..kwa upande wa Zanzibar Ccm hawaiwezi Act wazalendo.
..Na wao walipokuwa Cuf na hata sasa Act wanachama na viongozi wao wameuwawa.
Mbona wanaotekwa ni viongozi wa chadema tu? This proves that ACT is ccm B.
Mmoja ya kiongozi mkubwa wa ACT MZee Abubakar aliuwawa kipindi cha uchaguzi