Zitto Kabwe awa mbogo, awashukia vikali wanaodai Makamu wa Rais, Dkt. Mpango ni Mrundi

Zitto Kabwe awa mbogo, awashukia vikali wanaodai Makamu wa Rais, Dkt. Mpango ni Mrundi

Atabaki mzaramo,mndengereko na mkwere peke yake.
Aisee ukiona hivi unaweza ukadhani matatizo nchini yamekwisha....

Ila kumbe tuna matatizo lukuki ila bado tunatafuta mengine kwenye utofauti wetu....,

By the way hapa tukianza kutafuta ni nani alikuwa hapa tangu enzi na enzi hapatabaki mtu (kila mtu ni wa kuja)..., alafu tukienda mbele zaidi kila binadamu atakuwa ni Mtanzania (sababu historia inaonyesha mabaki ya kwanza ya Binadamu yametokea Tanzania..., hivyo basi kila Binadamu hapa ni nyumbani...
 
Mbona sisi tunacheza ngoma za kikongo za kina koffi hatuambiwi wacongo.
 
Basi wabongo wengi huenda ni wamarekani maana si kwa kupenda kucheza miziki yenye asili ya Kimarekani.
 
Ni mshauri wa rais
Yupo karibu na rais na Mpango anaongea kwa kuwaaminisha watu hivyo ndivyo itakavyokuwa


Siyo rahisi kihivyo ukizingatia yaliyotendeka kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Ndugai na Zitto ni Paka na Chui, siyo rahisi Ndugai akubali Zitto aingie Bungeni, pia angalia kampeni za Zitto katika huo uchaguzi mkuu alipokuwa kule Kasulu alivyokuwa akimchana Dr Mpango.
 
Povu la nini Zitto, nani asiejua kuwa nyie ni Warundi, tulishaumizwa na Mtupoli hatutaki kurudia makosa. Viumbe wabishi na wapenda kutoa roho za watanzania wanatoka Burundi.
 
Uhamiaji ni chombo pekee kisheria kina mamlaka ya kuhoji uraia wa mtu na siyo users wa twitter au Jamiiforums. Mkiwa na mashaka na urai wa mtu mnaenda kuripoti uhamiaji na una haki ya kufuatilia ripoti yako.
Hili ni suala la public interest, ikiwa kuna haja uhamiaji watalizungumzia
Muhimu hapa ni 'public interest' hasa kwa nafasi yake.
 
Oh...

Kwa hiyo ni Wasukuma wangapi sasa waliokula hizo raha?


Kinyume cha neno "wote" ni neno "baadhi".

Kwa hiyo ni baadhi ya Wasukuma ndio wanakula/walikula raha. Kamwe isingewezekana wasukuma WOTE wale raha, kama wewe umiongoni mwa wale Wasukuma wasiobahatika kula raha poleni sana wanawane.
 
Burundi hakuna waha,Kenya kuna wamasai mbona sokoine,alikuwa mmasai na waziri mkuu,na wapo wamasai wengi tu serikalini,mbona hakuna nongwa
 
Povu la nini Zitto, nani asiejua kuwa nyie ni Warundi, tulishaumizwa na Mtupoli hatutaki kurudia makosa. Viumbe wabishi na wapenda kutoa roho za watanzania wanatoka Burundi.


Huyo Mtu pori katoka Burundi??
 
Hoja ya Uraia ni yakisheria siyo yakisiasa. Kwa mujibu wa sheria ya Uraia wa Tanzania Sura 258 kifungu Cha 4 raia wa Tanzania kwa kuzaliwa ni mtu aliyezaliwa ndani ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania mmoja wa wazazi wake akiwa Raia wa Tanzania. Kwa kifungu hiki Dr. Mpango hana utata wa Uraia kwa sababu zifuatazo;
1 . Amezaliwa Tanzania
2. Wazazi wake wote wawili wakiwa Raia wa Tanzania
3. Hajawahi kuukana Utanzania nakujipatia uraia wa nchi nyingine.

Kujadili hoja hii kisiasa na kwa mihemko nikokosa ueledi nakurukia gari kwa mbele. Sheria hii sikuwahi kuisoma ila nimeikupa mtandaoni nakuisoma ipo straight forward tujikite kwenye maendeleo.

Tuache kutafuta popularity, Kama nikucheza ngoma ya warundi mbona wamasai wa Kenya na Tz wanacheza ngoma moja? Mbona wajaluo wa Tanzania na Kenya wanacheza ngoma moja? Mbona wamakonde wa Tz na Msumbiji wa tamaduni moja?

Tumwache mzee achape kazi.
umemaliza kila kitu atakayebisha zaidi akapimwe mkojo

Sent from my SM-A700L using JamiiForums mobile app
 
Sasa hivi ni bora kuongozwa na mkoloni kabisa mzungu kuliko kuongozwa na Mzalendo mwenye hulka kama ya Jiwe!
 
The chickens are coming home to roost.
Hizo zimekuwa siasa za watawala kwa muda mrefu dhidi ya watu wenye mawazo mbadala.
Watu wa mikoa ya pembezoni huwa wananyanyapaliwa sana kwa kubambikiwa uraia wa nchi jirani.
Zitto yuko sahihi kukasirika
 
Back
Top Bottom