Namuunga mkono Zitto Kabwe.
Haya mambo yakienda hivi hata Mbowe mtasema siyo mtanzania ni mmalawi!
Tatizo lako la ufahamu ni kubwa kuliko! Wewe unadhani nimeomba watu wa Kigoma wajitambulishe? Kwa nini unajitambulisha hapa?Wewe Zwazwa kwelikweli, wewe unadhani Kigoma imejaa Waha tupu??---- Zitto siyo Muha lakini ni mtetezi wa Wana kigoma WOTE. Hata mimi siyo Muha lakini sipendi kusikia Mtanzania yeyote wa Kigoma wa kabila lolote akidhulumiwa.
Awe, Muha, Muhutu, Mtutsi, Mmanyema, Muhaya, Mchaga, Msukuma, Mnyamwezi, Mjita, Mfipa nk, Kutoka Kigoma sipendi kuona akinyanyaswa na kudhulumiwa kisa Kabila lake.
Wazungu hawana mambo ya ukabila ila sisi ngozi nyeusi tuliobaguliwa na mipaka walioiweka hao wazungu bado tuko katika Utumwa wa ukabila.
Ni kazi ya uhamiaji kuchunguza na kutoa majibu. Mengine ni siasa tu.Hili ni suala la public interest, ikiwa kuna haja uhamiaji watalizungumzia
Muhimu hapa ni 'public interest' hasa kwa nafasi yake.
Ni kweli unalosemaKama Rais na VP watapaswa kujitokeza na kuclarify kila issue inayokuwa raised na every Tom, Dick & Harry huko social media, hakuna kazi watafanya. Dr. Mpango will never do such a thing
Waliomteua na kuibuka na jina lake watakuwa walishafanya kazi ya kumchunguza. Hata kama kuna possibility ya ukweli kwamba babu yake na babu yake na babu yake Mpango walicross border kuingia Buhigwe mwaka 1827 haitobadili ukweli kwamba huyu ni MTZ na VP wa JMT
Unauliza majibu ndugu yangu, labda nikutajie na kijiji alichozaliwa ukawatembelee wakuinyeshe kwao na ndugu zake.
Tatizo lako la ufahamu ni kubwa kuliko! Wewe unadhani nimeomba watu wa Kigoma wajitambulishe? Kwa nini unajitambulisha hapa?
Hapana mimi sio mrundi, nilienda Burundi, wenyeji kule wakafunguka. Warundi wanatushangaa sana kuwa tunawapa mpaka Urais watu wa kwao.Na wewe ni Mrundi, umejuaje hadi kijiji anachotoka??!!
Nimekuuliza hujajibu. Nimeomba ujitambulishe kwamba wewe unatoka kigoma? Nani aliomba ujitambulishe?Wewe akili yako ni kubwa kama jiwe, huijui Kigoma na watu wanaoishi huko, hivyo kwa huruma na upendo wangu kwako nikaona ni muhimu upate darsa ili usirejee makosa tena.
Mkuu nashukuru kwamba kuna watu wanaoelewa hoja yanguMkuu Nguruvi3 ..
Shukran sana Kwa bandiko hili
Mimi nakubaliana kuwa ni Raia
Lakini naungana na wewe atuthibitishie uraia wake ukoje..
Hata kama ana asili ya Burundi aseme tujue
Obama alikuwa na asili ya Kenya
Hitler Austria
Kuna Yule Rais wa Ufaransa asili yake Hungary...
Nimeshangaa Sana wanaomtetea waegeuka mbogo....
Ziito yeye mwenyewe tuhuma za kuficha Hadi jina lake hajawahi kujibu
Anajiita Zitto Zuberi Kabwe..
Jina lake lingine anaficha na hasemi Kwa nini
Nimekuuliza hujajibu. Nimeomba ujitambulishe kwamba wewe unatoka kigoma? Nani aliomba ujitambulishe?
Yes ni Raia wa Tanzania. Dr Mpango anamiliki passport ya Tanzania inayompa uraiaUnasema Dkt. Mpango ni raia. Halafu bado unamtaka athibitishe kuwa yeye ni raia?
Sijaelewa.
Ni raia au si raia?
Kama ni raia [kama ulivyosema wewe], athibitishe nini tena?
Unajuaje kama vyombo husika havikujilisha kwamba ni Mtanzania halali bila chenga kabla hajautwaa huo uVP?Akiwa VP wakati wowote anaweza kuwa Rais, sasa kama ni Raia wa kupewa tutaishia kuwa na mgogoro wa kikatiba. Hapa ndipo ima yeye au vyombo husika viweke wazi kuhusu uraia wake
Kwa mtizamo wangu kadhia si ya kupuuza hata kidogo.
Tuliwahi kusikia kuwa Marehemu Mkapa hakuwa mzaliwa bali alikuja na baba yake.
Marehemu Magufuli naye tukasikia ya kuwa alikuja na mama yake toka Burundi.
Huu msiba wa Magufuli umekuwa wa kwanza kumuondoa Rais aliyepo madarakani na tayri akili inaanza kutujia kuwa makamu wa Rais ni lazima awe mtu aliye kamilika kwani anaweza kuwa Rais wakati wowote.
Dr.Philio Mpango,toka hadharani na sawazisha hili jambo mapema.
Kwa hili la Mpango, utetezi hauwezi kuwa eti ni kwasababu ni mtu kutoka Kigoma.
Kule Zanzibar yalitokea makubwa ndani ya Ofisi ya Rais kwa kuwa na raia wa kigeni hasa.Unajuaje kama vyombo husika havikujilisha kwamba ni Mtanzania halali bila chenga kabla hajautwaa huo uVP?
Kitu hakiwi “public interest” baada tu ya watu flani huko Twitter kuanza kuhoji uraia baada ya kuona akicheza wimbo wa Kiha.
Weakness ya Kigogo ni hapendi mtu aende against his views.Ila hizi propaganda kwamba Dr. Mpango ni Mrundi kwa kuwa tu ameonekana akicheza wimbo wa kiha ni utoto na kukosa hoja.
Kigogo sometimes anakuwa na mambo ya kipuuzi sana. These days yupo off target kwa kila jambo na frustrations zake zinamfunua na kuonyesha ni mtu wa aina gani
Wanaohoji uraia wake hawahoji kabila, dini, kijiji au mtaa alipotokaMtu kutoka Kigoma ndiye Mwana Kigoma kwa maneno mengine, sasa Mwana Kigoma siyo raia wa Tz ???--- isitoshe yeye ni Muha kwa kabila, Waha ni Wenyeji wa asili ya Kigoma, Waha hawana asili ya Burundi,Kongo au Rwanda, Kagera, Katavi, Tabora wala Shinyanga na ukimuona Muha nje ya Kigoma basi huyo alitoka Kigoma kama si yeye basi ni wazazi wake au hata mababu zake.
Wakoloni waliweka mipaka ya majimbo kulingana na makabila ya asili ya mahali hapo, Jimbo la magharibi wakati wa Ukoloni lilibeba mikoa ya Kagera (wahaya nk), Kigoma (Waha nk), Tabora (Wanyamwezi nk).
Zanzibar ni kisiwa ambacho wakazi wake wana asili ya nchi za Oman, Yemen, UAE, Tanganyika, Malawi, Uganda na nyingine nyingi. Iweje viongozi wa Tanzania watoke huko wakati Tanganyika pia ina mkusanyiko wa wabantu, wahameti,na waniloti, wazulu? .... kuna kundi la wanasiasa wenye wivu wa kisiasa, tusiwaruhusu kuigawa nchi.Ifike mahali hii nchi tuwe na viongozi wanaotokea Zanzibar mana ndio watanzania halisi isije ikawa hawa wanao tokea huu ukanda wamepandikizwa na aliyetangulia ,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo “sababu zinazotia shaka” ni zipi mkuu? Ni kwa sababu anatokea Kigoma? Ni kwasababu ule wimbo wa Kiha kwa mbaali una rafudhi ya Kirundi!?😅Na kwavile tayari kuna kila sababu zinazotia shaka, ni kwa public interest na interest yake kusafisha hali ya hewa
Nadhani anapaswa kuitwa Vice president Dr Philip Mpango. Bila kusafisha hali ataiwa Mrundi Dr Mpango na hilo litamsononesha sana na kumfanya dhalili bila sababu
Hivi kwanini Watusi wa Tanzania huwa wanaonekana sio raia ukilinganisha na Wahutu au Waha wa kirundi?
Wote hawa si victims wa mipaka ya mzungu?