba, "Serikali ya Tanzania itahakikisha kuwa, mamlaka ya bandari haitapokea maombi mengine kwenye maeneo ya ushirikiano yaliyoanishwa katika kiambatanisho namba 1 awamu ya kwanza mkapa hapo mazungumzo katika ya TPA na DP World yatakakuwa yamesitishwa au baada ya kupita kipindi cha miezi 12 baada ya kusainiwa kwa MoU".

Sasa basi, ili tuweze kupata mkataba wa utekezaji, ni hadi Bunge lijadili MoU na kutoa ridhaa kwa TPA kuanza majadiliano na DP World ili kuandaa mkataba wa utekelezaji (HGA), sasa kama itatokea TPA na DP World wameshindwana kwenye majadiliano ndani ya kipindi tajwa, serikali inaweza kutafuta kampuni nyingine ya kuwekeza kwenye bandari zetu.

ZK anaendelea kusema kwamba, mjadala wa Bunge juu ya MoU hii ndio muhimu zaidi, yaani ndio msingi mkuu wa HGA, kupitia hapa ndio tunaweza kujua kwamba tunaliwa au tunakula, kwahiyo ni muhimu sana Wananchi kwamba kinachokwenda kuamuliwa na Bunge, sio kuwapa DP World uendeshaji wa bandari zetu, bali kinachokwenda kuazimiwa, ni kuipa ruhusa serikali kuanza majadiliano na DP World, na kama majadiliano hayo yakishindikana, azimio lote halipo tena. Nguvu zetu,tuwekeze kwenye majadiliano ambayo yanakwenda kutupa mkataba wa utekelezaji.

Kwa ufafanuzi huu wa @zittokabwe ,kama mtu hatoelewa basi, na unaua kabisa hoja muflisi za mkataba usiokua na kikomo na mkataba wa miaka 100.
Tayari!! Hakuna kitu mbaya dunian kama faranga!!!
 
Hata wazalendo hukosea. Kwenye hili amekosea.

Tofauti na alichosema, Mbowe alikuwa anazungumzia Mkataba ( Intergovernmental Agreement) na sio MoU. MoU ilisainiwa Februari mwaka jana kati ya TPA na DPW na imetajwa katika hiyo IGA. IGA ndio imeweka mipaka ya mikataba yote itakayofuata kati ya taasisi wakilishi wa nchi zilizoingia katika Mkataba huo. Wawakilishi hao ni TPA kwa upande wa Tanzania na DPW kwa upande wa Dubai. Mikataba hiyo inaitwa HGA ( Host Government Agreements) na haiwezi kwenda kinyume na IGA. HGA haiwezi hata siku moja kusahihisha mapungufu yaliyokuwemo katika IGA ndio maana ni muhimu kuwa maslahi ya pande zote mbili yanalindwa katika IGA.

Watu wanachohoji ni:
1. Vigezo gani vilitumika kufikia uamuzi wa kumpa kazi hii DPW?

2. Utafiti gani ulifanyika mpaka kufikia uamuzi kuwa hamna shirika au taasisi nyingine zenye uwezo kama wa DPW?

3. Je due diligence ilifanyika kuhusu DPW? Due diligence haifanyiki kwa kupeleka wakina Musukuma Dubai tu. Due diligence ingeangalia ufanisi wa miradi ya DPW dunia nzima, kesi ambazo zinazo na zilizofunguliwa dhidi ya DPW n.k.

4. Je sisi wenyewe tulifanya utafiti wa kujua thamani ya assets zetu na potential zake?

5. Je ziliangaliwa njia nyingine mbadala wa huu wa kukodisha asset zetu kwa miaka kibao na mapungufu gani yalionekana katika hizo njia mbadala?

6. Kwa nini unapitishwa kwa haraka hivi bila ya kuwapa wabunge muda wa kutosha wa kuujadili?

7. Kwa nini wananchi walipewa siku moja tu kuja Dodoma kuujadili huo mkataba? Kwa nini watu wasikaribishwe katika miji yote mikubwa ya Tanzania ( DSM, Arusha, Mwanza, Mbeya, Zanzibar) na ile yenye bandari kama Mtwara na Tanga? Kuwakaribisha DSM ilikuwa muhimu kwa sababu ndio kitovu cha wasomi na biashara katika nchi yetu.

8. Kwa nini vyama vya upinzani havikupewa nafasi kuchangia hasa ukizingatia kuwa bunge lote ni CCM?

Kama mimi ambae sio msomi nimeona yote haya nashangaa msomi kama Zitto kuyapotezea! Lazima kuna jambo.

Amandla...
Hivyo vyote ulivyohoji vimefanyika.
 
Wewe tutusa Zitto akiwa Chairman wa PAC na Deo Makamu wake wamekula sana Posho za Bandari

Wewe ulikuwa migombani enzi hizo!
Base kwenye point ya msingi, hizo shutuma ambazo hazina ushahidi hazikusaidii.. Base kwenye Hoja, kama una ushahidi nenda Makahamani. Base kwenye alichozungumza.
 
Nimesikiliza kwa makini sana alichozungumza Zitto Kabwe juu ya hili suala la DP World.

Kwanza ningependa kumpongeza Zitto Kabwe kwa kazi nzuri sana anayoendelea kufanya, kwenye hili ametenda haki na ameonesha ukomavu wa hali juu kama kiongozi wa Chama cha Upinzani (ACT Wazalendo).

Ameweza kuondoa ukakasi kwa maneno machache sana na rahisi mno ambayo kila mtu anaweza kuelewa.

ZK anasema, kwenye jambo hili ni vyema tukatofautisha kati ya hisia na facts, ingawa hawapingi wazungumzao kwa kutumia tu hisia, kwani hisia nazo ni muhimu bali tunapaswa tuwe makini zaidi ili tuepuke upotoshaji ambao kama umejitokeza siku kadhaa nyuma.

Kwenye suala hili, ZK anasema kwamba kulikuwa na sababu za makusudi za upotoshaji, ambazo lengo lake ni kuleta hataruki (confusion) kwa jamii kwa maslahi ya kisiasa.

ZK anasema kwamba kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, wametoa tamko linalowaeleza wananchi ni kitu gani kinakwenda kujadiliwa Bungeni. Nipongeze hatua hii kwani kwani vyama vingine mfano CHADEMA, kwenye hili kimekuwa mstari wa mbele kupotosha umma kuliko kuelimisha umma, Hongera ZK kwa hili.

ZK anaendelea, Kinachokwenda kujadiliwa Bungeni ni MoU ambayo imetoka hadharani, MoU ile, ni makubaliano kati ya serikali mbili (Dubai na Tanzania) ambapo makubaliano hayo sasa, yanatoa ruhusa ya serikali yetu kwenda kujadiliana hayo mambo yanayohusu uwekezaji wa DP World, na huko kwenye hayo majadiliano, ndipo tunapaswa tuwe makini kwa sababu ndio tutakapokuwa na masharti yote ya mkataba wa utekelezaji.

ZK kwa umakini wa hali ya juu anasema kwamba, hiki ambacho kinakwenda kujadiliwa Bungeni, "is simply the framework agreement" ambayo ina muda mahususi. ZK anasema, amesoma Kamati ya Bunge inayohusika moja kwa moja na jambo hili, na ripoti ya azimio la ambalo linakwenda kujadiliwa Bungeni inasema kwamba, "Serikali ya Tanzania itahakikisha kuwa, mamlaka ya bandari haitapokea maombi mengine kwenye maeneo ya ushirikiano yaliyoanishwa katika kiambatanisho namba 1 awamu ya kwanza mkapa hapo mazungumzo katika ya TPA na DP World yatakakuwa yamesitishwa au baada ya kupita kipindi cha miezi 12 baada ya kusainiwa kwa MoU".

Sasa basi, ili tuweze kupata mkataba wa utekezaji, ni hadi Bunge lijadili MoU na kutoa ridhaa kwa TPA kuanza majadiliano na DP World ili kuandaa mkataba wa utekelezaji (HGA), sasa kama itatokea TPA na DP World wameshindwana kwenye majadiliano ndani ya kipindi tajwa, serikali inaweza kutafuta kampuni nyingine ya kuwekeza kwenye bandari zetu.

ZK anaendelea kusema kwamba, mjadala wa Bunge juu ya MoU hii ndio muhimu zaidi, yaani ndio msingi mkuu wa HGA, kupitia hapa ndio tunaweza kujua kwamba tunaliwa au tunakula, kwahiyo ni muhimu sana Wananchi kwamba kinachokwenda kuamuliwa na Bunge, sio kuwapa DP World uendeshaji wa bandari zetu, bali kinachokwenda kuazimiwa, ni kuipa ruhusa serikali kuanza majadiliano na DP World, na kama majadiliano hayo yakishindikana, azimio lote halipo tena. Nguvu zetu,tuwekeze kwenye majadiliano ambayo yanakwenda kutupa mkataba wa utekelezaji.

Kwa ufafanuzi huu wa @zittokabwe ,kama mtu hatoelewa basi, na unaua kabisa hoja muflisi za mkataba usiokua na kikomo na mkataba wa miaka 100.
Zitto anaeleweka yuko upande gani,kwa vile kuna wapumbavu kama yule mzee wa ADC wameshalielekeza suala hili kwenye udini lazima na yeye alalie huko ili kuzidi kuwachanganya watu. Huyu ni snitch ndiyo maana alifukuzwa Chadema.
 
Zitto huyu huyu anayetaka tusiwaguse Wazanzibar kwenye jambo ili tusionekane Wabaguzi ? Wadanganye Wajinga sana .
Zitto anajua chama chake kimeshikiliwa na wapemba na wakichomoa betri hata hao wanaombeba watashindwa kwani kwa huku Tanganyika hana nguvu yoyote.
 
Back
Top Bottom