Zitto Kabwe: Kuomba maridhiano kwa Rais Magufuli ni kujipendekeza na unafiki

Zitto Kabwe: Kuomba maridhiano kwa Rais Magufuli ni kujipendekeza na unafiki

kwani yeye alivyokabidhi ilani ya ACT wazalendo huku wengine wakisusa haukua unafiki?wabunge wa upinzani walivyotoka bungeni yeye akabaki haukuwa unafiki,?
 
Kama una akili timamu huwezi kumwamini Zitto,wengi kawauza na kudhalilika
 
kwani yeye alivyokabidhi ilani ya ACT wazalendo huku wengine wakisusa haukua unafiki?wabunge wa upinzani walivyotoka bungeni yeye akabaki haukuwa unafiki,?
Mnafiki sana huyo jamaa,wengi kawauza
 
Pascal Mayalla,
Well said P.
Kuna watu wamepotezwa, watu wamepigwa risasi(Lissu), watu wamepoteza uongozi wa vijiji, mitaa, vitongoji kwa dhuruma ya ccm.

Mtu ANAOMBA maridhiano! Haki huwa inaombwa?
 
Egnecious,

Ubongo wako umeathiriwa na ugonjwa wa u-ccm.

Ukiona mtu anaomba haki yake tambua huyo ni mwehu..
 
Naunga mkono hoja, tupa kule zzk, twende na kina mbowe na lipumba. Kanaona wivu wenzake Jana wamepata coverage forums za kitaifa.

Siasa za Mbowe na Lipumba zinafanana sana.

Waendelee kujipendekeza maana wameishiwa maarifa.
 
MsemajiUkweli,
Maalim Seif alifika mpaka ikulu kwa magufuli ili kujadiri siasa za zanzibar.

Tumuulize kapata nini?

Mbowe na Lipumba wanajipendekeza kwa Magufuli wanadhani watapata maridhiano.

Let them go wakaambulie chai ya ikulu.
 
Wakati wenzake wanamgomea Jiwe Bungeni yeye si alibaki peke yake,Leo hii analialia nini?aache unafiki.
Wakati Lipumba anajiondoa UKAWA, Mbowe alimtusi sana.

Leo Mbowe anaungana na Lipumba kulamba miguu ya Magufuli.
 
MsemajiUkweli,
Afadhali Mange kimambi ni hero. Anaweza kuongea nikamsikiliza Aliwafanyisha usafi TPF na JWTz nchi nzima bila kupenda, zito anawadangany Wataanzania.
 
Zitto anaweza kuwa na point. Why CHADEMA wanaomba maridhiano sasa? Kwanini hawakuomba hicho wanachoita maridhiano kabla hata ya uporaji uliofanywa na CCM kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa?

Magufuli anaweza kuwapotezea kwanza na kuja kuwajibu December 2020 baada ya kuwa amewapora 98% ya majimbo yote
 
Egnecious,
Mkuu tujadili hoja na sio habari za baba yake Zitto kwani hata wewe hujulikani baba yako ni huyo au alitoka Burundi, ni hayo tu.
 
ZZK sio wa kuamika. Ni huyuhuyu aliteuliwa na Mkiti wa CCM JK kuwa mjumbe wa kamati ya Bomani ya kuchunguza mikataba ya madini.

Same ZZK alikuwa anategemea hisani za wabunge wa-CCM kuwa mkiti wa PAOC na baadae PAC.

Leo hii anaona nongwa kwa akina Freeman kutafuta maridhiano.

ZZK anafanya kazi na Duni Haji na Maalim na wengineo waliofanya maridhiano na CCM na kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.

Leo kwa wengine kupewa platform mbele ya Mkiti wa CCM ambae pia ni Amri Jeshi Mkuu, ZZK anaona nongwa.

Ni lini ZZK ataacha kuwa nyoka ndumila kuwili??
 
Mkuu maridhiano ili wapinzani wapate nini? Magufuli sio mtu wa maridhiano na wala hatakaa awe mtu wa maridhiano.
Kwangu walichofanya chadema ni uungwana, walikwenda kwenye sherehe za taifa letu.kuomba maridhiano ni uzalendo wenyewe.
 
Back
Top Bottom