Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: CCM imeshindwa kutimiza ahadi zake za 2015

Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: CCM imeshindwa kutimiza ahadi zake za 2015

Thubutu, umeona vituo vya afya na Zananati vilivyojengwa huko pwani? Umeona shule zilizojengwa? Kwa mafia tu Mv mafia inatosha sana kuwapa kura Ccm.Maana kulikuwa na tatizo kubwa la usafiri Mafia. Hayo ni baadhi ya mambo yanayotosha kuwapa imani watu wa pwani kuichagua Ccm.
Budget ni Expenditure and collections estimates. Na kama kuna mapungufu kidogo mwambie Zitto asidhanie ndio sababu ya kupata credit za kisiasa.

Unatumia nguvu kubwa kutetea kutokutekelezwa kwa ilani...

Unasema pesa hakuna wakati taarifa ya CAG ilionyesha upotevu wa 1.5Trilion na zikaongezeka kufikia 2T+..

Watu wanataka huduma Bora ya afya sio majengo ya Afya...
Hiyo meli unayoelezea sio ya uvuvi Ni ya usafiri..

Jitahidi utete na vipengele vingine sio hivyo viwili tu...
 
Unatumia nguvu kubwa kutetea kutokutekelezwa kwa ilani...

Unasema pesa hakuna wakati taarifa ya CAG ilionyesha upotevu wa 1.5Trilion na zikaongezeka kufikia 2T+..

Watu wanataka huduma Bora ya afya sio majengo ya Afya...
Hiyo meli unayoelezea sio ya uvuvi Ni ya usafiri..

Jitahidi utete na vipengele vingine sio hivyo viwili tu...
Nakushangaa kuleta habari za upotevu wa tril 1.5 wakati majibu yalipelekwa bungeni kuwa hakuna upotevu
Sijazungumzia masuala mawili hapo. Nizumgumzia kuimarishwa kwa sekta ya afya, elimu na miundo mbinu. Masuala kama usambazaji umeme vijijini sio mpaka uambiwe. Maana kila mtanzania anashuudia kwa macho yake.

Huduma nzuri za afya zitatolewa chini ya mti wa mwembe? Tafakari please.
Hicho kivuko ni cha abiria unadhani hakina multiplier effect kwa watu wa pwani?
 
Hakuna ilani ya uchaguzi ya miaka 10... Kumbe ht maana ya ilani ya uchaguzi ujui...

Ukweli Yale waliyo sema watafanyia hawajafanya.... Kumbe wanatudanganya ktk kampeni...
Acha kukurupuka,wewe ilani ni visions ya nini kitekelezwe ndani ya miaka mitano. Na hizi visions zinatekelezwa kulingana na pato la taifa. Kwa hiyo kusema tutanunua meli tano ndani ya miaka mitano na kujenga fishing port. Kama ndani ya miaka mitano bajeti haikutosha kuna tatizo gani kununua meli na kujenga fishing port awamu inayofuata?
 
Chama cha Mapinduzi kiliahidi Wananchi ahadi kedekede mwaka 2015 kupitia Ilani yao. Hata hivyo utekelezaji wa Ilani Katika miaka 5 ni 31% tu hivyo kupata alama D. Baadhi ya maeneo ambayo CCM haikutekeleza Ilani ni Pamoja na

1. Ibara ya 20(h)(ii) CCM waliahidi Kukamilisha hatua za kuanzisha Akaunti ya Fedha ya Pamoja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. HAIJATEKELEZWA

2. Kwenye Sekta ya Kilimo Ibara 22(c) CCM waliahidi Kuimarisha kilimo cha umwagiliaji kwa kuongeza eneo la umwagiliaji kutoka hekta 461,326 mwaka 2014 mpaka 1,000,000 mwaka 2020. Kwa mujibu wa Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa ya Mwaka 2020 Eneo la Umwagiliaji ni Hekta 461,326. Bajeti ya Sekta ya kilimo ilikuwa Sh. 1.08T mwaka 2015, imeshushwa mpaka Sh 201 Bilioni Mwaka 2020.

3. Kwenye Sekta ya MIFUGO: CCM waliahidi Ahadi 17 (uk.10-20) hakuna hata moja iliyotekelezwa.

4. Kwenye Sekta ya Uvuvi kuna
Ahadi 16 (uk. 21-22) hakuna iliyotekelezwa. Kwa Mfano waliahidi kununua Meli 5 za uvuvi Bahari Kuu na kujenga Bandari ya Uvuvi ukanda wa Pwani.HAIJATEKELEZWA.

5. Kwenye Sekta ya Viwanda CCM iliahidi Kuongeza mchango kwenye Sekta ya Viwanda katika Pato la Taifa kutoka 9.9% mwaka 2015 mpaka 15% mwaka 2020 (uk.31). Kwa mujibu wa Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa Sekta ya Viwanda ilichangia 8.5% tu kwa Pato la Taifa. ( Hali ya Uchumi wa Taifa 2020, Wizara ya Fedha Uk. 3). Mradi wa Mchuchuma na Liganga Uk. 31 kama sehemu Ujenzi wa Viwanda mama. HAUJATEKELEZWA.

Hali ya Mauzo Nje kulinganisha Mwaka 2015 na Mwaka 2020

- Bidhaa za Viwanda Mwaka 2015 mauzo USD 1.4 Bilioni kufikia Mwaka 2020 imeshuka mpaka USD 800 Milioni
- Bidhaa za Maua na mboga mboga Mwaka 2015 Mauzo USD 960 Milioni kufikia Mwaka 2020 imeshuka mpaka USD 174 Milioni
- Bidhaa za Samaki Mwaka 2015 Mauzo USD 402 Milioni kufikia Mwaka 2020 imeshuka mpak USD 155 Milioni

6. Kwenye Sekta Usafirishaji CCM waliahidi “Kwa ushirikiano wa Sekta Binafsi kuanza ujenzi wa reli zifuatazo;

Dar – Tabora – Kigoma
Uvinza – Msongati
Isaka – Kigali
Mtwara – Songea – Mbamba Bay (Mchuchuma na Liganga )”

Hata hivyo Serikali inatekelezwa hili kwa mikopp ghali.

7. Kwenye Sekta ya MAFUTA NA GESI ASILIA Ibara ya 44(d) CCM waliahidi Kuendeleza mradi wa Gesi (LNG) uk 71. Mradi huo HAUJATEKELEZWA.

8. Kwenye Sekta ya MAJI: CCM iliahidi Watu 85% kuwa na Maji safi na salama mwaka 2020, Lakini mpaka sasa ni 67% tu ya Watu Vijijini wanapata Maji uk.99. Waliahidi kujenga Bwawa la Kidunda, HALIJAJENGWA.

9. Kwa upande wa UWEZESHAJI wa Wananchi Ibara ya 57(d) uk.105 ya Ilani waliahidi kutenga Kiasi si cha Sh. 50M kwa kila Kijiji kama mfuko wa mzunguko (Revolving Fund). HAWAJATEKELEZA

10. Vile vile CCM waliahidi Ibara ya 57E(v) Kuanzisha mfuko mkubwa wa kitaifa wa wajasiliamali wadogo na wa kati kwa ushirikiano na mfuko wa hifadhi ya jamii. HAIKUTEKELEZWA. Badala yake Wampewa vitambulisho. Hata wanaotelekea nyanya chini wanatozwa pesa za vitambulisho.

11. Kwa upande wa AJIRA waliahidi kutengeneza Ajira Milioni Moja Katika miaka 5. ( uk. 4, 8, 9, & 10 )

Watanzania wana wajibu wa kuikataa CCM ifikapo Oktoba 28, 2020 na kuchagua ACT Wazalendo na Vyama vingine vya Upinzani ili kurejesha furaha kwenye nyoyo za Watanzania

Agosti 2020
Kabla hawajatimiza zilizopita, wanataka kuahidi zingine.
 
Wapi imeandikwa? Hizo ni proposals za nini kikelezwe ndani ya miaka mitano. Na kwa nchi kama hii ambayo inakutana na vikwazo kibao kama ufinyu wa bajeti kuna tatizo?

Ufinyu wa bajeti na wakati yapo Mambo yanafanyika pasipo kufuata Sheria na kutokuwepo ktk bajeti....
Ununuzi wa ndege, ujenzi wa kiwanja Cha ndege Chato..... Hivi hizo ndege zitakusaidia Nini raia wa kawaida...
 
Acha kukurupuka,wewe ilani ni visions ya nini kitekelezwe ndani ya miaka mitano. Na hizi visions zinatekelezwa kulingana na pato la taifa. Kwa hiyo kusema tutanunua meli tano ndani ya miaka mitano na kujenga fishing port. Kama ndani ya miaka mitano bajeti haikutosha kuna tatizo gani kununua meli na kujenga fishing port awamu inayofuata?

Una hoja unatapata tu...

Unatumia nguvu kubwa kujibu hoja moja Kati ya hoja nyingi alizotoa Zito... Jibu na hizo zingine
 
Ufinyu wa bajeti na wakati yapo Mambo yanafanyika pasipo kufuata Sheria na kutokuwepo ktk bajeti....
Ununuzi wa ndege, ujenzi wa kiwanja Cha ndege Chato..... Hivi hizo ndege zitakusaidia Nini raia wa kawaida...
Maswali ya kitoto haya.
 
Chama cha Mapinduzi kiliahidi Wananchi ahadi kedekede mwaka 2015 kupitia Ilani yao. Hata hivyo utekelezaji wa Ilani Katika miaka 5 ni 31% tu hivyo kupata alama D. Baadhi ya maeneo ambayo CCM haikutekeleza Ilani ni Pamoja na

1. Ibara ya 20(h)(ii) CCM waliahidi Kukamilisha hatua za kuanzisha Akaunti ya Fedha ya Pamoja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. HAIJATEKELEZWA

2. Kwenye Sekta ya Kilimo Ibara 22(c) CCM waliahidi Kuimarisha kilimo cha umwagiliaji kwa kuongeza eneo la umwagiliaji kutoka hekta 461,326 mwaka 2014 mpaka 1,000,000 mwaka 2020. Kwa mujibu wa Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa ya Mwaka 2020 Eneo la Umwagiliaji ni Hekta 461,326. Bajeti ya Sekta ya kilimo ilikuwa Sh. 1.08T mwaka 2015, imeshushwa mpaka Sh 201 Bilioni Mwaka 2020.

3. Kwenye Sekta ya MIFUGO: CCM waliahidi Ahadi 17 (uk.10-20) hakuna hata moja iliyotekelezwa.

4. Kwenye Sekta ya Uvuvi kuna
Ahadi 16 (uk. 21-22) hakuna iliyotekelezwa. Kwa Mfano waliahidi kununua Meli 5 za uvuvi Bahari Kuu na kujenga Bandari ya Uvuvi ukanda wa Pwani.HAIJATEKELEZWA.

5. Kwenye Sekta ya Viwanda CCM iliahidi Kuongeza mchango kwenye Sekta ya Viwanda katika Pato la Taifa kutoka 9.9% mwaka 2015 mpaka 15% mwaka 2020 (uk.31). Kwa mujibu wa Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa Sekta ya Viwanda ilichangia 8.5% tu kwa Pato la Taifa. ( Hali ya Uchumi wa Taifa 2020, Wizara ya Fedha Uk. 3). Mradi wa Mchuchuma na Liganga Uk. 31 kama sehemu Ujenzi wa Viwanda mama. HAUJATEKELEZWA.

Hali ya Mauzo Nje kulinganisha Mwaka 2015 na Mwaka 2020

- Bidhaa za Viwanda Mwaka 2015 mauzo USD 1.4 Bilioni kufikia Mwaka 2020 imeshuka mpaka USD 800 Milioni
- Bidhaa za Maua na mboga mboga Mwaka 2015 Mauzo USD 960 Milioni kufikia Mwaka 2020 imeshuka mpaka USD 174 Milioni
- Bidhaa za Samaki Mwaka 2015 Mauzo USD 402 Milioni kufikia Mwaka 2020 imeshuka mpak USD 155 Milioni

6. Kwenye Sekta Usafirishaji CCM waliahidi “Kwa ushirikiano wa Sekta Binafsi kuanza ujenzi wa reli zifuatazo;

Dar – Tabora – Kigoma
Uvinza – Msongati
Isaka – Kigali
Mtwara – Songea – Mbamba Bay (Mchuchuma na Liganga )”

Hata hivyo Serikali inatekelezwa hili kwa mikopp ghali.

7. Kwenye Sekta ya MAFUTA NA GESI ASILIA Ibara ya 44(d) CCM waliahidi Kuendeleza mradi wa Gesi (LNG) uk 71. Mradi huo HAUJATEKELEZWA.

8. Kwenye Sekta ya MAJI: CCM iliahidi Watu 85% kuwa na Maji safi na salama mwaka 2020, Lakini mpaka sasa ni 67% tu ya Watu Vijijini wanapata Maji uk.99. Waliahidi kujenga Bwawa la Kidunda, HALIJAJENGWA.

9. Kwa upande wa UWEZESHAJI wa Wananchi Ibara ya 57(d) uk.105 ya Ilani waliahidi kutenga Kiasi si cha Sh. 50M kwa kila Kijiji kama mfuko wa mzunguko (Revolving Fund). HAWAJATEKELEZA

10. Vile vile CCM waliahidi Ibara ya 57E(v) Kuanzisha mfuko mkubwa wa kitaifa wa wajasiliamali wadogo na wa kati kwa ushirikiano na mfuko wa hifadhi ya jamii. HAIKUTEKELEZWA. Badala yake Wampewa vitambulisho. Hata wanaotelekea nyanya chini wanatozwa pesa za vitambulisho.

11. Kwa upande wa AJIRA waliahidi kutengeneza Ajira Milioni Moja Katika miaka 5. ( uk. 4, 8, 9, & 10 )

Watanzania wana wajibu wa kuikataa CCM ifikapo Oktoba 28, 2020 na kuchagua ACT Wazalendo na Vyama vingine vya Upinzani ili kurejesha furaha kwenye nyoyo za Watanzania

Agosti 2020

Hizi ndio sera zake huyu tapeli wa NSSF
 
Back
Top Bottom