Zitto Kabwe: Iundwe Kampuni ya Uendeshaji wa Bandari, TPA na DP World ziwe na Umiliki Sawa (50/50), Azimio sio Mkataba wa Uendeshaji

Tapeli huyo , usanii mtupu
 
Huyu jamaa anaita watu Mbwa??

Hiyo ishu ya JV ni wazo au ndio msimamo wa Serikali??
 
Afrika hamna win win situation kaa kwa kutulia.
 
Strange!, Kwa hiyo wooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooote waliotoa mawazo yao ni wajinga? Lisu, Fatma, TLS, na wengine hawajui maana ya hizo terminologies za Concession agreement, HGA and the like?
Mabomu hayo.

Kuna mwanasiasa wa maana duniani anaingilia siasa? Fikiri.
 
95% ya waislam ni wanafiki sana hasa kiongozi akiwa Muslim mwenzao watamtetea,ngoja sasa kiongozi awe Mkristo uone.

Hapo zitto akili yake yote imejaa udini tu,ameona aliyeshika mpini ni Muslim mwenzake na wawekezaji nao ni Muslims wenzao,basi anajilopokea tu.
 
Watu wameshapewa Exclusive right kwenye mkataba wa MSINGI za kumanage na kuoperate bandari halafu wewe unaleta habari za eti tuanzishe kampuni ya Fifty-Fifty?, Mwekezaji hayuko binded na sisi kufanya hayo. Mkataba MAMA unazungumza kuwa chetu ni Kodi, Na tozo mbalimbali hapo bandarini ila haujatamka mahali popote kuhusu SHARES.
 
Tatizo lenu tulishalijuwa, ni "kwa nini Waislam waweze sisi tushindwe".

Hakuna zaidi.


Magufuli alikataa kuwapa wote miradi mikubwa akawapa waislam, Yepi Uturuki na Arab contractor Egypt.

Jiulize kwanini?
 
Strange!, Kwa hiyo wooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooote waliotoa mawazo yao ni wajinga? Lisu, Fatma, TLS, na wengine hawajui maana ya hizo terminologies za Concession agreement, HGA and the like?
Mkuu, kwa hiyo umetuona wooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooote hatuwezi kuelewa mpaka uweke msisitizo mreeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeefu kiasi hicho?
 
Wewe hujui
Tofauti
Ya muislam na mswahili wacha nikuache na ujuha wako
Period
 
Strange!, Kwa hiyo wooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooote waliotoa mawazo yao ni wajinga? Lisu, Fatma, TLS, na wengine hawajui maana ya hizo terminologies za Concession agreement, HGA and the like?
Tafadhali usidanganye, msikilize Fatma kasema nini:

 
Mr Zit na fursa ni kitu bee zinalala pamoja!!
 
Zito nindugu yao kasoro kilemba... Hawajasema wanataka kuunda kampuni tanzu wao wanakusaidia eneo Fulani...naona Toka iundiwe twiga mnadhani kilamtu atataka kuunda kampuni jipya labda kama niweziwezi wajanja maana humo twigani Kabali ninyingi huku ukiaminishwa unahaki sawa!!! Nsungu anaijua dhuluma kubwa kabla sisi hatujajua hata umuhimu wa choo
 
Tatizo lako kilemba?

Maridhiano ni mema sana, kwa atayeyasoma vizuri.
 
Tatizo lako kilemba?

Maridhiano ni mema sana, kwa atayeyasoma vizuri.
Yah... Ukiwa wa kilemba siyo lazima uielekeze nchi Kwa wanavilemba wenzio wasio na tija kwetu!!! Biashara tufanye nawatu wanaonunua vyetu,wanaotukopesha na pengine kutusaidia!! Mfano Canada wanasaidia maeneo kama elimu, madaktari,malaria, dawa za Hiv,watalii na wanatupa hadi kondom zakutosha tunapeana majoto...sasa hao wavilemba wanatupa Nini? Labda majn... Wapotee huko hatuwafagilii sijawahi ona kitu Kwa msaafa wa Dubai ndomana hata shule za diniyao niduuuni vibaya!!! Hawatupendiii Sasa sisi wanini? wapotee!!!!
 
Wajinga ndiyo waliwao.


Wanakupa Nyerere Dam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…