Pre GE2025 Zitto Kabwe awajibu CHADEMA asema Wao wanafunzwa katika Dini yao Qur'an Sura 109:6 Lakum dinukum waliyadin. Hivyo kila Mtu ashinde mechi zake!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ACT Wazalendo ni chama Cha kidini chenye mrengo wa kigaidi
 
Wakiristo wengi wananukuu sana maandiko ktk hotuba zao ya biblia. Wakinuu waislam quran inakuwa nongwa. Mtasikia msiyotaka kuyasikia
Hongera Zitto.
Aya za Bible hunukuliwa na Viongozi walioko Madarakani Bila kujali dini zao mfano Mzee Makamba wa CCN
 
Zitto sahivi ni Afisa Habari wa ACT? maana chama sijui hakina hata msemaji wala Mwenyekiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…