Kwa upande wetu @ACTwazalendo na kutokana na Taarifa tulizokusanya mpaka sasa: Wananchi 13 wameuawa kwa kupigwa risasi na mabomu katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar, Watu 130 Wamejeruhiwa, Watu 120 Wamekamatwa na Polisi, mtu Mmoja Amebakwa na Watu 14 Wametekwa Akiwemo Naibu Katibu Mkuu wa Chama Nassor Mazrui. -: Zitto Kabwe.
"Kati ya watu waliouawa mwanamke ni mmoja na wanaume ni 12. Mkubwa zaidi kati ya hawa waliouawa ni ndugu Chumu Kombo Saidi, mwenye umri wa miaka 45. Wanne kati ya waliouawa ni vijana chini ya miaka 20." @zittokabwe.
"Unyama zaidi umefanyika kwa wanawake, nitatoa ushuhuda wa matukio machache kwa sababu ya muda. Makamu Mwenyekiti wa Vijana Taifa, Khadija Anuar, alikamatwa Pemba Oktoba 27, akapigwa mno, kisha akaachiwa. Akakamatwa tena Oktoba 29, akapigwa zaidi na kuachiwa." @zittokabwe
"Watu 68 hata sasa wana majeraha ya vipigo vya nyaya za umeme, marungu, magongo, shoka na fimbo za Polisi." @zittokabwe.
"Tumeziomba Jumuiya za Kikanda na Kimataifa kutokutoa ushirikiano kwa Serikali zote mbili, za Muungano na ile ya Zanzibar, kwa sababu hazina uhalali." @zittokabwe
"Tumeandika Barua kwa Taasisi zinahusika na Masuala ya Haki za Binaadam kuwajulisha Madhila ambayo tunapitia na kuomba washirikiane nasi katika kulinda uhai wa watu wetu na kudai haki zetu.Taasisi hizo ni Amnesty International, Human Rights Watch pamoja na ICC." @zittokabwe
### Jambo la kusikitisha wakati haya yakitolea tayari kuna wabunge wa upinzani wanakimbilia bungeni kusaini posho, hawajali hata kutoa pole kwa wahanga####AIBU.
"Kati ya watu waliouawa mwanamke ni mmoja na wanaume ni 12. Mkubwa zaidi kati ya hawa waliouawa ni ndugu Chumu Kombo Saidi, mwenye umri wa miaka 45. Wanne kati ya waliouawa ni vijana chini ya miaka 20." @zittokabwe.
"Unyama zaidi umefanyika kwa wanawake, nitatoa ushuhuda wa matukio machache kwa sababu ya muda. Makamu Mwenyekiti wa Vijana Taifa, Khadija Anuar, alikamatwa Pemba Oktoba 27, akapigwa mno, kisha akaachiwa. Akakamatwa tena Oktoba 29, akapigwa zaidi na kuachiwa." @zittokabwe
"Watu 68 hata sasa wana majeraha ya vipigo vya nyaya za umeme, marungu, magongo, shoka na fimbo za Polisi." @zittokabwe.
"Tumeziomba Jumuiya za Kikanda na Kimataifa kutokutoa ushirikiano kwa Serikali zote mbili, za Muungano na ile ya Zanzibar, kwa sababu hazina uhalali." @zittokabwe
"Tumeandika Barua kwa Taasisi zinahusika na Masuala ya Haki za Binaadam kuwajulisha Madhila ambayo tunapitia na kuomba washirikiane nasi katika kulinda uhai wa watu wetu na kudai haki zetu.Taasisi hizo ni Amnesty International, Human Rights Watch pamoja na ICC." @zittokabwe
### Jambo la kusikitisha wakati haya yakitolea tayari kuna wabunge wa upinzani wanakimbilia bungeni kusaini posho, hawajali hata kutoa pole kwa wahanga####AIBU.