Zitto Kabwe: Katika ndege 12 alizonunua Hayati Magufuli, ndege 6 hazifanyi kazi, ziko grounded, zina kutu, ingawa tuliambiwa ni mpya

Zitto Kabwe: Katika ndege 12 alizonunua Hayati Magufuli, ndege 6 hazifanyi kazi, ziko grounded, zina kutu, ingawa tuliambiwa ni mpya

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
..usimshambulie Zitto binafsi, shambulia hoja yake.

..hivi unaona ni sahihi ndege hizo 6 kuwa grounded muda mfupi baada ya kununuliwa?
Ulitegemea ziwe grounded lini ? Kama service hamna unataka ziruke vip , hata kama ni mpya unajua service schedule yake , ndege sio Gari , hlo shirika wamedhamiria kuliua , na watu wanashangilia , ogopa sana kundi la wajinga
 
..usimshambulie Zitto binafsi, shambulia hoja yake.

..hivi unaona ni sahihi ndege hizo 6 kuwa grounded muda mfupi baada ya kununuliwa?
Kwaiyo kama zipo grounded ni Kosa la mbeba maono alozinunua au waendeshaji wa shirika wa Sasa au unataka JPM afufuke ili aliendeshe hilo shirika?

Hivi kama ukijenga nyumba warithi wako wakaamua kuigeuza ile nyumba danguro inabidi tukulaumu wewe kwa kujenga hiyo nyumba?

Zito Hana hoja ni shoga tu la kisiasa lenye njaa.
 
Kwaiyo kama zipo grounded ni Kosa la mbeba maono alozinunua au waendeshaji wa shirika wa Sasa au unataka JPM afufuke ili aliendeshe hilo shirika?

Hivi kama ukijenga nyumba warithi wako wakaamua kuigeuza ile nyumba danguro inabidi tukulaumu wewe kwa kujenga hiyo nyumba?

Zito Hana hoja ni shoga tu la kisiasa lenye njaa.
Zilikuwa zinahatamia toka jiwe akiwa hai, zilipofika tu ziliandaliwa viota zikataga na mpaka sasa zinalalia, hayo mayai tayari ni viza.
 
This is illogical and nonsensical.

Tatizo sio mnunuzi ila walioachiwa kuendesha. Unaweza pesa gari mpya Leo ila kama hulitunzi na kulifanya service litakufa tu in no time.

Kuna watu ukiona simu zao utadhani walinunua miaka ya 90 kumbe za mwaka huu huu 2023.

Uchakavu wa kitu ni utunzaji wa mmiliki mwenyewe sio manufacturer au mnunuzi.

Nipo around mazee.
 
Kitendo cha kununua Ndege 12 kwa muhula mmoja wa uongozi ni ufisadi uliokithiri.

Tena huku ukikataa manunuzi yake kukaguliwa na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali.

Kwanini basi ungeanza hata na Ndege mbili ukaona Tija yake yake ndio utathimini kuongeza au vinginevyo.
Ogopa sana mtu anayejiita mwenyewe kuwa ni Mzalendo.
 
Shekhe Zitto anafahamu fika kabisa kwamba, ikiwa tu binadamu hufikwa na magonjwa! Je hayo machuma ambayo leo yapo miaka 6 yakitumika mafuta yasiharibike na kufanyiwa ukarabati?

Hoja ya kwamba ndege zipo benchi zikiwa na kutu huo ni uwongo wa kijinga!
 
Kama ndege sita zipo grounded, hilo haliwezi kuwa kosa la Magufuli, tatizo la Zitto amekariri kila siku kutupa lawama kwa mtu mmoja ambaye kwa sasa hayupo, na kumlinda yule aliyepo, akidhani wote hatuna akili.

Hizo ndege kama zimekosa matunzo, na sasa Magufuli amefariki karibia miaka miwili iliyopita, Zitto anatakiwa ajue wakuwalaumu ni hawa waliopo kwa matunzo mabovu ya hizo ndege, na sio yule aliyezinunua, bila kujali kama ni mpya au mitumba, kwani waswahili husema kitunze kidumu, sio unashindwa kukitunza, halafu unamlaumu aliyenunua!.

Anachofanya ni kama ujinga wa watoto kumlaumu baba yao kwa ubovu wa nyumba aliyowajengea baba yao aliyefariki, wakati wao ndio waangalizi wa nyumba hiyo, ujinga wake ni kutumia kigezo cha wingi wa ndege kama sababu ya hizo ndege sita kuwa grounded, hoja ya kijinga kabisa.
 
Back
Top Bottom