Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Hali si shwari kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali si shwari kabisa
Haivumuliki wapi mjomba mbona inavumilika tu kwani ni mtu wa ngapi huyo kutekwa na nchi nzima tuko tuli kama maji ya mtungini,utulivu ndio jadi yetu hatujui kukasirika kabisa ila tunajua kubwabwaja tu.Siasa zetu ni za kisanii tu.Zitto Kabwe amesema Haikubaliki Haivumiliki na Haitakubalika Watu kuendelea Kupotea Kutekwa na Kuuawa
Jukumu la msingi la Dola lolote Duniani ni Kulinda Uhai wa Watu wake
Hakuna Taifa Bila Watu
Zitto Kabwe amehuzunika ukurasani X Baada ya taarifa za msaidizi wa Mnyika