Pre GE2025 Zitto Kabwe kugombea Urais wa Tanzania 2025, Jimbo la Ubunge Kigoma mjini anawaachia Vijana wa ACT Wazalendo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Atapata kura za Mwandiga na Chakechake
 
CHADEMA nayo ina tofauti gani na ACT kwenye mchakato wa kumpata mgombea urais kama sasa hivi Mbowe na Lissu wanataka kushikana mashati?
Na safari hii vita ni Kali Mbowe hataki Lisu agombee ,Lisu anataka kugombea uraisi
 
Bora agombee ili tupunguze kelele za kinafiki. Maana tangu yupo CHADEMA anataka Urais.

Chama chake hakina huo ubavu. Tuliona jinsi Membe alivyopata shida kukampeni. Anapoteza muda tu, ajikite kwenye ubunge tu. Otherwise, anajimaliza kisiasa.
 
wameweza kujijenga kitaasisi na hivyo wako tayari kuchukua mamlaka ya Nchi Zanzibar na Tanzania bara k
Bara ACT haina kitu , ni mfu tu. Visiwani ni nguzo ya Maalim Seif na si ACT as ACT. Kuna siku wataanzsha chama lao ku reflect majina nan imani za wazazibari
 
Bara ACT haina kitu , ni mfu tu. Visiwani ni nguzo ya Maalim Seif na si ACT as ACT. Kuna siku wataanzsha chama lao ku reflect majina nan imani za wazazibari
ACT Kwa Hilo wako vizuri wamepiga hesabu vizuri sana.Bara ACT wazalendo Ina Waislamu wengi na wazazibari wengi wanaofanya shughuli zao Tanzania Bara ambao ni wanachama wa ACT wazalendo na Jamii zao

Zanzibar Hana shida atapata kura nyingi sana kuliko chama chochote Cha upinzani
Wazazibari hawana mtu wa awezaye Pata kura upande wa Tanzania Bara ndio maana wamempa yeye
 
Zitto acha utani!
Jielekeze kwenye ubunge kumbuka hata umaarufu huo huna tena ulishapotea muda mrefu!
 
Bara ACT wazalendo Ina Waislamu wengi na wazazibari wengi wanaofanya shughuli zao Tanzania Bara ambao ni wanachama wa ACT wazalendo na Jamii zao
waislamu wamegawanyika ccm chadema, act...........
 
Zito akagombee urais wa MWANDIGA atapita Kwa kishindo
 
Kila kitu kina mwanzo, hata kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1995 Chadema haikusimamisha mgombea urais na imesimamisha wagombea ubunge kwenye baadhi ya majimbo tu.
Haikufika nchi nzima.
Kazi ya chama cha siasa ni kufanya siasa, kama huwezi kufanya siasa kwenye eneo kubwa fanya kwenye eneo dogo.
 
waislamu wamegawanyika ccm chadema, act...........
Chadema Waislamu wa kumulika na torch wachache mno ndio maana hata maandamano ya chadema Dar es salaam yalianzia wilaya zote za Dar kasoro temeke kwenye Waislamu wengi Dar Walijua Temeke hawatapata watu

Lakini ingekuwa CCM au ACT wazalendo wangekuwa kibao
 
Acha udini ndugu.
Vyama vyote ni mali ya watanzania bila kujali dini wala makabila yao.
Ulitumia chombo gani kufanya utafiti kupata idadi ya dini za wanachama wa Chadema?
Chadema hawaamini kwenye dini yoyote, usiwaharibie mbele ya jamii
 
this is bad news to chadema and to the puppet politically speaking 🐒
 
Hata John M-nyika anaipenda Tanganyika yetu. Tukutane Nyikani .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…