Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiingilie yakwetu kwani si mlimfukuza Membe? Sisi tunampa hifadhi siku akiamua kurudi kwao atakujaKabla ya yote aseme kwanini yeye ni kiongozi kwenye ukiukaji wa sheria. Au amesahau alichomfanya mzee wetu Membe?
Haki membe aombe radhi ili arudi nyumbani tuu.Usiingilie yakwetu kwani si mlimfukuza Membe? Sisi tunampa hifadhi siku akiamua kurudi kwao atakuja
Pole jamani, utapata tena stress na hiyo itakua kubwa zaidi ya stress ulitopata kwa Tundu.Zitto Kabwe Rais 2025. Mungu akulinde
🤣😀 jamaa bado haamini kama kibarua kimeota nyasi
Baada ya wananchi kuwatosa kwenye box la kura na barabarani saizi maandamano ni kwenye mitandao na press conference. Tafuta kazi ufanye we muhaKiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Ndugu Zitto Zubeir Kabwe kesho Novemba 7, 2020 anatarajia kuzungumza na vyombo vya habari kuhusiana na masuala mbalimbali yaliyojili kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020.
Pia Kiongozi wa Chama atazungumzia mambo mbalimbali ikiwamo ukiukwaji wa sheria, taratibu, kanuni na uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea kufanywa na vyombo vya dola dhidi ya wapinzani. Mkutano huo utafanyika saa 5:00 asubuhi kwenye Ofisi za Chama zilizopo Magomeni Jijini Dar es Salaam.
Tunawakumbusha waandishi wote msisahau vitambulisho vya Taasisi mnazofanyiakazi. Mwandishi ambaye hatakuwa na kitambulisho hatoruhusiwa kuingia kwenye mkutano huo. Tunaomba mzingatie hayo.
Imetolewa na:
Janeth Joel Rithe
Naibu/Katibu Uenezi, Habari na Mawasiliano kwa Umma
Leo Novemba 6, 2020.
😀 jamaa bado haamini kama kibarua kimeota nyasi
Mbembe huyo!... Waha sio wanafiki kiasi hicho. 🤔Baada ya wananchi kuwatosa kwenye box la kura na barabarani saizi maandamano ni kwenye mitandao na press conference. Tafuta kazi ufanye we muha
Kwani Membe na yeye anatamani kukaa na wabakaji wa demokrasia?Haki membe aombe radhi ili arudi nyumbani tuu.
Kwa manyanyaso aliyopewa na Zitto nimeamini msemo wa wahenga kwamba HERI KULA TEMBELE LANGU KWA AMANI KULIKO PILAU LA MASIMANGO
Sisi tunataka kusikia neno kutoka kwa Mh. Bernard K. Membe na yeye ameyakubali matokeo?
Ujinga mtupu!! Kakosa ajira anambwerambwera tu, atulize kipago.Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Ndugu Zitto Zubeir Kabwe kesho Novemba 7, 2020 anatarajia kuzungumza na vyombo vya habari kuhusiana na masuala mbalimbali yaliyojili kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020.
Pia Kiongozi wa Chama atazungumzia mambo mbalimbali ikiwamo ukiukwaji wa sheria, taratibu, kanuni na uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea kufanywa na vyombo vya dola dhidi ya wapinzani. Mkutano huo utafanyika saa 5:00 asubuhi kwenye Ofisi za Chama zilizopo Magomeni Jijini Dar es Salaam.
Tunawakumbusha waandishi wote msisahau vitambulisho vya Taasisi mnazofanyiakazi. Mwandishi ambaye hatakuwa na kitambulisho hatoruhusiwa kuingia kwenye mkutano huo. Tunaomba mzingatie hayo.
Imetolewa na:
Janeth Joel Rithe
Naibu/Katibu Uenezi, Habari na Mawasiliano kwa Umma
Leo Novemba 6, 2020.
Zitto Kabwe Rais 2025. Mungu akulinde