Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe kuzungumza na Vyombo vya Habari kesho Novemba 7, 2020

Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe kuzungumza na Vyombo vya Habari kesho Novemba 7, 2020

ACT Wazalendo

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2014
Posts
631
Reaction score
1,577
Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Ndugu Zitto Zubeir Kabwe kesho Novemba 7, 2020 anatarajia kuzungumza na vyombo vya habari kuhusiana na masuala mbalimbali yaliyojili kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020.

Pia Kiongozi wa Chama atazungumzia mambo mbalimbali ikiwamo ukiukwaji wa sheria, taratibu, kanuni na uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea kufanywa na vyombo vya dola dhidi ya wapinzani. Mkutano huo utafanyika saa 5:00 asubuhi kwenye Ofisi za Chama zilizopo Magomeni Jijini Dar es Salaam.

Tunawakumbusha waandishi wote msisahau vitambulisho vya Taasisi mnazofanyiakazi. Mwandishi ambaye hatakuwa na kitambulisho hatoruhusiwa kuingia kwenye mkutano huo. Tunaomba mzingatie hayo.

Imetolewa na:

Janeth Joel Rithe
Naibu/Katibu Uenezi, Habari na Mawasiliano kwa Umma
Leo Novemba 6, 2020.


IMG_20201106_192337_529.jpg
 
Si alishazungumza tayari huyu,,,, kweny press comference na wenzake wa Chadema
Alisahau jambo gani tena
Mimi kwa ushauri wangu afanye mambo mengine,, haya hayatomsaidia chochote ni kupoteza muda tu
Acha unaa mzee
 
Wamewazuia kwa nguvu ya dola,wizi na hila kuingia bungeni, njia pekee ni kupitia media, Nayo huenda ikatoka bylaw kuzuia habari vyama nje ya chama tawala wasubiri kipindi maalumu cha uchaguzi.
 
Hivi yule jamaa aliekimbia na box la kura alipatikana?
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Ndugu Zitto Zubeir Kabwe kesho Novemba 7, 2020 anatarajia kuzungumza na vyombo vya habari kuhusiana na masuala mbalimbali yaliyojili kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020.

Pia Kiongozi wa Chama atazungumzia mambo mbalimbali ikiwamo ukiukwaji wa sheria, taratibu, kanuni na uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea kufanywa na vyombo vya dola dhidi ya wapinzani. Mkutano huo utafanyika saa 5:00 asubuhi kwenye Ofisi za Chama zilizopo Magomeni Jijini Dar es Salaam.

Tunawakumbusha waandishi wote msisahau vitambulisho vya Taasisi mnazofanyiakazi. Mwandishi ambaye hatakuwa na kitambulisho hatoruhusiwa kuingia kwenye mkutano huo. Tunaomba mzingatie hayo.

Imetolewa na:
Janeth Joel Rithe
Naibu/Katibu Uenezi, Habari na Mawasiliano kwa Umma
Leo Novemba 6, 2020.

Hata 'mkilalamika' hakuna ambacho Kitabadilika na uzuri ni kwamba hata hao 'Wazungu' wanaowatumeni wamekubali Dk. JPM ndiyo Rais Tanzania.
 
Namkumbuka mmoja aliyesema kashinda uchaguzi kwa 84% na bado anawaogopa 16%aliowashinda kwa kura za kwenye mabegi.
Kwa anavyofanya tunaona aliipata Phd yake kwa kusomea ujinga.
 
TUNAANZA UPYAAAA
Si alishazungumza tayari huyu,,,, kweny press comference na wenzake wa Chadema,,,,
Alisahau jambo gani tena,,
Mimi kwa ushauri wangu afanye mambo mengine,, haya hayatomsaidia chochote ni kupoteza muda tu,,,
 
Kesho akitoa taarifa kabla ya saa17 watu hawatazungumzia wapo busy na maandalizi ya Kariakoo Derby, na wakitoa baada ya saa17 Kuna team itakuwa imeumia na matokeo hawatazungumzia pia. Kitaalamu hyo inaitwa ukisimama nchale, ukikaa nchale

Bad move again from vyama vya upingaji
 
Nchi hii wasiokuwa waelewa niwengi kuliko wenye ufaham ndicho nilichogundua hatujui haki zetu.
 
Back
Top Bottom