Zitto Kabwe Mtegoni

Zitto Kabwe Mtegoni

daah.. kwa hio wanamsubiri akirudi tu wampatie kesi ya utakatishaji!!? mashetani kabisa hawa, Mungu amlinde zitto!
Mungu analinda yeyote,...hata wale wanaotaka zitto achukuliwe hatua nao wanalindwa na Mungu...Zitto amefanya maovu mengi it is high time now sheria ichukue mkondo wake....Mtu unafanya maovu halafu unataka Mungu....ni sawa na jambazi anavamia benki huku akimuomba Mungu amlinde
 
Zitto anaogopa nini sasa,si alisema haogopi anajamba jamba tu
Ukitaka kupambana na serikali hakikisha upo msafi maeneo yote
Analalamikia sheria ya money laundering wakati ni yeye ndio alietunga,nakumbuka alikua anasimama kila dakika kurekebisha sentensi,koma na nukta ili hao aliowaita mafisadi wasitoke salama
Naam mchimba kaburi anaingia mwenyewe sasa
Lakini hakuwa anasimamia kuweka sheria hiyo sawasawa ili ije itumike kubambikia watu. Unajua nyie watu ushetani umewaingia hadi matendo ya kishetani sio aibu tena kuyatenda.
Kwenu kumwaga damu, kuleta mateso au kupoteza matumaini ya wengine ni jambo la fahari na burudani unadhani jina gani linawafaa zaidi ya mashetani?
 
Kwa nini Uhujumu uchumi kwake uonekane wakati huu ambao amekuwa mwiba mkali kwa serikali?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ilivyo enzi za ukoloni baadhi ya sheria zinatungwa kwa nia ovu. Miongoni mwa sheria hizo ni ile ya ugaidi na hiyo ya utakatishaji fedha na uhujumu uchumi. Watawala husubiri wakati muafaka wa kuzitumia ili kunyamazisha sauti zinazowakosoa na kuwapinga. Utashangaa kwa mfano kuna sheria nyingi mbaya za mkoloni hazijafutwa hadi leo hii

Bahati mbaya baadhi ya watunga sheria wetu(Wabunge) hawang'amui lengo la watawala wakiamini kwamba sheria hizo hazitakuja kutumika vibaya tena dhidi yao wenyewe! Zito aelewe kwamba unapomkabidhi mtu silaha kama bunduki ujue unampa nyenzo ama ya kukulinda au akitaka na hasa kama sio muadilifu anaweza itumia dhidi yako. Kwa hili hawezi kukwepa share yake ya lawama
 
View attachment 1347892

Hii ni alarm ya hatari , yetu macho .
Tunachoelewa kinachomwandama huyo kiumbe ni Laaana aliyopewa na wanaukoo. Wamemkataza asitumie jina la ukoo wao na wamemtaka atumie jina la Zitto Ruyaagwa na la kabwe lisiwepo.
Na wamepanga kumerusisha kwao inasemekana hata kabwe siyo dng wake 😅😅😅😅😅😅😅 jamaaa yamemkuta. Alikataliwa Mwezi January,2020 kwenye kikao cha Familia yake.
Kwenye kikao hicho walimweleza kuwa ni Mbinafsi, Mbishi, Haheshimu Wazee wake, Ukoo wake na amekuwa hashiriki misiba ya ndugu zake labda yenye Maslahi kisiasa kwake.
 
Sesten Zakazaka,
Ndugu zake Zitto Kabwe wanajua uhuni wake mpaka wamemtenga kifamilia wewe ni nani ambaye kutwa unampamba wakati hujui hata kitofu chake kilipotumwa. Nakushauri muulize Zitto yaliyomkuta Mwandiga. Nitapost special thread
 
Hivi hii serikali ya huyu bwege inatupeleka wapi sasa maana maendeleo hakuna miradi imesimama deni la taiga linazidi kwenda kwenye paa huku wengine wanapigwa mikesi isiyokuwa na kichwa wala miguu
 
Nilikuwa nasikia vituo viko Instagram, kumbe na tweeter nako vimeshaanza.
 
Tunachoelewa kinachomwandama huyo kiumbe ni Laaana aliyopewa na wanaukoo. Wamemkataza asitumie jina la ukoo wao na wamemtaka atumie jina la Zitto Ruyaagwa na la kabwe lisiwepo.
Na wamepanga kumerusisha kwao inasemekana hata kabwe siyo dng wake 😅😅😅😅😅😅😅 jamaaa yamemkuta. Alikataliwa Mwezi January,2020 kwenye kikao cha Familia yake.
Kwenye kikao hicho walimweleza kuwa ni Mbinafsi, Mbishi, Haheshimu Wazee wake, Ukoo wake na amekuwa hashiriki misiba ya ndugu zake labda yenye Maslahi kisiasa kwake.
Wewe ni mchawi ?
 
Zito anajaribu kuhisi yatakayo tokea Na Kaona Hilo ndilo litakalompiga.... Kwa kifupi he is just guessing
 
Back
Top Bottom