Zitto Kabwe: Katika ndege 12 alizonunua Hayati Magufuli, ndege 6 hazifanyi kazi, ziko grounded, zina kutu, ingawa tuliambiwa ni mpya

Zitto Kabwe: Katika ndege 12 alizonunua Hayati Magufuli, ndege 6 hazifanyi kazi, ziko grounded, zina kutu, ingawa tuliambiwa ni mpya

Nchi yetu ina wanasiasa wa ajabu sana.
Ukasuku na wimbo wa pamoja tuna imani naye ni tatizo sana.
"Anaupiga mwingi"
 
Chuma na kutu ni Bibi na Bwana, kwani ndege zetu zi za chuma?
 
Back
Top Bottom