Zitto Kabwe awa mbogo, awashukia vikali wanaodai Makamu wa Rais, Dkt. Mpango ni Mrundi

Mbona na wewe siyo raia wa TZ.
 
Binadamu wa Kwanza hakutokea Tanzania.
Ni historia nyepesi tu ya kuwafanya muwe wazalendo.
Binadamu wa Kwanza ni Adam na Hawa.Wote hawa walitokea bara la Asia.
Lako ni jibu la kilokole!
 
Tetea kwa nguvu, maana karibu na wewe watakuambia ni Ugandan.
 
Acha upumba-vu basi we Ki- ma. Kigoma kuna kabila linaitwa Waha, watusi na wahutu ni makabila yanapatina Burundi
Hakuna kabila la Wahutu na Watusi. Hao wote kabila moja, lugha moja, na desturi moja. Unamtambua Mtusi au Mhutu kwa "physical features" tu. Mengine yote wako sawa.
 
Humu JF watu walishahoji habari za huyu bwana 10 years ago kabla hatujafika hapa, je ni coincidence?!

Mimi nauliza mama kashauriwa na nani kumchagua bwana huyu? Hapo tuu ukweli wote upo.
 
Nyie akina vero c mnasema kigogo ni makamba, nape, na rizmoko.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Hiyo ilijulikana siku nyingi. Na hiyo account wanaitumia wote. Kila mmoja yuko huru kuingia huko na kuichafua serkali. Jana nimeona eti Nnape anajipendekeza kumchambua raisi. Nnape ni sehemu ya CCM hawezi kujidai eti ana uchambuzi. Walipojitupa kumchafua JPM, sasa hivi wanajipendekeza. Utaona hata uchambuzi wake ulikuwa unampaka matope marehemu JPM. Nani atakaeuchukuwa huo uchambuzi. Ni muda si mrefu atajikuta hapati chochote, na wataanza machafuzi. Kwenye kujiandikisha wameficha majina yao ya kweli, maana utafiti unaonyesha mwenye kujiandikisha hayupo kwenye vitabu vya serkali, kumbe ni Nnauye, et al.
 
Acha upumba-vu basi we Ki- ma. Kigoma kuna kabila linaitwa Waha, watusi na wahutu ni makabila yanapatina Burundi
Hakuna kabila la Watusi na Wahutu Burundi, kuna kabila la Warundi. Hata Waha wana Watusi na Wahutu. Soma historia, na muulize Zitto Kabwe atakueleza. Kama hujui usiparamie.
 
Hao watu wana roho mbaya usiombe
Huoni wanauana wenyeww kwa wenyewe pamoja na uchache wao kila leo
 
Ifike mahali hii nchi tuwe na viongozi wanaotokea Zanzibar mana ndio watanzania halisi isije ikawa hawa wanao tokea huu ukanda wamepandikizwa na aliyetangulia ,


Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nilisikia huko nako kuna Waarabu, Wamalawi, Wanyamwezi, Wanyarwanda, Wasukuma, Wakurya, Warundi, Awazambia, n.k. ila hakuna anaongea lugha ya asili yake.
 
Yaani mtu apoteze muda wake kujieleza. Kigogo ni nani akihoji kitu unajieleza. Ni srerkali tu, yenye haki kukutaka ujieleze kwa lolote. Kama Kigogo anataka Dr. Mpango ajieleze, afungue kesi mahakamani yakuhoji kupewa umakamu wa raisi raia wa kigeni. Wale wote wanaomuunga mkono pia mna haki ya kufungua kesi kusitisha kuteuliwa kwake, kwa sababu si raia. Kama hamuwezi kuthubutu kufunguwa kesi ya kupinga kuteuliwa kwakebasi nyie wote ni waongo, maana mnajuwa hamuwezi kuthibitisha yeye kutokuwa raia. Hata hivyo hakimu au jaji gani atakaye kubali ushahidi wa kucheza ngoma! Enzi zetu shuleni tulikuwa tunacheza ngoma za kizulu biala kuwa Wazulu.
 
Uteuzi upi??, yeye ni mkuu wa chama cha ACT sasa ateuliwe kwenye wadhifa upi na aachwe Mwana CCM??!
Mbona rais wa chama chake wakati huo aliteuliwa kuwa mkuu wa mkoa?
 
Ni kweli Wazungu hawana ukabila, lakini sababu kubwa ya wazungu kutokuwa na ukabila ni kwa sababu nchi zao ziligawanyika kikabila. Zile ambazo bado zina makabila kwenye nchi zao, makabila yamepewa uwezo wa kujiamlia mambo yao wenyewe (Uingereza). Zile ambazo zilikataa kutoa autonomy zilikuja sambaratika (Yugoslavia). Nchi nyingi za Ulaya zilizobaki ni nchi zenye kabila moja, ndiyo maana hazina hivi viugomvi vya kikabila. Hata Urussi nayo ilisambaratika zikapatikana nchi kwenye misingi ya kabila. Nchi za Afrika zilizo kwenye misingi ya kikabila ni Botswana, Lesotho, na Eswatini. Sina hakika kama hizi nchi tatu za Afrika zina matatizo ya ukabila kama sisi.
 
mbona kenya mambo haya hayapo mpaka waziri wa utalii mwarabu mkuu wa majeshi alikuwa msomali mkuu wa polisi alikuwa msomali
Huko Kenya waliyo na vyeo hivyo ni Wakenya, si wakimbizi au wageni.
 
Unaongelea katiba ya USA au TZ!
 
Peleka kesi mahakamani, ukweli utapatikana.
 
Kwa nini unahangaika huku mahakama ipo! Nenda mahakama, utajuvwa.
 
Ni raia wa Zanzibar ambayo ni sehemu ya JMT! kama kuna hoja na iletwe tutahoji.

Je, uraia wa VP Dr Mpango ni wa kuzaliwa au wa kupewa?
Mbona yeye mwenyewe keshasema kuwa alizaliwa wilaya ya Buhigwe [ambayo zamani ilikuwa sehemu ya Kasulu, nadhani], mkoani Kigoma, kabla hata Tanganyika haijapata uhuru.

Hujamsikia yeye mwenyewe akisema alipozaliwa?

Btw, ziwa Tanganyika liko wapi vile?

Kazaliwa Buhigwe. Kasoma shule kuanzia ya msingi hadi shahada ya pili nchini.

Baada ya kumaliza kidato cha sita alienda jeshini kama ilivyokuwa ada kipindi hicho.

Huko jeshini walijifunza uzalendo na ukakamavu.

Leo mtu huyu mnapata ujasiri wa kuhoji uraia wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…