..kwa upande wa Zanzibar Ccm hawaiwezi Act wazalendo.
..Na wao walipokuwa Cuf na hata sasa Act wanachama na viongozi wao wameuwawa.
Mbona wanaotekwa ni viongozi wa chadema tu? This proves that ACT is ccm B.
Ukiangalia Zitto, Mbowe, upinzani kwa ujumla na wengine walikemea sana utawala wa Magufuli, sasa hivi ni kama wana kigugumizi yanayofanyika ni zaidi ya JPM time.Mlisema Magufuli anaua watu na kuteka vp mnasemaje?
Siku ukiacha unafiki na chuki juu ya JPM ataelewa!Utekaji ni njia zilizoshindwa awamu iliyopita sijui kwanini tena watu wameamua kurudi kule kule tulipotoka
Kabisa kabisa mda haudanganyiUkiangalia Zitto, Mbowe, upinzani kwa ujumla na wengine walikemea sana utawala wa Magufuli, sasa hivi ni kama wana kigugumizi yanayofanyika ni zaidi ya JPM time.
Kipindi kile ilikuwa ni Agenda kabisa JPM achafuke ndo maana Dr Slaa alisema CHADEMA mpaka walikuwa wanajiteka nk!Ukiangalia Zitto, Mbowe, upinzani kwa ujumla na wengine walikemea sana utawala wa Magufuli, sasa hivi ni kama wana kigugumizi yanayofanyika ni zaidi ya JPM time.
Ndio maDC hao wanakula kuku kwa mlija baada ya kukutana maporini
Ingawa amefanya vizuri.. nimeshtuka nini kimebadilika maana matukio yako zaidi ya mitatu sasa na alikuwa kimya. Hata juzu nilimsema kwa hili.Zitto kawakosea nini tena?....acheni na yeye akemee hii dhuluma ya uhai inayoendelea maana akibaki kimya mtamshambulia tena zaidi.
Hao wote ni viongozi walamba makalio na wanafiki!Ingawa amefanya vizuri.. nimeshtuka nini kimebadilika maana matukio yako zaidi ya mitatu sasa na alikuwa kimya. Hata juzu nilimsema kwa hili.
HahaaHao wote ni viongozi walamba makalio na wanafiki!
Mkuu hapa umeandika uongo. Kwamba hilo kundi lilimchafua jpm na tanpol, jwtz, tiss wakaacha tu hivyo hivyo?Kipindi kile ilikuwa ni Agenda kabisa JPM achafuke ndo maana Dr Slaa alisema CHADEMA mpaka walikuwa wanajiteka nk!
Lililiwepp kundi ndani ya Upinzani na CCM halikumpenda JPM likishinikizwa na wanaharakati wa wa haki za biinadamu wakiongozwa na Bi Kijobi Simba na Olengurumwa!
Huenda mimi leo ikawa mwisho kutumia mitandao yakijamii ikiwemo JFsTangu nione taarifa ya kifo cha Mzee Kibao mwili, akili na roho vyote vimekufa ganzi.
Mi nakwambia ni bora kiongozi aliye real! Wanajificha kwenye unyenyekevu wa kinafiki dani ya makoti!Hahaa
Zitto Kabwe amesema Haikubaliki Haivumiliki na Haitakubalika Watu kuendelea Kupotea Kutekwa na Kuuawa
Jukumu la msingi la Dola lolote Duniani ni Kulinda Uhai wa Watu wake
Hakuna Taifa Bila Watu
Zitto Kabwe amehuzunika ukurasani X Baada ya taarifa za msaidizi wa Mnyika
Hapa nakubaliana na weweTatizo la nchi hii ni Udini,Ukabila na ujinga na akitokea kiongozi mzuri kama sio dini au Kabila lako basi hafai!
Well Noted MkuuUnafiki wake upo wapi? Kuweni na hekima. Zito amezungumza kauli ya msingi kabisa, halafu wewe unakuja na kauli za kipuuzi.
Tuheshimu, tulinde na kuthamini uhai wa wenzetu kama ulivyo wa kwetu.
Hata kama watu watatofautiana katika itikadi lakini linapokuja suala la uhai wa binadamu, ni lazima tuangana, kuyaacha mashetani mauaji pekee yao, na ndiyo yageuke kuwa maadui yetu sote.
Tunataka kusikia kauli ya Rais Samia, maana yeye alisema kuwa watu hawatekwi, atuambie marehemu alitekwa au alijiteka?
Aisee embu ngoja kwanza.Nafikiri kuna haja Kinana,Nape na January wakamatwe,haya mambo huwa yanakuwepo wakiwa tu hawapo kwenye uongozi....Mama Samia chukua huu ushauri na uufanyie kazi...Zitto kama mpambe wao hapa anatumika kuchochea mambo
Mzee ameniuma roho sana, nimetoa chozi leo, ila JF siondoki labda kifo ndio kiniondoe.Huenda mimi leo ikawa mwisho kutumia mitandao yakijamii ikiwemo JFs
Usiwaze Kwa sauti, Kuna watekaji.Huu utekaji unaoendelea Kuna roho inatafutwa ya kiongozi mkubwa....nimewaza TU.