Zitto Kabwe: Haikubaliki , Haivumiliki na Haitakubalika Watu kuendelea Kupotea/Kutekwa na Kuuawa!

Haivumuliki wapi mjomba mbona inavumilika tu kwani ni mtu wa ngapi huyo kutekwa na nchi nzima tuko tuli kama maji ya mtungini,utulivu ndio jadi yetu hatujui kukasirika kabisa ila tunajua kubwabwaja tu.Siasa zetu ni za kisanii tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…