Zitto Kabwe: Mikutano ya Act wazalendo sio kama ya Chadema na vyama vingine. Sisi tunaeleza kero na namna ya kutatua.

Kuna ukweli. CDM wako bize sana kuelezea vikwazo vya wao kuingia ikulu.
 
Zitto kashatokota [emoji1787][emoji1787][emoji1787] alijitahidi kuzuia chopa ya mbowe isiruke kigoma kwa kupitia mamlaka ya anga lkn akafeli , na chadema kigoma wameitifua kweli kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 


Halafu akitoka hapo anapinga viongozi wa serikali kutembelea magari ya aina hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…