william mataro
Member
- Aug 7, 2017
- 10
- 3
Naomb msaada wa baadhi ya vitabu vya wanafalsafa vizur vya kusoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani unajisemesha tu. Tumefanya kazi kubwa sana kuliko wakati wowote katika MANISPAA ya Kigoma Ujiji, I am proud of our workZitto huwa Ana muda mwingi wa kusoma vitabu kuliko kuwa na muda mwingi wa kusikiliza kero za wananchi wa Jimbo lake ndio.maana jimbo.lake choka mbaya
Navikumbuka sana. Vile ambavyo vinavutia sana huwa narudia na kurudia. Ni kujipanga tu ndugu yangu. Kuna mwaka nilisoma zaidi ya hivi. Siku hizi uzee umeingia na majukumu pia mengiHivyo vitabu vyote Zitto vina page ngap ngap? mbona kama uko speed hivyo?
unavikumbuka vyote kweli? tuseme wakati umemaliza hiki chamwisho,kile chakwanza
unakumbuka hata kilihusu nini? uko race vibaya mno,sasa na wananchi unawatumikia saa ngapi?
Manispaa ujiji iko nyuma Sana kielimu Angalia matokeo ya shule za msingi na sekondari kipindi chako cha ubungeNadhani unajisemesha tu. Tumefanya kazi kubwa sana kuliko wakati wowote katika MANISPAA ya Kigoma Ujiji, I am proud of our work
Hongera sana Kaka Zito Kabwe. Vijana wajifunze na kujizoesha kusoma vitabu. Sio kushinda kwenye pooltable na Draft. Mwaka huu nmesoma Vitabu viwili. Hakika kitabu ni mbolea ya Ubongo.
Kikubwa naona jiandae Uandike Kitabu kwa mkono wako. Achana na kile alichoandika Dada Asha kukuhusu. Natamani kusoma kitabu chako. Mungu akufanyie wepesi uweze kuandika
Nimejibu mbonaMheshimiwa Zitto huwa hajibu maswali kwa wakati au kutojibu kabisa, huwa sielewi shida ni nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo vitabu vyote Zitto vina page ngap ngap? mbona kama uko speed hivyo?
unavikumbuka vyote kweli? tuseme wakati umemaliza hiki chamwisho,kile chakwanza
unakumbuka hata kilihusu nini? uko race vibaya mno,sasa na wananchi unawatumikia saa ngapi?
Mkuu, wewe unajua zaidi kuliko mimi kuhusiana na hawa watu.Nadhani unajisemesha tu. Tumefanya kazi kubwa sana kuliko wakati wowote katika MANISPAA ya Kigoma Ujiji, I am proud of our work
Kwanza mkuu Zitto nikushukuru leo kwa kujibu hoja ya msingi humu kwa sababu kwa uzoefu kidogo nilio nao mara nyingi hujibu hoja ispokuwa pale unapochafuliwa ndio hujibu kujisafisha. Hata hapa nilitaraji kwamba angalau kwa 90% usingejibu ila naona angalau umejibu; ni jambo zuri.Suala hilo mbona ndio kazi kubwa ya ACT Wazalendo. Ni kazi endelevu
Bakheresa husoma kitabu kimoja tu kurani na Ni bilionea. Mtu mtu unakuta anasoma mavitabu milioni na ni lofa wa kutupwaZitto ni 'mashine 'sasa Kama kasoma vitabu 34 kwa mwaka! Hapo unaweza kukuta kasoma magazeti 5000 kwa mwaka! ni nzuri sana
Warren Buffet husoma kurasa zaidi ya200 kwa siku na ni bilionea number 3 dunianiBakheresa husoma kitabu kimoja tu kurani na Ni bilionea.
Tupe bilionea mmoja tu msoma vitabu vingi.mswahili .MtanzaniaWarren Buffet husoma kurasa zaidi ya200 kwa siku na ni bilionea number 3 duniani
Siku hizi wanasema kimekuwa Cha udakuKuna kitabu cha yerricko nyerere cha UJASUSI wa kidola na kiuchumi, Fanya nacho ukisome ni kizuri