Zitto Kabwe: Kama Ghana, Algeria wametoka AFCON sisi ni nani?

Zitto Kabwe: Kama Ghana, Algeria wametoka AFCON sisi ni nani?

lisu analalamika kukosa point mbili kwenye sare

hapo ndio utajua chadema hakuna kitu , anasahau awamu ya nyuma kusiriki kabla ya hii hatukuvuna point hata moja
 
Zito ameonge ukweli Hana chembe ya unafiq ila kama Brain Yako kisoda lazima utoe povu.
Kauli ya zito kwa wale wasio elewa ana maanisha: Kama Algeria na Ghana wamewekeza mamilioni ya shilingi katika soka tena kwa miaka mingi Bado wame feli.
Sisi ambao kwa asilimia kubwa tuna vituo vichache kama si kimoja (Azam) kinacho zalisha wachezji tunawezaje kulalamika kwa nchi zenye vituo zaidi ya 30 Tena vya kisasa na Bado wametolewa mapema?

Sisi ambao tuna wachezaji wachache Ulaya n.k Tena wanao cheza katika ligi za kawaida kwanini tusishukuru, ikiwa Algeria na Ghana Wana wachezaji wanao tamba Ulaya katika ligi kubwa na hawakufanikiwa!!

Sisi ambao Tangu tumeanza kushiriki AFCON hatujawahi kupata point 2 kwanini tusijivunie kwa izo alama 2 wakati hatuja wekeza vya kutosha!!

Complaining and making excuses are cheap..... that’s why everyone can afford it

Ngoja tuendelee kujifariji ujinga
 
lisu analalamika kukosa point mbili kwenye sare

hapo ndio utajua chadema hakuna kitu , anasahau awamu ya nyuma kusiriki kabla ya hii hatukuvuna point hata moja
Kwa hiyo wewe kwako wenye akili ni akina Makonda.😰😰😰
 
Sisi hatujawekeza katika ushindani ila tunashirki na matokeo tuliyopata ni mazuri kulingana na mtaji tukio weka.
Kitendo Cha kutaka tupate matokeo kama ruliwekeza ni mambo ya ki juha.

Ni juha pekee aliye tegemea sisi tutavuka na kwenda roundi inayofuata, izo point 2 tulizopata ni nyingi Sana kwa timu yetu.

Sisi hatuna timu ya Taifa ya kushindana ila ipo ya kushiriki.
Atakama mashindano yakianza upya Leo, tunaweza tusipate ata izo point mbili, tunachocheza sisi sio mpira ila ni vitu vinavyotaka kufanana na mpira.

Wenzetu serikali zao wametia fedha na maarifa kupata timu za Taifa, sisi hatuna mchezo wowote wa kujivunia kwakua Bado hatujawa tayari.

Soka la kisasa ali itegemei FA pekeyake bila serikali kuingilia kati ,Maswala ya kuvuma vipaji kupitia uraia pacha ni ya serikali ili iweze kuvuna isicho panda lakini hatujawa tayari.
Ilichangwa bilion na ushee ndio serekali inapambana kusaidia
 
Taifa la waliofeli kwasababu lina viongozi failures, ajabu ndio anajiona mzalendo kwa huo ujinga alioandika.

Kama Algeria katoka kwanini sisi tusiwe mabingwa? wale Cape Verde ni mfano halisi wa timu inayoongozwa na wanaojielewa, sio uzalendo maandazi kusifia mpaka tunapofeli.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Jamaa hua linajiona zimo sana kichwani..
 
Kikubwa wahenga twajua

Baiskeli haiendeshwi Kwa kupanda tu ,Bali kupigwa peda

Zitto ,msishangazwe nae ,akiwa mserikali kawajibika panapomuhusu
 
lisu analalamika kukosa point mbili kwenye sare

hapo ndio utajua chadema hakuna kitu , anasahau awamu ya nyuma kusiriki kabla ya hii hatukuvuna point hata moja
Kwaiyo unatetea ujinga.ni lini utakua na akili zitakazowaza mafanikio makubwa?.Hiyo miaka yote ambayo mmeshindwa ni chadema ndio iliyokua inaongoza nchi?.Kila mahali mmeshindwa kazi kujifariji tu na blah blah zisizo na kichwa wala miguu.
 
"Hongera Taifa Stars, mmeonyesha ukuaji na uvumilivu. Ghana katoka, Algeria katoka. Sisi ni nani?" - Zitto Kabwe

#PlusXtraUpdates

Je sisi ni nani tupinge??View attachment 2885365

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kauli ya kinyonge na kijinga sana hii. Yani kauli ya kukubali kuwa sisi hatuwezi tu.

Sasa tumeenda kufanya nini huko? Si tungebaki nyumbani tu?
 
Jinga tu ...linafikiri kwa Tumbo...
Hapo ni siasa za kumfunikia fedheha "Mama" tu.

Kiongozi wa upinzani anatakiwa kukosoa na kuonesha mapungufu yako wapi, kuonesha angekuwa yeye madarakani atafanya kipi tofauti.

Si kupiga maneno ya mkosaji kuhalalisha ukosaji.
 
Back
Top Bottom