GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Chadema inafeli sana,Leo mnaenda kuomba maridhiano wakati mlisusia uchaguzi Wa serikali za mitaa,maana yake ile migomo illikuwa ni mchezo Wa kuipa sisiem viti vyote,vipi kuhusu kina tundu lissu wameridhia hayo maridhiano chama kinaendeshwa na fikra za MTU mmoja hii ni aibu kwa upinzani.