Zitto Kabwe: Mikutano ya Act wazalendo sio kama ya Chadema na vyama vingine. Sisi tunaeleza kero na namna ya kutatua.

Zitto Kabwe: Mikutano ya Act wazalendo sio kama ya Chadema na vyama vingine. Sisi tunaeleza kero na namna ya kutatua.

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Screenshot_20230528-122634.jpg
 
Kuna ukweli. CDM wako bize sana kuelezea vikwazo vya wao kuingia ikulu.
 
Zitto kashatokota [emoji1787][emoji1787][emoji1787] alijitahidi kuzuia chopa ya mbowe isiruke kigoma kwa kupitia mamlaka ya anga lkn akafeli , na chadema kigoma wameitifua kweli kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
2917C659-B830-4103-929C-2CC5A21681CC.jpeg


Halafu akitoka hapo anapinga viongozi wa serikali kutembelea magari ya aina hiyo.
 
Back
Top Bottom